Watu wa Mbeya mtabadilika lini?

Watu wa Mbeya mtabadilika lini?

Mbeya kwetu walilolifanya jana wale vijana si la kulishabikia.
Hekima na busara n kusikiliza then kwa sandkula kura kama hajakuconvice usimpe kura.
Kelele na fujo hazisaidii
Kwanza mktukosya esoni twaoneka Mbeya wafujo.
Nahii abia imekuaikiendelea ata kwenye iutao ya kampeni hasa vijna wa CDM kuleta fujo.
Watu wa mbeya niwajuao mimi ni wastarabu

Nani wewe hasiye kujua kuwa ni gamba? Mtazomewa kila kona maana watu wamewachoka
 
ushamba na ulimbukeni wa kijinga ndio unaowasumbua hawa wajamaa na huyu SUGU wao
 
Sikiliza wewe matumbo, watu wa Mbeya siyo ma-zuzu, wanajua haki zao, wasipoelewa ni lazima watahoji, siyo kama nyie mnakubali kila kitu hata kama serikali itapitisha sheria ya kuwakata vidole mtasema ccm hoyee…
 
nafarijika kuzaliwa mkoa wa mbeya ningezaliwa dodoma ningeumia sana
 
Oct25 yatafanyika matanga ya ccm...anaebisha akale chumvi. Hatuna muda wa kupoteza kusikiliza ccm tena. Miaka 50+ imetosha kutapeliwa na mafisiemu. Ccm hakifai hata kuwa wapinzani, this time kinakwenda kufa jumla kama vilivyokufa vyama vingine. Watch out and wake up, it's time for CHANGE.
 
Ccm kwa ulichowafanyia watz ktk nchi zingine haina hata uhalari wa kuendelea kuwadanganya watz kwa ahadi hewa. Ccm wanastahili adhabu kali sn. Kuzomewa ni mwanzo tu.
 
Mbeya hatuongei kwa mafumbo kama watu wa Pwani, tunaposema hatutaki maana yake hatutaki. Tupo tayari kwa lolote ila Mbeya ni ya kwetu na hakuna wa kututisha tukiwa kwetu. Sisi hatutaki CCM na tunamaanisha.
 
Hii zomea zomea ndo inawashikisha adabu CCM ndo maana bajeti zote za serikali vipaumbele ni MWANZA...MBEYA...KILIMANJARO...ARUSHA......

Mbona kwa masikini na majuha vipenzi wa CCM MOROGORO...TABORA....GEITA...RUVUMA hakuna maendeleo?
good
ni ujanja wa watu wa mikoa hiyo kuufaidi ujinga wa ccm.........hahah yaan morogoro utacheka
 
Hawajaichoka ccm ila ni watu wanaopenda sana ushabiki wa kishamba. Yani wana akili za kushikiwa.

CCM yako tumeamua kuinyimakura live kawaambie na wenzako Huna adabu gamba ww
 
Watu wa mji wa Mbeya wamekuwa ni watu wa ajabu sana. Wanafanya siasa za kitoto sana zisizo za kistaarabu.

Kwa sasa ukizungumzia Mbeya ni kama unazungumzia mji wa 'masela ma..' awa watu walimzomea mpaka rais wa nchi na sababu hawana.

Mji sasa unaongozwa na mawazo ya Sugu na mnamuita rais wenu.. Just imagine?

Nyie siasa za vyama vingi mnachukulia ni ugomvi na fujo kwenu huko sasa kila kitu mmechukulia siasa ata timu yenu inakufa sababu ya siasa za kipuuzi.

Sasa nimeshanga mpaka hizi kampeni kazi yenu ni kuzomea zomea wagombea msiowunga mkono. Sasa sielewi ukishazomea ndio utapata nini na fujo tangu mzianze mmepata nini.

Mbeya inasikitisha imekuwa inawaiga watu wa arusha. Watu wa arusha wanajulikana hao hatuna tatizo nao cha arusha ndio tatizo. Sasa nyie mtaishi hivyo mpaka lini.

Sasa naomba mchukue ushauri wangu mbadilike, msijifanye nyie mnauchungu na chama kuliko watu wa Kilimanjaro.

Msipobadilika mwaka huu mtailaumu serikali maana Mzee Jakaya kawalea sana. Badilisheni siasa zenu ziwe za kijanja or else.
Mkuu ccm wanastahili kuzomewa popote waendapo.
 
Safari hii hadi kigamboni lazima akione cha moto tunamsubiri kwa hamu sana na madharau yake.

Ila mabadiriko kutokea dar kun walakini. Mabishoo wengi sn. Watu kujiandikisha kupiga kura hawako tayari kupanga folweni eti wanaweka mawe.
Japo walinikosha sn kwa gharika ya jangwani kwani nyomi ilikuwa toka fire mpaka kagera.
Mwaka huu tunawategemea sn watu wa dsm. Tunajua kwa miundombinu iliyopo wengi wenu mna hustle sn kimaisha but please mwaka huu chukua muda wenu mtusaidie kuleta mabadiriko
 
Watu wa mji wa Mbeya wamekuwa ni watu wa ajabu sana. Wanafanya siasa za kitoto sana zisizo za kistaarabu.

Kwa sasa ukizungumzia Mbeya ni kama unazungumzia mji wa 'masela ma..' awa watu walimzomea mpaka rais wa nchi na sababu hawana.

Mji sasa unaongozwa na mawazo ya Sugu na mnamuita rais wenu.. Just imagine?

Nyie siasa za vyama vingi mnachukulia ni ugomvi na fujo kwenu huko sasa kila kitu mmechukulia siasa ata timu yenu inakufa sababu ya siasa za kipuuzi.

Sasa nimeshanga mpaka hizi kampeni kazi yenu ni kuzomea zomea wagombea msiowunga mkono. Sasa sielewi ukishazomea ndio utapata nini na fujo tangu mzianze mmepata nini.

Mbeya inasikitisha imekuwa inawaiga watu wa arusha. Watu wa arusha wanajulikana hao hatuna tatizo nao cha arusha ndio tatizo. Sasa nyie mtaishi hivyo mpaka lini.

Sasa naomba mchukue ushauri wangu mbadilike, msijifanye nyie mnauchungu na chama kuliko watu wa Kilimanjaro.

Msipobadilika mwaka huu mtailaumu serikali maana Mzee Jakaya kawalea sana. Badilisheni siasa zenu ziwe za kijanja or else.

Kuna cha "Mwakaleli" we mgeni pande hizi!?
 
mbeya ni moja ya miji ambayo watu wake wanatafuta hela zake kihali.(kihalali?)
hawana muda wa kushabikia watu wanaowanyonya na kuwakandamiza na kusubiri hela za misaada kujenga barabara.
mji wa tatu kwa ukusanyaji wa kodi nchi hii ila kila sehemu ni vumbi tu.
bara bara za tangu enzi za nyerere ndio bado zipo
Mkuu tumekuwa tukilalamika muda mrefu kuwa ingawaje tunaishabikia CCM, lakini huko kwetu CCM Mtandao imeiliza CCM Mbeya.
Watu wanamkumbuka Mwalimu, miradi ya barabara kule Mbeya ili minywa sana licha ya ukweli Mbeya ni kituo muhimu cha kibiashara.
Leo watu wamekazana na barabara za Tabora kitu ambacho si kibaya lakini Tabro inachangia kidogo mno pato la Taifa.
Magufuli ana wajibu wa kubadilisa muonekano huu wa Mbeya atakapopata madaraka.
Watu wanataka maendeleo.
 
Mbeya kwisha amka kama ilivyo Mwanza na Arusha. Usitishe watu ukiwa na wewe ni mtu. Mbeya let us go for change
 
Back
Top Bottom