Watu wa Mbeya mtabadilika lini?

Watu wa Mbeya mtabadilika lini?

Mkuu tumekuwa tukilalamika muda mrefu kuwa ingawaje tunaishabikia CCM, lakini huko kwetu CCM Mtandao imeiliza CCM Mbeya.
Watu wanamkumbuka Mwalimu, miradi ya barabara kule Mbeya ili minywa sana licha ya ukweli Mbeya ni kituo muhimu cha kibiashara.
Leo watu wamekazana na barabara za Tabora kitu ambacho si kibaya lakini Tabro inachangia kidogo mno pato la Taifa.
Magufuli ana wajibu wa kubadilisa muonekano huu wa Mbeya atakapopata madaraka.
Watu wanataka maendeleo.

Sasa umeenda kwingine.
Magufuli anapataje madaraka wkt hatakiwi?
 
Sikia we gamba,tangu uhuru Mbeya inejengwa barabara ya TAZARA tu na juzi hii ya Chunya,mkoa wa tatu kukusanya mapato na kuchangia pato la taifa hauna barabara ya serikali hata moja zaidi ya msaada wa WB.Sisi sio wapumbavu,kiwanda cha Cement kipo Mbeya ila tunanunua bei juu kuliko Dar.Mbeya hakuna majengo ya serikali yanayopendezesha mji Mbeya tunaogelea vumbi mpaka tunaumwa macho afu mnatuita jiji eti!!!! HATUWEZI KUSHABIKIA UJINGA.Mbeya tunaijenga wenyewe kwa juhudi zetu sio serikali....Kama mwanaume njoo Mbeya uongee hizo pumba zako utajua kwanini Mbeya tulikuwa hatuna shida ya maji kabisa ila sasa hivi maji hayatoki miezi mitatu Mbeya.....TUMEISOMA NAMBA NA TUMEWAPIGIA......INAUMA EEEEEH????
 
Watu wa Mbeya wengi "akili ndogo" hususani vijana.Mtu kajaa minyoa kama bundi na kaongeza cha malawi anamwona sugu kama mungu unategemea jipya gani?
 
Ukizoe kushangiliwa usishangae ukizomewa
pole sana Alcoholic Makomeo
 
Ni ukwelu pale ambapo ccm haikubakuliki ndo kuna maendeleo chanya angalia ngome ya ccm:morogoro,dodoma,ruvuma,tanga&sumbawanga hoi bin taaban.
 
Watu wa mji wa Mbeya wamekuwa ni watu wa ajabu sana. Wanafanya siasa za kitoto sana zisizo za kistaarabu.

Kwa sasa ukizungumzia Mbeya ni kama unazungumzia mji wa 'masela ma..' awa watu walimzomea mpaka rais wa nchi na sababu hawana.

Mji sasa unaongozwa na mawazo ya Sugu na mnamuita rais wenu.. Just imagine?

Nyie siasa za vyama vingi mnachukulia ni ugomvi na fujo kwenu huko sasa kila kitu mmechukulia siasa ata timu yenu inakufa sababu ya siasa za kipuuzi.

Sasa nimeshanga mpaka hizi kampeni kazi yenu ni kuzomea zomea wagombea msiowunga mkono. Sasa sielewi ukishazomea ndio utapata nini na fujo tangu mzianze mmepata nini.

Mbeya inasikitisha imekuwa inawaiga watu wa arusha. Watu wa arusha wanajulikana hao hatuna tatizo nao cha arusha ndio tatizo. Sasa nyie mtaishi hivyo mpaka lini.

Sasa naomba mchukue ushauri wangu mbadilike, msijifanye nyie mnauchungu na chama kuliko watu wa Kilimanjaro.

Msipobadilika mwaka huu mtailaumu serikali maana Mzee Jakaya kawalea sana. Badilisheni siasa zenu ziwe za kijanja or else.

hapo kwenye red kumbe utamfahamu kuwa ni rais wao na bado mtaelewa

kwenye blue sio cha arusha sema lema alishapiga vita uoga na unafiki kuwa ni dhambi kubwa kuliko kuua sasa unashangaa nini
 
nazani uko mbea si ndio walimtupia mawe uyu jk anaemaliza?mi naona haina aja ya kujizalilisha kuna baazi ya mikoa msiende ccm jamani ni haibu hii
 
Hivi inaingia akilini waziri wa barabara kushangaa eti kahama hakuna hata barabara moja ya lami afu akapata na bahati ya kusikilizwa na jamii ya kahama?what a shame. Kahama amkeni kama mbeya;msidanganyike kirahisi hivo.
 
Kaka mambo ya Mbeya tuachie wana Mbeya ndo tunaojua madhara ya CCM, hatuna namna tena ni kuwazomea na kuwapiga chini 25 Oct
 
Watu wa mji wa Mbeya wamekuwa ni watu wa ajabu sana. Wanafanya siasa za kitoto sana zisizo za kistaarabu.

Kwa sasa ukizungumzia Mbeya ni kama unazungumzia mji wa 'masela ma..' awa watu walimzomea mpaka rais wa nchi na sababu hawana.

Mji sasa unaongozwa na mawazo ya Sugu na mnamuita rais wenu.. Just imagine?

Nyie siasa za vyama vingi mnachukulia ni ugomvi na fujo kwenu huko sasa kila kitu mmechukulia siasa ata timu yenu inakufa sababu ya siasa za kipuuzi.

Sasa nimeshanga mpaka hizi kampeni kazi yenu ni kuzomea zomea wagombea msiowunga mkono. Sasa sielewi ukishazomea ndio utapata nini na fujo tangu mzianze mmepata nini.

Mbeya inasikitisha imekuwa inawaiga watu wa arusha. Watu wa arusha wanajulikana hao hatuna tatizo nao cha arusha ndio tatizo. Sasa nyie mtaishi hivyo mpaka lini.

Sasa naomba mchukue ushauri wangu mbadilike, msijifanye nyie mnauchungu na chama kuliko watu wa Kilimanjaro.

Msipobadilika mwaka huu mtailaumu serikali maana Mzee Jakaya kawalea sana. Badilisheni siasa zenu ziwe za kijanja or else.

Mihemko hii
 
Watu wa mji wa Mbeya wamekuwa ni watu wa ajabu sana. Wanafanya siasa za kitoto sana zisizo za kistaarabu.

Kwa sasa ukizungumzia Mbeya ni kama unazungumzia mji wa 'masela ma..' awa watu walimzomea mpaka rais wa nchi na sababu hawana.

Mji sasa unaongozwa na mawazo ya Sugu na mnamuita rais wenu.. Just imagine?

Nyie siasa za vyama vingi mnachukulia ni ugomvi na fujo kwenu huko sasa kila kitu mmechukulia siasa ata timu yenu inakufa sababu ya siasa za kipuuzi.

Sasa nimeshanga mpaka hizi kampeni kazi yenu ni kuzomea zomea wagombea msiowunga mkono. Sasa sielewi ukishazomea ndio utapata nini na fujo tangu mzianze mmepata nini.

Mbeya inasikitisha imekuwa inawaiga watu wa arusha. Watu wa arusha wanajulikana hao hatuna tatizo nao cha arusha ndio tatizo. Sasa nyie mtaishi hivyo mpaka lini.

Sasa naomba mchukue ushauri wangu mbadilike, msijifanye nyie mnauchungu na chama kuliko watu wa Kilimanjaro.

Msipobadilika mwaka huu mtailaumu serikali maana Mzee Jakaya kawalea sana. Badilisheni siasa zenu ziwe za kijanja or else.
Mada uliianza vizuri ila umeharibu kuingiza mambo ya Kilimanjaro, kweli wewe ni matumbo tu
 
Watu wa mji wa Mbeya wamekuwa ni watu wa ajabu sana. Wanafanya siasa za kitoto sana zisizo za kistaarabu.

Kwa sasa ukizungumzia Mbeya ni kama unazungumzia mji wa 'masela ma..' awa watu walimzomea mpaka rais wa nchi na sababu hawana.

Mji sasa unaongozwa na mawazo ya Sugu na mnamuita rais wenu.. Just imagine?

Nyie siasa za vyama vingi mnachukulia ni ugomvi na fujo kwenu huko sasa kila kitu mmechukulia siasa ata timu yenu inakufa sababu ya siasa za kipuuzi.

Sasa nimeshanga mpaka hizi kampeni kazi yenu ni kuzomea zomea wagombea msiowunga mkono. Sasa sielewi ukishazomea ndio utapata nini na fujo tangu mzianze mmepata nini.

Mbeya inasikitisha imekuwa inawaiga watu wa arusha. Watu wa arusha wanajulikana hao hatuna tatizo nao cha arusha ndio tatizo. Sasa nyie mtaishi hivyo mpaka lini.

Sasa naomba mchukue ushauri wangu mbadilike, msijifanye nyie mnauchungu na chama kuliko watu wa Kilimanjaro.

Msipobadilika mwaka huu mtailaumu serikali maana Mzee Jakaya kawalea sana. Badilisheni siasa zenu ziwe za kijanja or else.

Pole sana mama. Watu wa Mbeya siyo wanafiki na hatujipendekezi kwa mtu yeyote. Na hapa ni mwanzo tu, hatuwezi kuwafanyia ustaarabu watu wanaotudharau na kutuletea wasanii na sarakasi jukwaani kama Fiesta!!
Hayo ""matumbo""yako yamejaa njaa inakusumbua unajipendekeza kwa Magufuli. Ukiacha Sugu, Mwandosya pia ni rais wa Mbeya.
Karibu Mbeya City ule nakozi.
 
Ila mabadiriko kutokea dar kun walakini. Mabishoo wengi sn. Watu kujiandikisha kupiga kura hawako tayari kupanga folweni eti wanaweka mawe.
Japo walinikosha sn kwa gharika ya jangwani kwani nyomi ilikuwa toka fire mpaka kagera.
Mwaka huu tunawategemea sn watu wa dsm. Tunajua kwa miundombinu iliyopo wengi wenu mna hustle sn kimaisha but please mwaka huu chukua muda wenu mtusaidie kuleta mabadiriko

Usijali mkuu huu mwaka wa mabadiliko hatutawaangusha kigamboni lazima Lucy apelekwe bungeni, pamoja tunaweza.
 
Watu wa mji wa Mbeya wamekuwa ni watu wa ajabu sana. Wanafanya siasa za kitoto sana zisizo za kistaarabu.

Kwa sasa ukizungumzia Mbeya ni kama unazungumzia mji wa 'masela ma..' awa watu walimzomea mpaka rais wa nchi na sababu hawana.

Mji sasa unaongozwa na mawazo ya Sugu na mnamuita rais wenu.. Just imagine?

Nyie siasa za vyama vingi mnachukulia ni ugomvi na fujo kwenu huko sasa kila kitu mmechukulia siasa ata timu yenu inakufa sababu ya siasa za kipuuzi.

Sasa nimeshanga mpaka hizi kampeni kazi yenu ni kuzomea zomea wagombea msiowunga mkono. Sasa sielewi ukishazomea ndio utapata nini na fujo tangu mzianze mmepata nini.

Mbeya inasikitisha imekuwa inawaiga watu wa arusha. Watu wa arusha wanajulikana hao hatuna tatizo nao cha arusha ndio tatizo. Sasa nyie mtaishi hivyo mpaka lini.

Sasa naomba mchukue ushauri wangu mbadilike, msijifanye nyie mnauchungu na chama kuliko watu wa Kilimanjaro.

Msipobadilika mwaka huu mtailaumu serikali maana Mzee Jakaya kawalea sana. Badilisheni siasa zenu ziwe za kijanja or else.

kajinga wew ulizani.mbeya ni sawa na tabora, ruvuma ambako watu wapo tuu huku watu wameamka mkuu
 
Back
Top Bottom