Watu wa jf (hasa mmu) wengi "wezi"

Kuna watu kila thread yeye anacomment kuanzia asubuhi hadi jioni. Utakuta kwenye thread moja mtu ana comment zaidi ya 20, halafu amecoment thread 20 au 30. kwa wastani kila dakika anakuwa amecoment kitu. Kazi anafanya saa ngapi? naamini wengi wameajiliwa kwa mantik hiyo wanaiba muda wa mwajir na hivyo wanalipwa malipo ambayo hawastahili. huu ni wizi mkubwa.

hata kama umejiajir, lazima ulipwe kutokana na kazi unayoifanya. sasa kama siku nzima wewe unacomment mmu hiyo kazi unafanya saa ngapi? pia mnalipwa malipo haramu. na huu pia ni ufisadi ambao wengi humu wanajifanya kuupinga hali wao ni mafisadi wakuu. kwa mtindo huu uzalendo uko wapi. nchi hii itaendelea kweli.

Fanyeni kazi badala ya kushinda kupiga umbea mitandaoni.

Ngumu kumeza lakini ukweli ndio huo.

Kiritimba,
25.11.2011

Mtu mnoko iwe nyumbani au ofisini utamjua kwa kauli zake tu, achilia mbali matendo. Watu kama wewe wakipewa mamlaka iko siku utaona anang'oa internet wire zote ofisini, au anazuia watu kuja na modem ofisini! Uchovu wako kifikra sio kipimo cha maisha ya watz wote.
 
Mi sjambo mpenzi..
hahahahah bado unakumbuka kale kachupa
usijali kabisa ntaleta na nyongeza.. saa ngapi uko free
tukutane pale pa siku ile au?? nasubiri jibu lako mpendwa.

muda ule ule na kiti kile kile cha juzi
halafu ile nyeupe ilikuwa orijino haijachakachuliwa
unaweza leta katoni kabisa unajua x mas na new year zipo mlango
funguo nitazichimbia TF hawezi ziona
 
Anayetolewa povu na mtoa povu ujue yeye ana povu jingi zaidi

nakushangaa hata kutoa povu, lifute haraka sana,
Unamaliza maji ya mwilini kwako bure

yaelekea uwelewa wako uko chini sana, kama m2 hayupo busy kiivo au unadhani we ulivyo kwa wahindi ndo kila m2?? mwngne kajiajiri!
 
muda ule ule na kiti kile kile cha juzi
halafu ile nyeupe ilikuwa orijino haijachakachuliwa
unaweza leta katoni kabisa unajua x mas na new year zipo mlango
funguo nitazichimbia TF hawezi ziona

hahahahahah
Nliona jinsi ulivyo kuwa una imimina ile nyeupe..
dahhhh sijui tuende ile sehemu ya mwaka jana
ila mwaka huu tununue fireworks. ili kuchangamke zaidi..
sasa nilete nyeupe kwenye chupa ya blue au neupe kwenye
chupa nyeupe hahahaaha lol. ?
 
Hamjambo watu wa MMU?

Nawapendeni sana.

Nimekuja hapa kuwasalimu, siyo kujibu upupu wa huyu mtu.

Mungu awabariki sana. Muendelee kudumu tuendelee kujirusha hapa MMU pa ukweli.

Ahsanteni kwa kunisoma.

Kamekuingia eh!
jibu hoja mkuu siyo kuhamak.
Mi nimeongea kwa fact, na wewe toa fact kwa nini huu ni upupu.
usiongee kama upo maliwato.
 
Na wewe ni miongoni mwa wale wasiokuwa na cha kufanya ndio maana sasa hivi uko hapa.

Labda ni miongoni mwa hao wasio na cha kufanya leo! Inawezekana.
Ila mkuu jaribu kucheki, kuna watu daily, every minute, every hour wanapost. Hata kama ni kuiba muda wa kazi, si kihivo. huwa hawa wako free mda wote. Wale wanaopost mara moja moja, hapo unaweza nambia wanaiba muda wa muajiri.
 
Labda ni miongoni mwa hao wasio na cha kufanya leo! Inawezekana.
Ila mkuu jaribu kucheki, kuna watu daily, every minute, every hour wanapost. Hata kama ni kuiba muda wa kazi, si kihivo. huwa hawa wako free mda wote. Wale wanaopost mara moja moja, hapo unaweza nambia wanaiba muda wa muajiri.

ukiwa mkweli watakuona upupu tu
 
Kamekuingia eh!
jibu hoja mkuu siyo kuhamak.
Mi nimeongea kwa fact, na wewe toa fact kwa nini huu ni upupu.
usiongee kama upo maliwato.
FYI hakuna raha kama kuongea nikiwa maliwatoni.

Swali la kizushi: Anayeandika posts nyingi na anayesoma posts hizo nyingi tena za watu weeeengi na kuzihesabu kabisa, ni nani kibaka wa muda kwa mwajiri wake?
Asprin anaandika posts 200
kiritimba anasoma posts 200 za Asprin, na kuzihesabu
na za Afrodenzi 300
na za Dena Amsi 200
Na za Rejao 150
Na za king'asti 800.......... yaani unasoma na kuzihesabu tu!

Afu ukitosheka unakuja kufungua thread unachangia posts 100..... kweli we si mwizi wa muda!

Ahsante kwa kunisoma.
Bado niko maliwatoni, niletee toilet paper tafazali.
 
Kuna waliojiajiri...waliostaafu...waliopo likizo... bila kusahau MULTI-TASKers like me...ZOEA!!
 
Mimi nimejiajiri nina ka-intanet cafe kangu hapa mjini, ninaposubiri wateja muda wote nipo JF....
 
Statistics za Kiritimba
Total Posts

Total Posts 449
Posts Per Day 4.54

Huyu jamaa kuna mambo ya yanamsombua
1. Hana Access ya Net ya uhakika
2. Ana wivu hapendi maendeleo ya watu
 
Ila hujawatendea haki wana MMU, hujatembelea jukwaa la siasa wewe!!!
 
hahahahahah
Nliona jinsi ulivyo kuwa una imimina ile nyeupe..
dahhhh sijui tuende ile sehemu ya mwaka jana
ila mwaka huu tununue fireworks. ili kuchangamke zaidi..
sasa nilete nyeupe kwenye chupa ya blue au neupe kwenye
chupa nyeupe hahahaaha lol. ?

nimekuachia uratibishe shughuli nzima
daaah bora ulete zote chupa blue x mas
chupa nyeupe new year
hahahahahah kuserebuka hadi mwisho

 
Back
Top Bottom