Watu wa jf (hasa mmu) wengi "wezi"

Tutabisha lakini me binafsi naona ni ukweli,tena hz international companies wameshaanza kulalamika wa tz tunatumia muda mwingi kwa social sites kuliko kufanya kazi na tunapenda kutoa excuse kibao
 
Kiritimba umeingia porini kinyama, kama umegundua thread nyingi zinazohusu mahusiano na jamii hazihusishi uchambuzi yakinifu na hazibore mara nyingi na hivyo kufanya urahisi wa ku comment.
Thread nyingi ndefu zenye uchambuzi hudorora na kusi appear automatically. Hii inaweza kuwa ni kutokana na urefu wa mada yenyewe na kumfanya msomaji kushindwa kuendelea aidha kwa sababu anatumia simu au uhaba wa muda.
Hivyo basi, kushinda watu majukwaani haimananishi hawafanyi kazi, kila kitu ni kujiwekea taratibu tu mkuu.
 
Kuna watu kila thread yeye anacomment kuanzia asubuhi hadi jioni. Utakuta kwenye thread moja mtu ana comment zaidi ya 20, halafu amecoment thread 20 au 30. kwa wastani kila dakika anakuwa amecoment kitu. Kazi anafanya saa ngapi? naamini wengi wameajiliwa kwa mantik hiyo wanaiba muda wa mwajir na hivyo wanalipwa malipo ambayo hawastahili. huu ni wizi mkubwa.

hata kama umejiajir, lazima ulipwe kutokana na kazi unayoifanya. sasa kama siku nzima wewe unacomment mmu hiyo kazi unafanya saa ngapi? pia mnalipwa malipo haramu. na huu pia ni ufisadi ambao wengi humu wanajifanya kuupinga hali wao ni mafisadi wakuu. kwa mtindo huu uzalendo uko wapi. nchi hii itaendelea kweli.

Fanyeni kazi badala ya kushinda kupiga umbea mitandaoni.

Ngumu kumeza lakini ukweli ndio huo.

Kiritimba,
25.11.2011

we si ulinyea kambi MMU? Anakula matapishi!!!!!!! Aghhhhhhh
 
JF Senior Expert Member Array


Join Date : 18th August 2011
Posts : 444
Rep Power : 21


icon1.png
Nimekwazika! Kwa herini MMU


Sina mengi ya kusema lakini kutokana na kuandamwa na "wakongwe" wa humu kwa sababu wanazozijua wao nimeamua kuwaachia jukwaa lenu.
Baada ya saa 5.45 usiku wa leo hamtaniona tena. Nilichotarajia kukipata (ushauri na social interaction) sikukipata bali nimekipata walichotarajia "wakongwe" wa humu (kama ambavyo naeleza mstari fatwa).

Nimepigwa mizengwe, nimetukanwa, nimekejeliwa, nimetemewa mate,...........hivyo nawaachieni "jukwaa lenu".

Naomba msamaha kwa wote niliowakwaza kama ambavyo mimi nimewasamehe wote walionikwaza na kunikosea.
Sitaingia tena kwenye jukwaa lenu.

Nawakieni MMU mwema.

Ndimi,

kiritimba
retired and resigned prematured @ mmu



kiritimba jana ulikua unatikisa kibiriti tu nini?
Lol, yupo busy na kazi akirudi atakujibu...

Au vile FF alimbembeleza sana jana ndio mana kaamua kubaki..
 
Tutabisha lakini me binafsi naona ni ukweli,tena hz international companies wameshaanza kulalamika wa tz tunatumia muda mwingi kwa social sites kuliko kufanya kazi na tunapenda kutoa excuse kibao

usifanye mchezo na stress za mabosi wa kihindi. Wee mwenyewe utajikuta unaingia JF kutafuta faraja
 
Wengi hawana cha kufanya humu. Hushinda nyumba ya keyboard zao kupost tu kutwa nzima.
Wanaoiba muda wa mwajiri ni wachache kuliko wasio na cha kufanya wanaopost kila dakika kutwa nzima non stop.
 
Wengi hawana cha kufanya humu. Hushinda nyumba ya keyboard zao kupost tu kutwa nzima.
Wanaoiba muda wa mwajiri ni wachache kuliko wasio na cha kufanya wanaopost kila dakika kutwa nzima non stop.
Na wewe ni miongoni mwa wale wasiokuwa na cha kufanya ndio maana sasa hivi uko hapa.
 
Mimi nipo safarini natoka ukelewe naenda dar nikifika dar naenda mtwara so mimi simo hata hivyo natumia simu. Hata hivyo mimi nakubaliana na watu kushinda jf coz ni mazoezi.siku tukilianzisha/tukikinukisha kuhusu maandamano asubuhi hadi jioni tupo barabarani kila siku na hapo ndo utashangaa tuna kula nini na saa ngapi. mia
 
hujambo mrembo
nakupitia twende kwenye mnuso ngalelo jioni usisahau kuja na kale kachupa

Mi sjambo mpenzi..
hahahahah bado unakumbuka kale kachupa
usijali kabisa ntaleta na nyongeza.. saa ngapi uko free
tukutane pale pa siku ile au?? nasubiri jibu lako mpendwa.
 
Back
Top Bottom