falcon mombasa
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 9,227
- 9,357
sie watu wa mombasa hatuna ujinga huo
Du! rohombaya mkuu
KIONGOZI ni kama ulikuwa nami moyoni,binafsi nimeishi Dar kwa miaka 10 nikisoma na kufanya kazi,nimekuwa nikiwathamini sana ndugu na jamaa wanaokuja wakitokea mikoani.Ni miaka minne sasa nipo nje ya Dar,ajabu ninapokwenda huwa natamani kuwaona jamaa na marafiki,ninapowapigia simu wengi wao wanakuwa na majibu hayo hayo!!...SIJUI NI UGONJWA GANI HUU?..Mara nipo bize,mara tuonane kesho,mara nitakupigia baadae,mara simu hazipokelewi,mara nipo katika foleni,mara....daaah!!ISIWE TAABU Nafahamu wengi wao ni HOFU ya kuonekana wamechoka ama kuogopa kumkarimu mgeni wa Mikoani.Nakupongeza rafiki yangu Tall (Tabata Kimanga) na Fulgence wa Mwanagati kwa kutokuwa na tabia hiyo!!!
Next ni diaspora....
Hahahaha,aisee nimecheka kweli mpaka nimeona muda swaumu uongezeke.
We ukitaka muambie kwamba una kipande cha madini ya dhahabu ndio ujue kwamba watu wa Dar ni wakarimu saana.
Unajua wengie huwa wakija huko Mikoani masifa meengi,ila sio siri nyumba tunazoishi Dar baadhi yetu ndi kiwako,yaani unaona hadi aibu kumualika ndugu yako aje kutembea.Lakini tukikutana nje aaa unafikiria nakaa Masaki vile.
Hapo hapoa Dar tu kuna watu wanakutana kwenye misiba na harusi tuu,lakini makwao hawatembeleani,kila mmoja anamuimbisha mwenzie Songi.
karibu tena Dar kaka ukifika usiache kunitafuta mkuu