Tatizo unatafuta watu siku za kazi...
Mvizie Jumapili
Hiyo siku ndio mbaya kuliko, hakawii kukwambia atashinda kanisani na jioni wana semina.
Tatizo unatafuta watu siku za kazi...
Mvizie Jumapili
Tena nyie wa Mwanza ndio tunawaogopeni sana. Mnapiga mizinga balaa. Afu hata kuvuka barabara mpaka muombe msaada.
Tatizo umekulia dar ndio maana hujui pale ubungo panatishaje ukiwa mgeniUngenawa uso kwanza uondoe tongotongo ndo uingie mjini. Mjini shule.
Mi naishi Bunju unanipigia simu tuonane nikupeleke Mbagala.... Utasubiri sana. Someni daladala zimeandikwa ruti kwa mbele.
Hatari...af mkuu kilaza usiwe mchoyo wa like kiasi hicho....Like Ginen 0..!!! kweli??? wakati wewe umepew 1261?
Mkuu, mimi nahisi wanaoongoza kwa mizinga ni watu wa Kigoma, wanaoongoza kwa kuvushwa barabara ni watu wa shinyanga. Watu wa mwanza na tabora ni watu wa kuganda. Yaani akiwa mgeni kwako atakaa hata mwaka yupoyupo tu hadi umuulize nyumbani lini ndo ataona aibu kidogo. Halafu huwa hawajali kabisa, hata wakiwa 20 kwenye nyumba/mwenyeji mmoja wao ni poa tu
Mkuu, mimi nahisi wanaoongoza kwa mizinga ni watu wa Kigoma, wanaoongoza kwa kuvushwa barabara ni watu wa shinyanga. Watu wa mwanza na tabora ni watu wa kuganda. Yaani akiwa mgeni kwako atakaa hata mwaka yupoyupo tu hadi umuulize nyumbani lini ndo ataona aibu kidogo. Halafu huwa hawajali kabisa, hata wakiwa 20 kwenye nyumba/mwenyeji mmoja wao ni poa tu
head girl siunajua melo hajatuwekea sehemu ya like sisi wenye vimeo
Hahaha Pole Kilaza,
Aisee umenichekesha sana.
Nimefurahi sana kwa kuwa Muwazi na kuwa shuhuda.Na kuonyesha kwamba wewe umetoka mkoani kwa nia njema.
Wengi wanaoishi Dar huona kwamba mtu akitoka mkoani yoyote ana shida.Na wengie hufanya sifaa wakiwa Mikoani,sasa anajua kabisa wewe ukiona maisha yake halisi na ukilinganisha namasifa yake basi utamshusha hadhi.
Lakini ukweli ni kwamba Maisha ya Dar na tunavyokuja huko Mikoani yaani haviendani kabisaaa.
Hii ndio Bongo Bakora
Mie nakushauri we mpotezee tu,wengi wanaoishi Dar huwa wanarudi Mikoani wakiwa wagonjwa hasa wa ngoma.
Tatizo umekulia dar ndio maana hujui pale ubungo panatishaje ukiwa mgeni
Kumbe??
yalishanikuta sana tu....in short watu wa Dar hawafai!
halafu wakiwa na shida sasa watakusumbuaa. mtu anakuagiza laptop au ipad inakuwa kama deni. kila ukiamka asubuhi unakutana na message yake, ee bwana ile laptop vipi!
kuna huyo mwingine tulipanga naye tuonane ijumaa baada ya kazi sikumsikia hadi jumamosi asubuhi tena hapo anasema anawahi kwenye mkutano sijui kikao cha siku nzima (on a saturday!). baada ya hapo nilim-block kila kona kuanzia calls hadi whatsapp.
na ule msemo wao kila saa yuko kwenye foleni sijui. Mie ndo maana Dar huwa ni transit tu, nafikia hotel then kesho yake naunganisha na Shabiby to mkoa. watu wa Dar nimewanyooshea mikono!
yalishanikuta sana tu....in short watu wa Dar hawafai!
halafu wakiwa na shida sasa watakusumbuaa. mtu anakuagiza laptop au ipad inakuwa kama deni. kila ukiamka asubuhi unakutana na message yake, ee bwana ile laptop vipi!
kuna huyo mwingine tulipanga naye tuonane ijumaa baada ya kazi sikumsikia hadi jumamosi asubuhi tena hapo anasema anawahi kwenye mkutano sijui kikao cha siku nzima (on a saturday!). baada ya hapo nilim-block kila kona kuanzia calls hadi whatsapp.
na ule msemo wao kila saa yuko kwenye foleni sijui. Mie ndo maana Dar huwa ni transit tu, nafikia hotel then kesho yake naunganisha na Shabiby to mkoa. watu wa Dar nimewanyooshea mikono!
Mmmmhh...hivi eeh?
Hahahahahahaha asante umetuwakilisha bhana
Hiyo siku ndio mbaya kuliko, hakawii kukwambia atashinda kanisani na jioni wana semina.
Mkuu unashtakiwa kwa kuvunja mbavu zangu.
Ngoja nifanye utaratibu utakuwa wa kwanza kula like yangu!!!