babe S
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 3,879
- 20,853
Ndo hapo sasa!Hao watakuwa wamekula chakula chao walicho muandalia mbunge akakibakisha, dhambi kuu ni kuwachanganisha watu wamlishe mbunge wakati mbunge husika ana kipato kikubwa kuliko wao.
Ndo hapo sasa!Hao watakuwa wamekula chakula chao walicho muandalia mbunge akakibakisha, dhambi kuu ni kuwachanganisha watu wamlishe mbunge wakati mbunge husika ana kipato kikubwa kuliko wao.
Mkuu mtu aliyeko karibu nao awashauri hiyo kesi waipeleke mahakamani, huyo mtendaji na mwenyekiti washitakiwe kwa unyanyasaji na usumbufu walipe na damages!!Wananchi 15 wanaoishi Kitongoji cha Kahomwele,Kijiji cha Doroto,Tarafa ya Itigi,wilayani Manyoni, Mkoa wa Singuda, wameamuriwa kulipa faini ya shilingi 35,000/= kila mmoja kwa madai kuwa walikula chakula kilichobaki ambacho kiliandaliwa kwa ajili mbunge wa jimbo la Manyoni magharibi (CCM) Bwana John Paul Lwanji. Baada ya Mbunge kula na kuondoka wananchi wakachukua chakula kilichobaki Mezani wakala, Chakula hicho kiliandaliwa kwa michango ya wananchi wenyewe kwa ajili ya ziara ya Mbunge. Ila wamegeukwa na Mwenyekiti wa Kijiji na Afisa Mtendaji kuwa wamesababisha uvunjifu wa Amani na kutakiwa kulipa kiasi hicho cha fedha. Kwa mantiki hizo zitachangwa 525,000. Watetezi wa haki za binadamu saidieni hilo huko Singida..
wangewatapisha palepale,,,faini hadi kwenye kula leftovers?khaa!!!
Ni thirty five thousand (Tshs 35,000/=) mkuu, mradi huo wa katibu kata na mwenyekiti huo.Hahaha vitu vingine hadi vichekesho, halaf 15,000 per person ni nyingi sana jamani, kwa sahani moja dah huo ni uonevu na wakilipa hiyo hela inaenda mifukoni mwa watu tu!
Wananchi 15 wanaoishi Kitongoji cha Kahomwele,Kijiji cha Doroto,Tarafa ya Itigi,wilayani Manyoni, Mkoa wa Singuda, wameamuriwa kulipa faini ya shilingi 35,000/= kila mmoja kwa madai kuwa walikula chakula kilichobaki ambacho kiliandaliwa kwa ajili mbunge wa jimbo la Manyoni magharibi (CCM) Bwana John Paul Lwanji. Baada ya Mbunge kula na kuondoka wananchi wakachukua chakula kilichobaki Mezani wakala, Chakula hicho kiliandaliwa kwa michango ya wananchi wenyewe kwa ajili ya ziara ya Mbunge. Ila wamegeukwa na Mwenyekiti wa Kijiji na Afisa Mtendaji kuwa wamesababisha uvunjifu wa Amani na kutakiwa kulipa kiasi hicho cha fedha. Kwa mantiki hizo zitachangwa 525,000. Watetezi wa haki za binadamu saidieni hilo huko Singida..
Sijui kwa nini kichwani imejirekodi 15,000, dah 35,000!!! Tht is otrageousNi thirty five thousand (Tshs 35,000/=) mkuu, mradi huo wa katibu kata na mwenyekiti huo.
Hahaha vitu vingine hadi vichekesho, halaf 15,000 per person ni nyingi sana jamani, kwa sahani moja dah huo ni uonevu na wakilipa hiyo hela inaenda mifukoni mwa watu tu!
wangewatapisha palepale,,,faini hadi kwenye kula leftovers?khaa!!!
hao wananchi na wenyewe watu wa ajabu sana,watamchangiaje mbunge ale mapochopocho wakati wenyewe njaa zinawauma.??
hahahaahahaa hili nalo neno. Sasa si wangemwambia mmoja wao hapo angemlipia huyo mheshimiwa akala tu hotelini. Huo msosi ulikuwa wa gharama kubwa kiasi hicho. Halafu nimechungulia kwa Mhasibu pale halmashauri kuna mtu alipewa hela za kugharamikia safari ya Mbunge, iweje tena watu wakachanga? na hizo za halmashauri zinakwenda wapi?Wananchi 15 wanaoishi Kitongoji cha Kahomwele,Kijiji cha Doroto,Tarafa ya Itigi,wilayani Manyoni, Mkoa wa Singuda, wameamuriwa kulipa faini ya shilingi 35,000/= kila mmoja kwa madai kuwa walikula chakula kilichobaki ambacho kiliandaliwa kwa ajili mbunge wa jimbo la Manyoni magharibi (CCM) Bwana John Paul Lwanji. Baada ya Mbunge kula na kuondoka wananchi wakachukua chakula kilichobaki Mezani wakala, Chakula hicho kiliandaliwa kwa michango ya wananchi wenyewe kwa ajili ya ziara ya Mbunge. Ila wamegeukwa na Mwenyekiti wa Kijiji na Afisa Mtendaji kuwa wamesababisha uvunjifu wa Amani na kutakiwa kulipa kiasi hicho cha fedha. Kwa mantiki hizo zitachangwa 525,000. Watetezi wa haki za binadamu saidieni hilo huko Singida..