Ojuolegbha
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 741
- 479
Wananchi waishio katika Kata ya Kilimilire Kijiji cha Mwemage Vitongoji Kibeo ( A) Kibeo ( B) Kanyamitwe na Kemitoma Wilayani Missenyi Mkoani Kagera wameishukuru Ofisi ya Mbunge wa Jimbo la Nkenge kwa msaada wa mabati.
Mbunge wa Jimbo la Nkenge Mhe. Florent Kyombo kwa kushirikiana na Viongozi wa Chama na Serikali Kata Kilimilire ofisi ya Mbunge wamekabidhi Wananchi wa kijiji Mwemage/Rwazi mabati yenye thamani ya Tsh 262,500 kwa ajili ya ukamilishaji wa Jengo la Kliniki ya mama na Mtoto
Wakizungumza kwa nyakati tofauti mara baada ya kukabidhiwa mabati na Ofisi ya Mbunge Wananchi hao walisema kuwa wamepata faraja kubwa baada ya kuona kilio chao kimesikika na kusema kwamba tulikua tunapata shida sana kupata huduma ya Kliniki kutokana na Mvua zinazonyesha mara kwa mara na kusababisha watoto wetu kunyeshewa pamoja na kupiwa jua wakati wa kiangazi.
๐ท๐๐ก. ๐๐๐๐๐-2025-2030
๐๐. ๐พ๐ฆ๐๐๐๐-2025-2030
๐ฟ๐๐ก๐๐๐๐ ๐๐๐ค๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐-2025-2030
๐๐ช๐๐ฒ ๐ฒ๐ฎ๐ท๐ญ๐ฎ๐ต๐ฎ๐ฎ
Mbunge wa Jimbo la Nkenge Mhe. Florent Kyombo kwa kushirikiana na Viongozi wa Chama na Serikali Kata Kilimilire ofisi ya Mbunge wamekabidhi Wananchi wa kijiji Mwemage/Rwazi mabati yenye thamani ya Tsh 262,500 kwa ajili ya ukamilishaji wa Jengo la Kliniki ya mama na Mtoto
Wakizungumza kwa nyakati tofauti mara baada ya kukabidhiwa mabati na Ofisi ya Mbunge Wananchi hao walisema kuwa wamepata faraja kubwa baada ya kuona kilio chao kimesikika na kusema kwamba tulikua tunapata shida sana kupata huduma ya Kliniki kutokana na Mvua zinazonyesha mara kwa mara na kusababisha watoto wetu kunyeshewa pamoja na kupiwa jua wakati wa kiangazi.
๐ท๐๐ก. ๐๐๐๐๐-2025-2030
๐๐. ๐พ๐ฆ๐๐๐๐-2025-2030
๐ฟ๐๐ก๐๐๐๐ ๐๐๐ค๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐-2025-2030
๐๐ช๐๐ฒ ๐ฒ๐ฎ๐ท๐ญ๐ฎ๐ต๐ฎ๐ฎ