MBUNGE CONDESTER Atembelea Eneo Lenye Madini ya Sodalite Kukagua Utafiti Unaoendelea Kijiji cha Chindi

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
May 16, 2020
1,900
944

MBUNGE CONDESTER Atembelea Eneo Lenye Madini ya Sodalite Kukagua Utafiti Unaoendelea Kijiji cha Chindi

Mbunge wa Jimbo la Momba, Condester Sichalwe (Mundy) ameambatana na Afisa Madini mkazi Mkoa wa Songwe, Chone Malembo, ametumia mtubwi kuvuka mto Nkana kuelekea Kijiji cha Chindi kwenda kujionea utafiti wa madini aina ya Sodalite yanayodaiwa kugundulika eneo hilo

Mhe. Condester Sichalwe (Mundy) amempongeza mchimbaji mdogo wa madini ya Sodalite bwana Nickolaus Buseni kwa kuamua kufanya utafiti wa madini hayo ndani ya Jimbo lake na kueleza kuwa yupo tayari kumuunga mkono, ikiwa ni pamoja na kumkutanisha na taasisi za kifedha ili apatiwe Mkopo

Mhe. Condester Sichalwe (Mundy) amewasihi wananchi wa kijiji cha Ntinga na wana Momba kwa ujumla kuchangamkia fursa ya kupata leseni kwa ajili ya uwekezaji wa madini ya Sodalite ambayo yanadaiwa kugundulika kijiji cha Chindi Kata ya Msangano.

Afisa Madini Mkazi mkoa wa Songwe, Chone Malembo, amesema madini ya Sodalite, ambayo yanafanyiwa utafiti kijiji cha Chindi Kata ya Msangano Wilaya ya Momba, yatakuwa ni madini mapya kupatikana ndani ya Mkoa huo, kwani hakuna eneo lingine ambayo yanapatikana ndani ya Mkoa wa Songwe
WhatsApp Image 2024-02-29 at 12.11.36.jpeg
WhatsApp Image 2024-02-29 at 12.11.40(2).jpeg
WhatsApp Image 2024-02-29 at 12.11.40.jpeg
WhatsApp Image 2024-02-29 at 12.26.51.jpeg
WhatsApp Image 2024-02-29 at 12.16.21.jpeg
WhatsApp Image 2024-02-29 at 12.16.20.jpeg
WhatsApp Image 2024-02-29 at 12.16.19(2).jpeg
WhatsApp Image 2024-02-29 at 12.16.19(1).jpeg
WhatsApp Image 2024-02-29 at 12.16.19.jpeg
WhatsApp Image 2024-02-29 at 12.26.51.jpeg
WhatsApp Image 2024-02-29 at 12.19.54.jpeg
WhatsApp Image 2024-02-29 at 12.11.41.jpeg
 

MBUNGE CONDESTER Atembelea Eneo Lenye Madini ya Sodalite Kukagua Utafiti Unaoendelea Kijiji cha Chindi

Mbunge wa Jimbo la Momba, Condester Sichalwe (Mundy) ameambatana na Afisa Madini mkazi Mkoa wa Songwe, Chone Malembo, ametumia mtubwi kuvuka mto Nkana kuelekea Kijiji cha Chindi kwenda kujionea utafiti wa madini aina ya Sodalite yanayodaiwa kugundulika eneo hilo

Mhe. Condester Sichalwe (Mundy) amempongeza mchimbaji mdogo wa madini ya Sodalite bwana Nickolaus Buseni kwa kuamua kufanya utafiti wa madini hayo ndani ya Jimbo lake na kueleza kuwa yupo tayari kumuunga mkono, ikiwa ni pamoja na kumkutanisha na taasisi za kifedha ili apatiwe Mkopo

Mhe. Condester Sichalwe (Mundy) amewasihi wananchi wa kijiji cha Ntinga na wana Momba kwa ujumla kuchangamkia fursa ya kupata leseni kwa ajili ya uwekezaji wa madini ya Sodalite ambayo yanadaiwa kugundulika kijiji cha Chindi Kata ya Msangano.

Afisa Madini Mkazi mkoa wa Songwe, Chone Malembo, amesema madini ya Sodalite, ambayo yanafanyiwa utafiti kijiji cha Chindi Kata ya Msangano Wilaya ya Momba, yatakuwa ni madini mapya kupatikana ndani ya Mkoa huo, kwani hakuna eneo lingine ambayo yanapatikana ndani ya Mkoa wa Songwe
View attachment 2920321View attachment 2920322View attachment 2920323View attachment 2920324View attachment 2920325View attachment 2920326View attachment 2920327View attachment 2920329View attachment 2920330View attachment 2920331View attachment 2920332View attachment 2920333View attachment 2920334
Aibu ya mbunge, hata kuweka kivuko cha kuvuta kwa kamba ameshindwa.

Pesa ya mfuko wa jimbo inaishia wapi
 
Mimi naona kwenye huu ulimwengu wa kidigitali kazi ya mbunge haina maana yoyote. Uwakilishi wa wananchi kivipi wakati kila kitu kipo wazi mitandaoni? Kwa mfano mtu wa Arusha anaweza kujua nini kinaendelea Ruvuma... na kama wabunge wakisema wanatunga sheria bado watakuwa wanadanganya kwasababu sheria zinatungwa na wataalamu huku kazi kubwa ya wabunge ikiwa ni kujadili tu vifungu ambapo nako huzipitisha tu. Mimi mbunge wangu aliyeishia darasa la 7 ataweza vipi kung'amua kasoro kwenye muswada ulioandikwa kitaalamu? Wabunge kwa sasa wanatuwakilisha kwenye kufakamia keki ya taifa.
 
Back
Top Bottom