LA7
JF-Expert Member
- Aug 26, 2019
- 457
- 1,746
Singida Kijiji cha Kinampanda kuna shida ya umeme inaenda wiki ya pili sasa hii ni baada ya mvua kunyesha na kukatokea radi iliyosababisha transformer kuharibika.
Walienda wakaifungua na kuondoka nayo mpaka sasa haijulikani ni lini wanarudisha huduma ya umeme kwani hata mtaa wa pili umeme ulipi ni wakuwasha taa tu hauwezi kuwasha hata mashine za kusagia unga.
Je, wale wananchi hawana haki ya kurudishiwa umeme kwa wakati?
Au hakuna transformer za akiba?
Au ndo basi hawatafunga tena nyingine?
Kama watafunga kuna ulazima gani wa kujivutavuta?
Ni hayo tu.
Sent from my TECNO CA8 using JamiiForums mobile app
Walienda wakaifungua na kuondoka nayo mpaka sasa haijulikani ni lini wanarudisha huduma ya umeme kwani hata mtaa wa pili umeme ulipi ni wakuwasha taa tu hauwezi kuwasha hata mashine za kusagia unga.
Je, wale wananchi hawana haki ya kurudishiwa umeme kwa wakati?
Au hakuna transformer za akiba?
Au ndo basi hawatafunga tena nyingine?
Kama watafunga kuna ulazima gani wa kujivutavuta?
Ni hayo tu.
Sent from my TECNO CA8 using JamiiForums mobile app