Watoto wazuri na zawadi ya iPhone

Watoto wazuri na zawadi ya iPhone

Mkuu kwani ukihonga 30,000 kama watu wengine unapata hasara gani?
Ukiingiza tu anaanza kukwambia hukojoi tu? Hiyo ni hasara kwangu, bora kumpa iPone na saa kali + hela za matumizi hapo anakupa kwa moyo 1 bila kuigiza na milango yako ya mafanikio inafunguka kwasababu ya positive energy.
 
Kuna wadada wamejaaliwa utamu na kipaji cha mahaba kitandani.

Cha msingi usimtongoze kizembe, wewe ni mwanaume, mtafutaji, mnunulie iPhone 16 pro max na saa yata ya laki 5 tu, utanishukuru.

Yani unapewa kwa moyo wote na hapo ndio utaona utam wa mwanamke.

October tunatiki kumuunga mkono mama yetu wa kizimkazi, halafu mwambieni mama sa100 hatutanii, no reforms no election.
Yaani uhonge iPhones 16 kwa ajili ya ngono ya siku1?
 
Nyie ndio mnatuharibia wanawake. Unamhonga hivyo halafu unamuacha, matokeo yake sisi tukimtumia elfu 50 anatuona kama mbuzi tu..

Ukimhonga mwanamke kiasi icho uhakikishe unamuoa kabisa maana ukimuacha sisi wengine hatumuwezi sasa unamuachia nani..? 🤨
Upo sahihi kabisa
 
Kuna wadada wamejaaliwa utamu na kipaji cha mahaba kitandani.

Cha msingi usimtongoze kizembe, wewe ni mwanaume, mtafutaji, mnunulie iPhone 16 pro max na saa yata ya laki 5 tu, utanishukuru.

Yani unapewa kwa moyo wote na hapo ndio utaona utam wa mwanamke.

October tunatiki kumuunga mkono mama yetu wa kizimkazi, halafu mwambieni mama sa100 hatutanii, no reforms no election.
No pu$$¥ is worth that much...
 
Kuna wadada wamejaaliwa utamu na kipaji cha mahaba kitandani.

Cha msingi usimtongoze kizembe, wewe ni mwanaume, mtafutaji, mnunulie iPhone 16 pro max na saa yata ya laki 5 tu, utanishukuru.

Yani unapewa kwa moyo wote na hapo ndio utaona utam wa mwanamke.

October tunatiki kumuunga mkono mama yetu wa kizimkazi, halafu mwambieni mama sa100 hatutanii, no reforms no election.
Ponjoro vipi kwani jana umelala na viatu,mbona mawazo mchanyato,pilao,mchele,ndizi maharage na nyama vyote kwa pamoja.No reforms no election.
 
Kuna wadada wamejaaliwa utamu na kipaji cha mahaba kitandani.

Cha msingi usimtongoze kizembe, wewe ni mwanaume, mtafutaji, mnunulie iPhone 16 pro max na saa yata ya laki 5 tu, utanishukuru.

Yani unapewa kwa moyo wote na hapo ndio utaona utam wa mwanamke.

October tunatiki kumuunga mkono mama yetu wa kizimkazi, halafu mwambieni mama sa100 hatutanii, no reforms no election.
Umekosa hata kapicha Ponjoro?
 
Hiyo 5 - 30k inatosha kabisa kwa nauli na vitu vidogo vidogo. Sasa unataka tutoe nyingi ina maana umegeuza papuchi kuwa ajira rasmi sindio..? 🙄
Hata hiyo 5-30k ipo sawa sijabisha ila isiitwe kuhonga iitwe sadaka. Kuhonga ni neno kubwa sana kutumika kwenye 5 to 30k ni kulikosea heshima🤣
 
Vijana,ninapowaambia kuhusu masimp huwa namaanisha hawa watu wa hivi.

Sasa unaona huyu Simp, from nowhere ametoka alikotoka akili yake inamwambia kwamba ili mwanamke akupe nafasi ya kumpiga ukuni, basi uweke rehani milioni zako 3.7 kumnunulia iphone 16 pro max,na saa ya laki tano. Yaani utumie zaidi ya shilingi milioni 4 pesa za kitanzania kumuapproach mwanamke.

Ni watu wa hivi wanafanya wanawake wahisi sehemu zao za siri ni mitaji ya kibiashara na kuona kwenye ndoa hakuna faida ila kwenye umalaya na udangaji.

Mbwiga kama huyu unakuta hana uwezo wala mistari ya kumshawishi mwanamke kuzungumza nae na kumlainisha hadi atoe gemu, anaona shortcut ni kutumia pesa. Pesa ambazo angeweza fanyia maendeleo au angepatia hata wazazi wake kama zawadi.

Au angesaidia kijana mwenzake mtaji ili aweze kutoboa kimaisha. Ila huyu takataka anaona ni rahisi kuombea uchi kwa siku moja.

Watu kama mleta uzi ndio maadui nambari moja katika jamii na kwa wanaume. Hawa wapo kundi moja na masingle mother, mafeminist katika kuizorotesha jamii,kuharibu ustawi wa uzazi, familia na jamii.

Hapo ukimuuliza kisingizio chake au majibu yake utasikia "tafuta hela bro", hovyo kabisa,ungekuwa huna hela ina maana ungeishi vipi na wanawake jinga moja hili.

#Ma'simp watokomezwe.

IMG_20250801_090950.png
 
Back
Top Bottom