Simp hilo. Halina mbinu linatumia ufala kuonekana ni mwanaume wa shoka kumbe fala moja.Utamuoa wewe au ataolewa na wenye uwezo wa Tecno😒
Naaam mkuu😂Nyie ndio mnatuharibia wanawake. Unamhonga hivyo halafu unamuacha, matokeo yake sisi tukimtumia elfu 50 anatuona kama mbuzi tu..
Ukimhonga mwanamke kiasi icho uhakikishe unamuoa kabisa maana ukimuacha sisi wengine hatumuwezi sasa unamuachia nani..? 🤨
"Jamani"We dada jamani natamani kukuletea zawadi ya iPhone 17 Pro max na saa ya gold halisi.
30000 max??Hawa ndio wanafanya mabinti waone kama papuchi zao ni vitega uchumi.
Tulishakubaliana humu bei elekezi ya kuhonga ni kuanzia shilingi 5,000 - 30,000 max.
Kapicha ka watoto wazurikapicha ka iPhone 16 pro max? ingia google.
Yes, sadaka ya shukran I kwa kipochi manyoya.Ya sadaka sio?
Walilalamikia mfumuko wa bei mkuu kikao kilichofuata ndio tukapandisha mpaka 30.30000 max??
Mlikubaliana wapi na nan mkuu
Kwani si ilikua 2000-10000?
Msela wapi, we tozi, hauna hela.. 🤣🤣we una chunwa, mi namega kisela by mchizi mox ft mangwair.
😂😂Walilalamikia mfumuko wa bei mkuu kikao kilichofuata ndio tukapandisha mpaka 30.