Nimeshuhudia Mlimani Tv mtoto mmoja akihojiwa pale Karimjee na mwandish wa habari.Kwanza huyo mtoto hajui kama anasoma au la! Maana umeulizwa akadai mwanafunz mara akaulizwa tena unasoma wapi akajibu sisomi.umekuja kufanya nini hapa? Akasema ameambiwa kuna mkutano. Baadae akahojiwa Tambwe akabwabwaja kama kawaida.wenzetu walileta wao jana na sisi tumeleta.Nina was was na elimu ya Tambwe nafikir wanaenda na katibu wake tu!