Watoto waletwa kujaza viti Karimjee Hall-Katiba

Nimeshuhudia Mlimani Tv mtoto mmoja akihojiwa pale Karimjee na mwandish wa habari.Kwanza huyo mtoto hajui kama anasoma au la! Maana umeulizwa akadai mwanafunz mara akaulizwa tena unasoma wapi akajibu sisomi.umekuja kufanya nini hapa? Akasema ameambiwa kuna mkutano. Baadae akahojiwa Tambwe akabwabwaja kama kawaida.wenzetu walileta wao jana na sisi tumeleta.Nina was was na elimu ya Tambwe nafikir wanaenda na katibu wake tu!
 
Ingekuwa enzi za mwalimu watoto hao wangelikuwa shule wanakula kitabu, lakini kwa hii serikali ya leo kila kitu mzaha no wonder div 0 zinaongezeka na kiwango cha elimu kushuka.. Ushirikina ndo unashika kasi na ufisadi, usomi na uweledi unaitwa "vurugu" na "uchochezi" mmmhhhhh :disapointed:
 
Du, nimeiona kwenye itv sasa hivi, watoto kibao wanalala hata hawajui wamefika pale kufanya nini
 
Usenge huu najua una mwisho wake na sasa kwa hili CCM wanajitafutia mwisho wake. Hao hao wanaowaleta hapo kesho yake najua ni ndama wa people's power. Wakikua na kujua ni nini maana ya chama cha majambazi watageuza nyuso zao nyuma na kurudi!
 
Ndiyo maana naipenda Tz?

Si mliona baada ya Babu Loliondo kusema kaoteshwa na Mungu kesho yake na wengine wakaoteshwa....!

Jana wamezomewa na sasa wamejibu mapigoooooooo!

TAMBUENI HAYA YA KATIBA NI MCHEZO, ILA USIPOCHEZWA VIZURI HATA WALE WANAODHANI WATASHINDA WANAWEZA KUSHANGAA MATOKEO.....!

Kumbe nao wanaweza mambo ya kihuni eeeh!?
Nimemsikia Tundu Lissu naye akiiga ya Ccm jana, kuwa kuna vijana wameletwa kufanya vurugu kwa ushabiki wa kisiasa, sikusikia maoni yake kwa tukio kama hilo jana.
Sijaipenda hii ila angalau tusikie na uhuni wa wengine sasa...
 
Hatimae watoto wa mitaani wameonekana wana umuhimu maana yake serikali ilikuwa inawaacha wazagae ovyo, pengine nao sasa wataweza kusaidiwa. Natoa angalizo tusije fika mahali wakawafungulia maghala ya silaha kama huko libya walivyo fanya, dalili za mvua ni mawingu.
 
Kweli CCM mishipa yao ya aibu imeshaoza haifanyi kazi kabisa, yaani watu wazima wanatoa mawazo ambayo ukiyasikia unabaki kushangaa tu, eti ndio viongozi wetu, yaani tunataka kuunda katiba mpya, halafu huyo aliyesababisha tutake kuunda katiba mpya (kwa kuchakachua kwake) eti ndio atupangie hizo hadidu za rejea, hii ni akili au matope, sasa kuna sababu gani ya kujadili kitu ambacho matokeo yake tunayajua. Rais ambaye wote tumeuona uwezo wake wa kufikiri ndio atupangie nini cha kuweka kwenye katiba.

Shauri yenu CCM Gbagbo mwenzenu siku hizi anaishi shimoni kama nyoka, au hamsikilizi habari.

'A FOOL LEARNS FROM HIS OWN MISTAKES, A WISE MAN LEARNS FROM OTHER PEOPLE'S MISTAKES'

Baadaye, nakwenda kwa wakubwa. politiki siwezi.

Halafu kuondoa yale mambo ya msingi katika rasimu hiyo ya katiba kama mamlaka ya Rais, uwepo wa serikali ya mapinduzi ZNZ, Uwepo na au muundo wa muungano na muundo wa serikali n.k ili yasijadiliwe ama kutolewa maoni na wananchi maana yake nini? Si afadhali wangekaa huko huko serikalini wakapitisha hiyo rasimu? Huu ni upotevu dhahiri wa muda na rasilmali muhimu za wanyonge wa Tanzania kabisa.
 
Hapa bongo zetu tumezipeleka likizo na au kufikiri kwetu ndo kumeishia hapa na sasa tunasubiri liwalo na liwe... Yaani tunaona ni bora machafuko kuliko amani nadhani amani kweli imetuchosha na sasa tunaandaa mazingira ya kuuana... Ole wao watu hao wanaotaka kutimiza malengo yao kwa njia hii
 
Ndiyo maana naipenda Tz?

Si mliona baada ya Babu Loliondo kusema kaoteshwa na Mungu kesho yake na wengine wakaoteshwa....!

Jana wamezomewa na sasa wamejibu mapigoooooooo!

TAMBUENI HAYA YA KATIBA NI MCHEZO, ILA USIPOCHEZWA VIZURI HATA WALE WANAODHANI WATASHINDA WANAWEZA KUSHANGAA MATOKEO.....!
kama wao ni wajanja si wamuige Elton John basi??
 
sasa ivi iko poa!

avatar30595_5.gif
 
Lakini wakuu nadhani toka mwazo mkuu alipodai kwenye hotuba yake kuwa ataandaa mabadiliko ya katiba sisi tuliona ya kuwa amedandia gari ambalo safari yake haijui na haya ndio matokeo ya kufanya safari bila maandalizi. CCM hawako tayari kufanya mabadilko ya dhati bila ya kulazimishwa na ndicho kitakachotokea.
 
niliiona itv jana nilisikitika sana kwa kitendo kilichofanywa na ccm..kweli mtu asie na aibu ni wa kuogopa sana..ccm waendelee na mizaha na maisha yetu ila tusije kulaumina mbele ya safari..
 
CCM kuna kundi la wenye akili za upupu kabisa....Makamba aondoke na vilaza wenzake wooote kina Hiza na wengine huu ni upuuzii kabisa mustakabali wa taifa wanaleta omba omba wenye njaaa kuja kukesha ajili kuzomea??kumbe sababu kupata 24% JK wao ni wao wenyewe wanasingizia Sita!!shame on you CCM
 
Back
Top Bottom