Son of Alaska
JF-Expert Member
- Jun 2, 2008
- 2,812
- 1,054
GAME THEORY,now you are talking,huyu ALI MAPILAU yupo? hata home alishapata tender,wish i could push back the hands of time
Hii thread ni ya watoto wa mjini ambao ni members wa JF
Wakuja msihofu sana maana hatutowabagua kama Dar palikuwa ni transit lakini ukweli ni kuwa Dar ina wenyewe na wenyewe ndio sisi na tunajuana
haya nani kati yenu hajamuuzia FILIPINO pale stendi nyuma ya Steak Inn(kabla hajahamia kule relwe) CD na mambo ya electroniki?
By the way huyo FILINO mwenyewe alikuwa ni wa kuja
Hii thread ni ya watoto wa mjini ambao ni members wa JF
Wakuja msihofu sana maana hatutowabagua kama Dar palikuwa ni transit lakini ukweli ni kuwa Dar ina wenyewe na wenyewe ndio sisi na tunajuana
haya nani kati yenu hajamuuzia FILIPINO pale stendi nyuma ya Steak Inn(kabla hajahamia kule relwe) CD na mambo ya electroniki?
By the way huyo FILINO mwenyewe alikuwa ni wa kuja
GT,Talk about Muhimbili
Hivi ALI MAPILAU bado yuko pale au?
Mimi sioni ubaya wa hii thread ndo maana kuna jukwaa mbalimbali siasa,dini,mahusiano n.K!Gee! Do we really need this type of thread here!?
Kwanini tundelee kubaguana badala ya kujuimuika hapa kama Watanzania na kujadili mada mbali mbali za nchi yetu na dunia nzima!? Udini, sasa utoto wa mjini na wasio watoto wa mjini si ajabu na ya ukabila itatundikwa muda si mrefu. Hatuyataki haya ya kubaguana!!!
Mimi sioni ubaya wa hii thread ndo maana kuna jukwaa mbalimbali siasa,dini,mahusiano n.K!
Hapa ni Celebrities Forums, so hakuna mbaya yoyote kwa thread hii kujitanua..Naona JF sasa kinataka kuwa kama "kijiwe cha wauza na wanywa kahawa". Hii thread imekaa kilimbukeni, yaani sisi kule kwetu limbukeni ni "mtu ambaye huwa kila wakati anataka watu wamjue yeye ni nani na ana nini". Haya sisi wakuja ngoja tukae pembeni
Hii thread ni ya watoto wa mjini ambao ni members wa JF
Wakuja msihofu sana maana hatutowabagua kama Dar palikuwa ni transit lakini ukweli ni kuwa Dar ina wenyewe na wenyewe ndio sisi na tunajuana
haya nani kati yenu hajamuuzia FILIPINO pale stendi nyuma ya Steak Inn(kabla hajahamia kule relwe) CD na mambo ya electroniki?
By the way huyo FILINO mwenyewe alikuwa ni wa kuja
Hapa ni Celebrities Forums, so hakuna mbaya yoyote kwa thread hii kujitanua..
Kweli mwenzetu ni kijana. Ulimuuzia jamaa CD? Naona sisi wa Osibisa, Kool and the Gang, Brass Construction, Brothers Johnson, War, Temptations, Commodores, Carlos Santana, Marvin Gaye. Chaka Khan, Millie Jackson, KC and the Sunshine Band, Earth, Wind and Fire, the Wailers, Sunburst, the Barkays, the Barkeys, Isaac Hayes, Otis Redding, George McCrae, Staple Singers..........tukae pembeni!