Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Najua ni sehemu ya siasa lakini Mods we need something for a change at least for a weekend then mnaweza kuihamisha jumapili ikisha
Haya watoto wa mjini hebu tuambieni kuna sehemu inachai nzuri kama K-TEA SHOP?
Najua kuna watu na wake zao wana ugomvi kila kukicha kisa hawanywi chai home
Haya watoto wa mjini hebu tuambieni kuna sehemu inachai nzuri kama K-TEA SHOP?
Najua kuna watu na wake zao wana ugomvi kila kukicha kisa hawanywi chai home
Last edited by a moderator: