Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 47,200
- 188,727
🤣🤣🤣 ngoja nizisake.. nianze kuwa rich auntiiMamdogo tafuta hela uitwe auntie kotekote😂
🤣🤣🤣 ngoja nizisake.. nianze kuwa rich auntiiMamdogo tafuta hela uitwe auntie kotekote😂
Hahahaa pambana🤣🤣🤣 ngoja nizisake.. nianze kuwa rich auntii
hahahaha wale wa ipinda....wooyooAnkoo ndiyo rahisi kumkula ila mjombaaa hapana,mjomba ni mama,ankoraaaa ankoraaa unamkula fasta,karibuni matema
Kubali kuwa wewe ni mjomba. Uncle ni baba mdogo au mkubwa .Kweli natoka kuitwa uncle hadi naitwa mujomba hapana sikubali
Tafuta hela tu, utawapangia unavyotaka wakuite😂😂😂Wakuu
Hili swali najiuliza watoto wa dada yangu hawa nawapenda sana na zamani nilipokua naishi mjini nilikua nawapeleka beach na mara kadhaa kwenda sehemu kula hata burger sasa ajabu hii
Toka nimerudi kijijini na mambo kwenda ndivo sivyo watoto hawa wa dada wananiita mjomba hivi nataka nimweleze Dada tatizo ni nini?
Binafsi napenda waendelee kuniita uncle mambo ya mjomba sitaki kuyasikia kabisa.
Muda sio mrefu wataanza kukuita jombi
Mtoa mada azingatie masomoUnataka kusema nini labda
NimechekaaSasa wewe si unajua uncle inaendana na ice cream, unategemea uwachemshie mihogo mikavu na wakuite uncle.
Hizi dharau zimezidi kha😂😂
na ushukuru wamempa ka heshima kidogo ,na muda si mrefu watakuita ankoliUmefulia mjomba, ukiwa na pesa utaitwa uncle.