- Thread starter
- #21
Ankoo mana yake anae njeree(hela) mjomba huna hata mia.Mwambie dadako kisa huna njeree ndiyo wameamua kukuita mjombaa kweliii japo kule kwetu matema huwa tunaitwa tu mjombaaa mjombaaa uwe na njeree au ukiwa huna wewe mjombaa tu
Yaani bora nikapumzike ipinda tu maana hii sio kawaida