Marcostilone
JF-Expert Member
- Jun 25, 2023
- 6,566
- 16,285
Kila mtu aogelee kwenye kina anachokimudu!
Bro napenda sana mishangazi sijui nikojeSure tips
Kaka ukibahatisha ndo utajua maana ya UTAMU wa maishaI love them sugar mammys...
Wanajua mapenzi matamuu.
Hapana mwingine kama upo tayari sema suuuuHuyo mshangazi
Mko vizuri sana isipokuwa kama anatoka singida hakuna kitu utaambulialeo hii mishangazi tumefikiwa.
Unasikitisha sana mtu kutaka mshangazi anataka kuelewa, basi kuelewa wako kwenye mapenzi upo chin sana poleKwa wimbi la vijana kutaka kulelewa inahuzunisha hata hao wanawake walijituma kwenye kuyajua mapenzi.
Wanawadharau wanawakejeli basi sisi tumeona tuwastiri wanachukia, inasikitisha sana, alafu nani kawaambie kila mshangazi una hela za kumlea mwanaume?leo hii mishangazi tumefikiwa.
Na maua yenu mnajua mnajua mnajua tena mmekua mnajielewa nilimiliki mshangazi na nilimiliki mtoto wa elfu mbili Kwa kweli, mshangazi ulinipa raha, sijawahi omba hata mia ila mi ndio nilikua natoa pesaleo hii mishangazi tumefikiwa.
Kuanzia 30Hivi mishangazi inaanzia miaka mingapi wakuu? au liwe limekuzidi miaka mingapi?
Awe ame zaaa au haja ZAA akisha fika 35 huyo anaanza kuingia taratibu , akifika 40 huyo ni verified mshangaziHivi mishangazi inaanzia miaka mingapi wakuu? au liwe limekuzidi miaka mingapi?
Mshangazi bro ni balaa, hizi za 2000 hata kufua Chupi ni mtihaniNa maua yenu mnajua mnajua mnajua tena mmekua mnajielewa nilimiliki mshangazi na nilimiliki mtoto wa elfu mbili Kwa kweli, mshangazi ulinipa raha, sijawahi omba hata mia ila mi ndio nilikua natoa pesa
Aaah mkuu unawa Zeesha nadhani kuanzia 40Kuanzia 30
Sawa basi tuanze na 40Aaah mkuu unawa Zeesha nadhani kuanzia 40
Alafu vinakera ukikiambia amka upike kinasema kimechoka, ukiombwa mzigo kinasema kimechoka yani mtihani tupu, alafu kanalala na huyu kesho na huyu shida tupuMshangazi bro ni balaa, hizi za 2000 hata kufua Chupi ni mtihani
Sawa basi tuanze na 40
Umetishaaa mkuu mambo ya kupangiana sio poaKila mtu aogelee kwenye kina anachokimudu!
Kaka dunia ya Leo ukitaka miliki mshangazi special usitegemee kuhudumia, toa mkwanja wewe ili ustand as a manMko vizuri sana isipokuwa kama anatoka singida hakuna kitu utaambulia
Anhaaaa Mimi ninae wa 35 kwa hiyo mnamweka kwa mishangazi au sio?Awe ame zaaa au haja ZAA akisha fika 35 huyo anaanza kuingia taratibu , akifika 40 huyo ni verified mshangazi