Watoto niwapeleke wapi leo Eid wakatembee hapa Dar? Nimechoka na Coco Beach

Ipo wapi hii?

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
iko karibu na cocobeach. ukitoka salender bridge kama unaelekea mwenge kuna, just baada ya salender bridge kuna mataa yanafuata. Kwenye hayo mataa turn kulia. Nyoosha moja kwa moja mpaka ukutane na T-junction ambapo km ukikata kulia unaelekea Coco. Sasa wewe kwa hiyo T-junction endelea kinyoosha huku ukiangalia kushoto nadhani ni jengo km la nne hivi ndi hapo hapo.
 
iko karibu na cocobeach. ukitoka salender bridge kama unaelekea mwenge kuna, just baada ya salender bridge kuna mataa yanafuata. Kwenye hayo mataa turn kulia. Nyoosha moja kwa moja mpaka ukutane na T-junction ambapo km ukikata kulia unaelekea Coco. Sasa wewe kwa hiyo T-junction endelea kinyoosha huku ukiangalia kushoto nadhani ni jengo km la nne hivi ndi hapo hapo.
Kenyatta Drive. Hii sio The Green Sports Park?
 
Tatizo mnangoja hadi sikukuu ndio mnatoka mnaenda kutembelea sehem za burudan na starehe...
Watoto na nyie watu wazima mngekua mna desturi ya kutembea angalau mara mbili kwa mwezi ingekua vzuri...
Siku hizi za sikukuu ni kwaajili ya kukaa ndani na familia kupiga stori kucheza kula na kunywa... Sio kuzurura
Hapana umekosea. inategemea ntu na ntu. Nawatoaga out nikiwepo. Lakini siku hii ya sikukuu nilitaka niifanye special kidogo.
 
Hapana umekosea. inategemea ntu na ntu. Nawatoaga out nikiwepo. Lakini siku hii ya sikukuu nilitaka niifanye special kidogo.
Hawa watu hawajui watoto wanaichukuliaje siku ya SIKUKUU.Hata kama unawatoa kila weekend sikukuu usipowatoa au kuwanunulia nguo haijakamilika.
 
Tembea nao kwa ndugu ama kama unaweza nenda nao kwenye vituo vya watoto yatima hapo utakuwa umewafunza jambo muhimu sana katika maisha yao,wataelewa kumjua na kutambua uwezo wake
insha'Allah next sikukuu mkuu
 
ILA uende ile dynasty ya mwisho kabisa ndo nzuri Sana.
Na mademu wao WAKALI.
Yaani unatumia Huku unasuuza macho
hahahaha haina Noma.
Uzuri wife hua Hana shida nikiosha kwa macho. Sema ananilimit mda tu. Nisiangalie for long time Sana.
 
Wapeleke daraja la chuma pale Buguruni kama unaenda Tabata, nmekuta jana Wanyonge wenzako wanauza Ubuyu na Vibagia wanejaa kule juu wanashangaa shangaa
 
Back
Top Bottom