Watoto niwapeleke wapi leo Eid wakatembee hapa Dar? Nimechoka na Coco Beach

Eid Mubarak!

Baada ya kuwanunulia nguo za Eid sasa niwakati wa kutafuta sehemu ya kuwapeleka wanangu kutembea Leo hii siku ya Eid.

Naombeni sehemu ya kwenda maana nimechoka kila siku Coco beach tu bhana.

Asanteni
Kama una site wapeleke hata wakang'oe ng'oe nyasi sio lazma wakachezee maji jaribu kuwafunza uzalendo
 
Ungejibu unaishi wapi, uambiwe maeneo ya karibu...ukisema unaenda popote sasa unaomba ushauri wa nini?? Na eneo unalojua ni coco beach?? Duh
eee bhana eeeeh. hii ni ckukuu full tank lazima. Kaji Dar kenyewe kadogo... hence popote naenda
 
FEEDBACK: Finally baada ya kuulizia huku na kule nimeenda GULAMALI'S ....STEAK HOUSE AND MULTI CUISINE
We had unforgettable moments with fam.
Asanteni Sana kwa michango yenyu.
.
.
.
iko karibu na cocobeach. ukitoka salender bridge kama unaelekea mwenge kuna, just baada ya salender bridge kuna mataa yanafuata. Kwenye hayo mataa turn kulia. Nyoosha moja kwa moja mpaka ukutane na T-junction ambapo km ukikata kulia unaelekea Coco. Sasa wewe kwa hiyo T-junction endelea kinyoosha huku ukiangalia kushoto nadhani ni jengo km la nne hivi ndi hapo hapo.
Hapooo👇👇👇
The green sport park.
The Green Sports Park
0692 000 030
[URL The Green Sports Park · 41 Kenyatta Dr, Dar es Salaam, Tanzania
 
Tatizo mnangoja hadi sikukuu ndio mnatoka mnaenda kutembelea sehem za burudan na starehe...
Watoto na nyie watu wazima mngekua mna desturi ya kutembea angalau mara mbili kwa mwezi ingekua vzuri...
Siku hizi za sikukuu ni kwaajili ya kukaa ndani na familia kupiga stori kucheza kula na kunywa... Sio kuzurura
 
Tatizo mnangoja hadi sikukuu ndio mnatoka mnaenda kutembelea sehem za burudan na starehe...
Watoto na nyie watu wazima mngekua mna desturi ya kutembea angalau mara mbili kwa mwezi ingekua vzuri...
Siku hizi za sikukuu ni kwaajili ya kukaa ndani na familia kupiga stori kucheza kula na kunywa... Sio kuzurura
Sure
 
Point
Tatizo mnangoja hadi sikukuu ndio mnatoka mnaenda kutembelea sehem za burudan na starehe...
Watoto na nyie watu wazima mngekua mna desturi ya kutembea angalau mara mbili kwa mwezi ingekua vzuri...
Siku hizi za sikukuu ni kwaajili ya kukaa ndani na familia kupiga stori kucheza kula na kunywa... Sio kuzurura
 
Tembea nao kwa ndugu ama kama unaweza nenda nao kwenye vituo vya watoto yatima hapo utakuwa umewafunza jambo muhimu sana katika maisha yao,wataelewa kumjua na kutambua uwezo wake
 
Back
Top Bottom