Watasambaratishwa, watakwisha wote.....

Watasambaratishwa, watakwisha wote.....

Mkuu, naona unajitekenya mwenyewe na unajichekea. haya ndo madhara ya kunywa viroba asubuhi na mapema.

Inaelekea mume wako ukukushughulika ipasavyo jana usiku....Hii hisababisha madharara makubwa kwenye ubongo..
 
tunakujua dada ila bahati mbaya hakatwi mtu hapa...kwa taarifa yako bwanako lema hatumtaki kwenye cdm yetu m,,,,ako zako wewe
 
tunakujua dada ila bahati mbaya hakatwi mtu hapa...kwa taarifa yako bwanako lema hatumtaki kwenye cdm yetu m,,,,ako zako wewe

hayo ndio malezi uliyoyapata na wewe wakati wa kukua kwako....

Tukana tu wala usiwe na hofu na usisite kuonyesha kipaji chako
 
Wakuu pls naomba maana ya neno UZANDIKI naona limekuwa msamiati mpya hapa JF. hasa kwenye siasa.
 
Usianzie chini anzia juu! Hampendi kuguswa wakati juu ndo kuna maamuzi.
 

Mtoa hoja mawazo yako ni ya msingi ..ila ukiiweka kwa mtazamo wa kihistoria.....wapi tulipojikwaa tukaangukia kwenye lindi hilo la woga, unafiki, uzandiki, ubinafsi....nk? Au si ndwele yalopita?
 
Tena waondoke wote wakajiunge na wenzao kina Shonza,"bora Simba wengi wakali walio nje,kuliko nyoka mdogo aliye ndani"G.LEMA.
 
Back
Top Bottom