Watasambaratishwa, watakwisha wote.....

Watasambaratishwa, watakwisha wote.....

Rose, umeandika mengi lkn unaogopa kusema unamwakilisha nani na unamlenga nani, you are too general.

Bila shaka Hili ndilo swali rahisi kupata kuliona tangu mwaka huu uanze ! Hata kama ulisoma pale YUSUPH MAKAMBA SEC SCHOOL AU MAMA SALMA SEC SCHOOL, BADO swali hili ni mdebwedo mno !
 
its too general i didn't get the connection between the dots kwa sababu umetumia mafumbo sana

hata sikutaka kila mt aelewe ila wachache watakaotumia mda wao kfikiri wajaribu kuling'ama hili(japo sina hakika sana na nachokisema)
 
.

Ok, mpo kwenye operation wewe na nani?! Mmetumwa na nani na kwa maslahi ya nani?

Hii ni kwa Tz nzima na kama utakuwa ni mfuatiliaji mzuri utaelewa ninachokisema, nakufurahia namna ambavyo wapigania haki wanafanya kazi kwenye majimbo na mikoa yao kuhakikisha hakuna mamluki anayepata nafasi kwenye chama..
NADHANI UMENIELEWA
 
Viroba na zanzi ukijaribu kutaka kuwa mjenga hoja kama MM

Huyo dada siasa kajifunzia chuoni ruco 2011, Chadema kaijulia ruco, uharakati anajifunzia ruco nashangaa na yeye anajifanya saivi ni mkongwe very funny asee
 
Mipasho,hadi akina hadija kopa wamekuja humu JF
 
huyo dada siasa kajifunzia chuoni ruco 2011, chadema kaijulia ruco, uharakati anajifunzia ruco nashangaa na yeye anajifanya saivi ni mkongwe very funny asee

itawagusa wengi sana, anyway sina haja ya kukueleza siasa nimeanzia wapi kwani haitakusaidia wewe wala anayepitia uzi huu...ingekuwa busara ungekaa kimya ama kutoa mchango wako ukiweza, si kIla bango lazima ujibie kama hakuna hoja unakaa kimya
 
semeni nani mnamlenga. au mnaogopa kujibiwa kwa hoja? maana CHADEMA wengi ni walalamikaji tu na hawana hoja hata moja
Kwa vyovyote tutakavyosema,CDM wamefanikiwa kumtoa nyoka pangoni
Jiulize tangu uhuru mpaka M4C uliwahi kuona wapi,kasi ya ccm kutembelea nchi kama wanavyofanya sasa?
Wananchi tulikuwa tunataka hivyo,awepo mtu atakayesema ccm ikasikia,na ktk hili CDM imefanikiwa sana.
Binafsi sishabikii upande wowote wa wanaolumbana ndani ya CDM kwani kwangu,kuanguka kwa CDM
ni kuanguka kwa Tz nzima.Hata hiyo mikoa inayojiita ngome za ccm wabunge wao tunawaona bungeni wakilalama
ni mpaka hawa wabunge mahiri wa CDM wakipigisha gwaride ndo chama tawala kinasafisha walipoonesha kuna uchafu.
WaTZ wenye mapenzi mema na nchi hii tuombe Mungu CDM izidi kuwa na nguvu,ili upinzani uwe na maana hapa nchini.
 
Hivi kuna baraza la wazee chadema? hiki chama hakina wazee? maana wahuni wametamalaki kwenye hiki chama! hakuna wa kukemea!
 
Kwa vyovyote tutakavyosema,CDM wamefanikiwa kumtoa nyoka pangoni
Jiulize tangu uhuru mpaka M4C uliwahi kuona wapi,kasi ya ccm kutembelea nchi kama wanavyofanya sasa?
Wananchi tulikuwa tunataka hivyo,awepo mtu atakayesema ccm ikasikia,na ktk hili CDM imefanikiwa sana.
Binafsi sishabikii upande wowote wa wanaolumbana ndani ya CDM kwani kwangu,kuanguka kwa CDM
ni kuanguka kwa Tz nzima.Hata hiyo mikoa inayojiita ngome za ccm wabunge wao tunawaona bungeni wakilalama
ni mpaka hawa wabunge mahiri wa CDM wakipigisha gwaride ndo chama tawala kinasafisha walipoonesha kuna uchafu.
WaTZ wenye mapenzi mema na nchi hii tuombe Mungu CDM izidi kuwa na nguvu,ili upinzani uwe na maana hapa nchini.

CHADEMA hawana usafi wala ubavu wa kuipigisha gwaride CCM!
 
Hivi kuna baraza la wazee chadema? hiki chama hakina wazee? maana wahuni wametamalaki kwenye hiki chama! hakuna wa kukemea!

chama chako kina wazee pia lakini ndo kinaongoza kwa kufanya madudu...safisha kwako kwanza ili upate nguvu ya kuangalia na kwa jirani.
 
Inamhusu Zito? Au akili yangu nyembamba haijajua methali hii?
Khaa!! wewe kila kitu unamuwaza Zitto tu? Huyu jamaa anaonekana jembe sana ndiyo maana anawatia joto sana. Na bado lazima mkome :doh:
 
umetumia siku ngapi kuiandaa hii/ ni fupi sana na nzito mno na haina upendeleo kila mtu afikiri afikirivyo ila ujumbe umefika...hatutaki kuwalinda wanafiki awe zitto au lema yeyote yule tutapiga chini ila mimi naona Zitto ni mnafiki kwa mambo yanavyomwendea sasa na pia miaka miwili mitatu iliyopita kwa kesi zake na kina id za tuntemeke na kse za kina ben saa nane plus ushahidi unaowekwa humu jf plus mimi binafsi ninavyomfahamu kwa ukaribu na kwa uelewa wangu wa kawaida kama binadamu mwenye akili timamu ninaelewa nini anfanya na pia nafanya reasoning napata truth kuwa zitto niMNAFIKI MKUU KAMA JINI MAHABA LIPO BASI ZITTO NI JINI UNAFIKI LENYEWE LENYE SURA YA BINADAMU....

NI MIMI YULEYULE NINAECHUKIA WANAFIKI
 
Kwa hiyo hata yule cameroon kwa kuwa amezungumziwa sana kwa kutaka muwe mashoga nae ni jembe au vipi?

khaa!! Wewe kila kitu unamuwaza zitto tu? Huyu jamaa anaonekana jembe sana ndiyo maana anawatia joto sana. Na bado lazima mkome :doh:
 
Wewe hauna akili ni mavi tuu yamejaa kichwa ni unapinga hata vitu vilivyo wazi kabisa yaani huyu ulimquoteameandika bila upendeleo lakini kwa kuwa wewe ni ------ umeleta siasa za maji taka..
chadema hawana usafi wala ubavu wa kuipigisha gwaride ccm!
 
mbona baraza la wazee wenu ndio kuna kinana mwindaji haramu aka msomali/muhamiaji haramu,lowasa aka richmond/aka mwendesha siasa chafu/majitaka according to ur fellow F.Sumaye tena kasema jana tuu na pia Rostam nae alisema kipindi kilichopita...yupo Steve Wassira mzee wa kulala na mzee wa pumba....ushahidi vikao vya bunge...na yule mzee mwenye mtindio wa ubongo...makamba mpaka mmempiga chini ukatibu so n so....sasa mnataka kutuambia nini nyie masisiem
Hivi kuna baraza la wazee chadema? hiki chama hakina wazee? maana wahuni wametamalaki kwenye hiki chama! hakuna wa kukemea!
 
Back
Top Bottom