Fisadidagaa
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 962
- 235
tunakujua dada ila bahati mbaya hakatwi mtu hapa...kwa taarifa yako bwanako lema hatumtaki kwenye cdm yetu m,,,,ako zako wewe
Gamba kazini,na wewe mwambie mwambie bwana'ko Shibuda hatumtakiii.
tunakujua dada ila bahati mbaya hakatwi mtu hapa...kwa taarifa yako bwanako lema hatumtaki kwenye cdm yetu m,,,,ako zako wewe
Watanzania unafiki ndo unatufanya turudi nyuma kila siku kuogopana na kulindana, mtu mkweli kama lema kwangu atabaki shujaa wa maisha yangu yote
Mawazo hasi kama haya ndiyo yanayojenga makundi na mifarakano ndani ya CHADEMA.Watu hawajaijua vizuri demokrasia, kila mtu anajaribu kugusa juu juu tu ili mradi apate pa kuanzia.
Tupo kwenye Operation kali ya kuondoa wale wote waliokuja kwenye nyumba yetu kimakosa, wakiweza warudi walikotoka au watafute makazi mengine mapya. Hapa tutaanzia ngazi ya chini kabisa ya ukoo wetu mpaka mwisho wake, tutapembua pumba zote na kuhakikisha tunabaki na ngano safi bila kujali itatugharimu kiasi gani.
NIA YA KUFANYA HAYA YOTE TUNAYO, SABABU ZA KUFANYA HIvI TUNAZO NA UWEZO WA KUYATEKELEZA HAYA TULIYOYADHAMILIA TUNAO..
Demokrasia ni gharama sana na tutainunua hata ingekuwa ghari kiasi gani. Demokrasia inapozidi kukua ni ghari zaidi lakini hatutajali kugharimu hata maisha yetu lakini ipatikane.
DEMOKRASIA NI UHURU WA MAWAZO UNAOZINGATIA MISINGI NA KANUNI ZA WAPENDA DEMOKRASIA HAO.
Huyu Mwehu akajibu hivi....CCM-NCCR-TLP-CHADEMA sasa hapa Godbless J Lema atarudi wapi?
Mimi nikamchapa na hili kofi.....atarudi kwenye kazi yake ya ujambazi
Wewe unakuja na hili.... wapi wapi?Hahahaha...mwenyekiti wenu akimaliza kipindi chake cha uongozi atarudi kwenye kazi yake ya kutoa mbwa bandani
rudia tena kusoma na kisha urudie tena naona hujanielewa
Mawazo hasi kama haya ndiyo yanayojenga makundi na mifarakano ndani ya CHADEMA.
Kuna watu wengine kama wewe wanafikiri CHADEMA ni yao na ndiyo nyumba yao wakiwa ndiyo Baba na Mama huku wale wengine wakiwa ni watu wa KUJA, KUJILETA au KULETWA.
Hebu fikiria mtu anayedhani CHADEMA ni yake halafu wewe wa 'KUJA' umwambie kuwa anachokifanya hakifai na kiko nje ya taratibu, kanuni, itifaki na katiba. Kwanza hawezi hata kukusikiliza na ukizidisha kelele atakachofanya ni kukufukuza kwenye chama "chake" katika misingi hiyo hiyo ya uvunjifu wa taratibu, kanuni, itifaki na katiba na huwezi kupata nafasi ya rufaa wala msamaha. Rufaa na msamaha utatoka wapi wakati hukumu ni batili.
Mentality kama hizi haziwezi kukifanya chama kikawa na demokrasia pana inayowafikia wale wenye inferiority na mtazamo huu.
Chama ambacho kina misingi ya demokrasia, wanachama ndiyo wenye chama na katika wanachama hao, hakuna anayejulikana kama niwa KUJA, KUJILETA NA KULETWA kwa sababu kila mwanachama ana haki na uwezo uliosawa. Hakuna kura za VETO ndani ya vyama vya demokrasia. Hakuna kura inayoyoizidi kura ya mwingine na hata maamuzi lazima yafanyike kwa kura au makubaliano ya wanachama.
Hii uliyoleta hapa ni pumba kisiasa hasa pale unaposimama kwenye majukwaa na kudai CHADEMA ni chama cha Demokrasia na Maendeleo.
CCM-NCCR-TLP-CHADEMA sasa hapa Godbless J Lema atarudi wapi?
Sikutegemea kuwa chama makini kingefika mahali kila mtu akawa msemaji wa chama. sijui huyu Rose ni nani huko CDM.Mawazo hasi kama haya ndiyo yanayojenga makundi na mifarakano ndani ya CHADEMA.
Kuna watu wengine kama wewe wanafikiri CHADEMA ni yao na ndiyo nyumba yao wakiwa ndiyo Baba na Mama huku wale wengine wakiwa ni watu wa KUJA, KUJILETA au KULETWA.
Hebu fikiria mtu anayedhani CHADEMA ni yake halafu wewe wa 'KUJA' umwambie kuwa anachokifanya hakifai na kiko nje ya taratibu, kanuni, itifaki na katiba. Kwanza hawezi hata kukusikiliza na ukizidisha kelele atakachofanya ni kukufukuza kwenye chama "chake" katika misingi hiyo hiyo ya uvunjifu wa taratibu, kanuni, itifaki na katiba na huwezi kupata nafasi ya rufaa wala msamaha. Rufaa na msamaha utatoka wapi wakati hukumu ni batili.
Mentality kama hizi haziwezi kukifanya chama kikawa na demokrasia pana inayowafikia wale wenye inferiority na mtazamo huu.
Chama ambacho kina misingi ya demokrasia, wanachama ndiyo wenye chama na katika wanachama hao, hakuna anayejulikana kama niwa KUJA, KUJILETA NA KULETWA kwa sababu kila mwanachama ana haki na uwezo uliosawa. Hakuna kura za VETO ndani ya vyama vya demokrasia. Hakuna kura inayoyoizidi kura ya mwingine na hata maamuzi lazima yafanyike kwa kura au makubaliano ya wanachama.
Hii uliyoleta hapa ni pumba kisiasa hasa pale unaposimama kwenye majukwaa na kudai CHADEMA ni chama cha Demokrasia na Maendeleo.
halafu mbona anaandika Ki Lema Lema sana?
CCM-NCCR-TLP-CHADEMA sasa hapa Godbless J Lema atarudi wapi?
Mkuu, hata mimi sifahamu cheo chake zaidi ya kusoma hoja zake na kujibu kadri ya uwezo wangu. Ninatumaini kadri mnyukano huu usio na tija kwa CHADEMA unavyoendelea ndivyo tutaona na kusikia mengi.Sikutegemea kuwa chama makini kingefika mahali kila mtu akawa msemaji wa chama. sijui huyu Rose ni nani huko CDM.
Sikutegemea kuwa chama makini kingefika mahali kila mtu akawa msemaji wa chama. sijui huyu Rose ni nani huko CDM.
Mkuu, hata mimi sifahamu cheo chake zaidi ya kusoma hoja zake na kujibu kadri ya uwezo wangu. Ninatumaini kadri mnyukano huu usio na tija kwa CHADEMA unavyoendelea ndivyo tutaona na kusikia mengi.
Yangu ni macho na masikio.
.sicho nilichokiandika ia nitakujibu kwa kadiri niwezavyo, kwa hii hoja yako ambayo haipo kwenye bandiko langu ni kwamba. chadema ni chama cha wananchi na haya wala si matamko ya chama huu ni mtazamo.
Ok, mpo kwenye operation wewe na nani?! Mmetumwa na nani na kwa maslahi ya nani?Tupo kwenye Operation kali ya kuondoa wale wote waliokuja kwenye nyumba yetu kimakosa, wakiweza warudi walikotoka au watafute makazi mengine mapya. Hapa tutaanzia ngazi ya chini kabisa ya ukoo wetu mpaka mwisho wake, tutapembua pumba zote na kuhakikisha tunabaki na ngano safi bila kujali itatugharimu kiasi gani.
Gag, kiukweli, kuna mijitu imevimba mibichwa, inajisikia kama hicho chama ni chao, with all the rights kuwaema wengine kwa mafumbo!. Idadi ya wanaohitaji kuadabishwa ni kubwa kuliko nilivyofikiria!.Sikutegemea kuwa chama makini kingefika mahali kila mtu akawa msemaji wa chama. sijui huyu Rose ni nani huko CDM.
Ingeitwa Operation Ondoa MamlukiOPOWa=Operation Ondoa Wasanii