Samia atosha tukutane2030
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 17,169
- 48,681
Mheshimiwa Waziri Mkuu Mstaafu Majaliwa ni kiongozi ndani ya CCM, pia lazima Watanzania wafahamu kuwa katika watu ambao hufanyiwa vetting kubwa kuliko watu wote Tanzania ni Waziri Mkuu kabla hajapitishwa na Rais.
Wengi tunasema kuwa ni rahisi Rais wa Tanzania kupatikana kwa bahati lakini Waziri Mkuu hapatikani kwa bahati.
Majaliwa hatakisaliti kiapo chake kwa Taifa hili. Ataendelea kuwa ndani ya mfumo mpaka umauti wake. Hata kama ataamua kuwachezea mchezo alioucheza Sumaye na Lowasa lakini mtambue kuwa hawatausaliti mfumo ambao nyie washangiliaji mnaupinga.
Wengi tunasema kuwa ni rahisi Rais wa Tanzania kupatikana kwa bahati lakini Waziri Mkuu hapatikani kwa bahati.
Majaliwa hatakisaliti kiapo chake kwa Taifa hili. Ataendelea kuwa ndani ya mfumo mpaka umauti wake. Hata kama ataamua kuwachezea mchezo alioucheza Sumaye na Lowasa lakini mtambue kuwa hawatausaliti mfumo ambao nyie washangiliaji mnaupinga.