Watanzania waliosoma Havard

Watanzania waliosoma Havard

Ninao wafahamu:

Kuna lecturer mmoja pale UDSM department of Economics

Kuna classmates zangu wawili tulisoma nao O'level wanasoma hadi sasa hivi huko.

Mshua wangu kasoma huko, full kutamba home, watoto hata hatutaki shule.

Rakesh Rajan nasikia alisoma huko.

Kuna dada mmoja alikuwa hapo IST sikumbuki exactly mwaka aloingia, sahv nahisi kamaliza.

Sijataja majina coz sio sawa kutaja jina la mtu from nowhere
 
sasa kama chenge ndio wale mwalimu aliowaita elimu haijawakomboa.... ndio wale waliopewa chakula chote ili wakatafute kingine vijiji vingine lakini hakurudi kwa iyo akawaua njaa wenzake!!
Chenge alibanwa na waziri wa Nishati, akisaidiwa na waziri wa fedha, Na juu yao Raisi, wakamtumia Yeye na Idrissa kupitisha madudu yao, akashindwa kupumua
 
So far nawajua wawili tu
Andrew Chenge, na Arnold Kileo...

kuna mtu anaweza ku list wengine ambao wamesoma chuo hiko maarufu
na wengi wanasema ndio the best in the world?

Dr.WILLBROAD SLAA.
 
Nape mawio,kinana,simbachamwene, mugulo,makinda na ndugulu,afu nyie vipi kwan havard kitu gani??,ama sababu kipo ughaibuni,waliosoma huku wanatofauti gani na si tulosoma miaka ya 90+ tbr boyz,eliboru,musoma tech,mzumbe,mkwawa na zingine zilizokuwa maalum?,msiabubu vya nje anzen na ndan
 
Ninao wafahamu:

Kuna lecturer mmoja pale UDSM department of Economics

Kuna classmates zangu wawili tulisoma nao O'level wanasoma hadi sasa hivi huko.

Mshua wangu kasoma huko, full kutamba home, watoto hata hatutaki shule.

Rakesh Rajan nasikia alisoma huko.

Kuna dada mmoja alikuwa hapo IST sikumbuki exactly mwaka aloingia, sahv nahisi kamaliza.

Sijataja majina coz sio sawa kutaja jina la mtu from nowhere

We kitasa utalipia matangazo,ding ako muuza supu ya pweza yule leo nayy kafka chuo kikuuu?acha utani bhana
 
Nape mawio,kinana,simbachamwene, mugulo,makinda na ndugulu,afu nyie vipi kwan havard kitu gani??,ama sababu kipo ughaibuni,waliosoma huku wanatofauti gani na si tulosoma miaka ya 90+ tbr boyz,eliboru,musoma tech,mzumbe,mkwawa na zingine zilizokuwa maalum?,msiabubu vya nje anzen na ndan

Kijoa ukalale na ukitasa wako,kama hujatoka nje ya bongo ww n kitasa bhana,Nyerere mwenyew alitoka miaka hyo sasa ww wa 90 juz hapa watu ndo tunaanza andika barua kuongezewa mkataba utumishbwa umaa
 
Prof Jay Haule,Dr Cheni,
Mh Temba
Lulu
Wema Sepetu na Godbless Lema
 
Kijoa ukalale na ukitasa wako,kama hujatoka nje ya bongo ww n kitasa bhana,Nyerere mwenyew alitoka miaka hyo sasa ww wa 90 juz hapa watu ndo tunaanza andika barua kuongezewa mkataba utumishbwa umaa

kama miaka ya 90+ulikuwa ushaajiliwa si kivyako,we unadhan kutoka nje ya bongo ndo unakuwa msomi??,hiz ni iman butuunaweza kuwa na umri mkubwa lakini ukawa hujithamini kama wewe.we ndo kitasa sii mm,ndo mana unaongeza hadi mkataba wa utumishi maana hujajiandaa kimaisha kuku wewe
 
Back
Top Bottom