Watanzania waliosoma Havard

Watanzania waliosoma Havard

Justinian Rweyemamu

Hawa wawili wa chini nilikutana nao Maryland near Washington DC.

Somebody Daghar, Orijino Tanga.

Dr. Ahmed M. (B/M and PhD) zote Harvard. USA hawamwachii huyu hata kidogo yupo NSA, Orijino Dodoma.

Kuna mmoja yuko Ufaransa, jina simkumbuki vizuri, lakini nadhani ni mtaalamu sana wa nuclear na jamaa walishagoma kumwachia. Ni mwenyeji wa Kilimanjaro.
 
So far nawajua wawili tu
Andrew Chenge, na Arnold Kileo...

kuna mtu anaweza ku list wengine ambao wamesoma chuo hiko maarufu
na wengi wanasema ndio the best in the world?

1. Mama Venancia Fivawo, Mke wa hayati Prof. Kighoma Ali Malima, mama wa Mh. Adam Malima alisoma huko I think 60s na ni mtaalamu wa Botany 2. Dr. Saidi Kapiga, Ph.D (medicine)1997 or so, na alikuwa TZ sometime after that kwenye project 3. Hayati Kigh
 
Nawajua mapacha wawili wanaoitwa Sylvanus na Salvanus wamesoma Havard na kwa sasa wapo Nelson Mandela African Institution of Science and Technology- ARUSHA wakisubiri kwenda Masters hukohuko Havard. Ni vijana wadogo bado, mmoja amesoma medicine na mwingine amesoma Engineering. In addition ni watanzania wa kwanza kufika Mars
For more information about them visit http://www.dailynews.co.tz/index.php/local-news/15168-intelligent-local-twins-visit-mars

aisee si naskia mars hakuna binadanu kawahi kufika??
 
kwa sasa kuna vijana kadhaa wa kitanzania hapo havard katika miaka tofauti....wengi wao ni wale wiliopitia shule kama IST,HOPAC,ISM na IIS...hizi shule zinazotumia mitaala tofauti na kitanzania..vijana wanajiunga na International Diploma katika hizo shule baada ya kufanya vizuri kidato cha nne na wengi wao wanapata scholarships moja kwa moja.
 
Mwigulu Nchemba (1st Class economician.... Ooh sorry: "grade A economist")
 
Naamini wengi wa wanaopitia Havard huwa wanakuja kutumiwa kama EHMs...

Ningependa kujua Watanzania waliopitia Georgetown University tafadhali!
 
huyu jamaa wa BOT namfaham aisee alisepa hivi hivi tunamuona
Acha wazungu wamtumie sisi hatuoni umuhimu wake. Jamaa alipiga one ya 7 O level na A level kati ya 4 au 5!!! Mlimani alipasua vizuri tu!! Yaani ni kichwa huyu sana imagine IBM wakukubali tena ngozi nyeusi.
 
Acha wazungu wamtumie sisi hatuoni umuhimu wake. Jamaa alipiga one ya 7 O level na A level kati ya 4 au 5!!! Mlimani alipasua vizuri tu!! Yaani ni kichwa huyu sana imagine IBM wakukubali tena ngozi nyeusi.

Ngozi nyeusi mbona IBM ziko nyingi sana tu za kumwaga tena hadi wabongo. I don't know kwa huko nyumbani lakini kwa US, IBM ni kampuni ya kutengenezea resume then watu wengi wanasepa baada ya miaka michache
 
sasa kama chenge ndio wale mwalimu aliowaita elimu haijawakomboa.... ndio wale waliopewa chakula chote ili wakatafute kingine vijiji vingine lakini hakurudi kwa iyo akawaua njaa wenzake!!
 
Harvard ,YALE, MIT na Stanford....
wote mnastahili...
ingawa Harvard wana heshima yao ya pekee
ukisoma hata historia za kina Obama utaona tu wanasema 'he went to Harvard'
wengine utaona wanasema 'he went to so and so university'...

Ina maana Ivy Leagues zingine hazina ujiko kama Harvard?
 
So far nawajua wawili tu
Andrew Chenge, na Arnold Kileo...

kuna mtu anaweza ku list wengine ambao wamesoma chuo hiko maarufu
na wengi wanasema ndio the best in the world?

Hmmm...best in the world? Kwa US kwenyewe tu mwaka huu kimeshika namba mbili na hata miaka ya nyuma huwa kinapokezana na Yale katika nafasi ya kwanza....

Kwa kweli ni ngumu kusema kama ndo the best ila nadhani ukisema 'one of the best' utakuwa umeukaribia ukweli.

Mwaka huu Princeton imekuwa ya kwanza katika list ya US News and World Report National Universities Rankings.

Halafu pia kuna National Liberal Arts College Rankings ambapo zinarankiwa colleges tu, tena zile ndogo ndogo lakini zenye ubora wa hali ya juu sana.

Tatizo wabongo ni kama vile tumekariri Harvard tu wakati kuna liberal arts colleges bab kubwa tena zenye endowment kubwa tu ya kuweza kushindana na na ma universities.

Na uzuri wa hizi liberal arts colleges ni kwamba teacher to student ratio ni ndogo sana. Kwa hiyo unakuta mara nyingi mwalimu anakuwa ana nafasi kubwa ya one on one na wanafunzi wake.

Mwaka huu Williams College imeshika namba moja. Kwa mwaka huu, tuition and fees Harvard ni $42,292 wakati Williams College ni $46,600 na Amherst College (ambayo imeshika namba mbili kwenye list ya colleges na ambako ndo kasoma Uhuru Kenyatta) ni $46,574.

Kwa hiyo elimu bora hususan undergraduate haitoki kwenye Ivy Leagues tu wala universities peke yake.
 
Watu wanazungumzia watu na vitu, niliambiwa mahali kuwa hizi ndio akili ndogo.
Kusoma Havard au wapi ndo kumezua mjadala hivi?
 
Acha wazungu wamtumie sisi hatuoni umuhimu wake. Jamaa alipiga one ya 7 O level na A level kati ya 4 au 5!!! Mlimani alipasua vizuri tu!! Yaani ni kichwa huyu sana imagine IBM wakukubali tena ngozi nyeusi.

jamaa yuko deep sio mchezo aiseee
 
hmmm...best in the world? Kwa us kwenyewe tu mwaka huu kimeshika namba mbili na hata miaka ya nyuma huwa kinapokezana na yale katika nafasi ya kwanza....

Kwa kweli ni ngumu kusema kama ndo the best ila nadhani ukisema 'one of the best' utakuwa umeukaribia ukweli.

Mwaka huu princeton imekuwa ya kwanza katika list ya us news and world report national universities rankings.

Halafu pia kuna national liberal arts college rankings ambapo zinarankiwa colleges tu, tena zile ndogo ndogo lakini zenye ubora wa hali ya juu sana.

Tatizo wabongo ni kama vile tumekariri harvard tu wakati kuna liberal arts colleges bab kubwa tena zenye endowment kubwa tu ya kuweza kushindana na na ma universities.

Na uzuri wa hizi liberal arts colleges ni kwamba teacher to student ratio ni ndogo sana. Kwa hiyo unakuta mara nyingi mwalimu anakuwa ana nafasi kubwa ya one on one na wanafunzi wake.

Mwaka huu williams college imeshika namba moja. Kwa mwaka huu, tuition and fees harvard ni $42,292 wakati williams college ni $46,600 na amherst college (ambayo imeshika namba mbili kwenye list ya colleges na ambako ndo kasoma uhuru kenyatta) ni $46,574.

Kwa hiyo elimu bora hususan undergraduate haitoki kwenye ivy leagues tu wala universities peke yake.

nakubaliana nawe ...
 
Back
Top Bottom