Mkuu, shirika la reli liunde meli?Shirika la reli pia lianze kufikiria kuwekeza nje ni fursa kubwa Congo liunde meli lipeleke kule
Shirika la reli liunde meli?
Hahahaa ni hatari mkuu.Mkuu msamehe maisha yanavuruga akili sana hizi nyakati
Tumechelewa kampuni zote zinazojenga mabarabara Tanzania na Africa nzima ni kampuni za serikali ya CHINA .China inamiliki hisa asilimia 100.Ikitokea tenda popote duniani wana bid.Ndio wamejenga hadi Reli ya SGR ya Kenya.Tanzania government wawekeze nje ya mipaka mmh!.
Hujui kitu na unaishi Tanzania?.Hivi wewe unaishi ubelgiji au? Hujui Tanzania kuwa shirika la reli linamiliki meli pia zote zilizoko ziwa Tanganyika,Ziwa Nyasa na Ziwa VICTORIA? Hujui kuwa wameshaunda meli mpya hapahapa nchini kwa ajili ya huko maziwani? Au wewe unavyojua na ujuaji wako TRC haina meli?Mkuu, shirika la reli liunde meli?
Sawa sawa mkuu, ila serikali hii hii ikawekeze nje ya Tanzania kweli mmh!Tumechelewa kampuni zote zinazojenga mabarabara Tanzania na Africa nzima ni kampuni za serikali ya CHINA .China inamiliki hisa asilimia 100.Ikitokea tenda popote duniani wana bid.Ndio wamejenga hadi Reli ya SGR ya kenya.....
Mkuu, Umeandika mengi lakini hayana maana. Jifunze kwanza MARINE SERVICES COMPANY LIMITED (MSCL) ni nini.Hujui kitu na unaishi Tanzania?.Hivi wewe unaishi ubelgiji au? Hujui Tanzania kuwa shirika la reli linamiliki meli pia zote zilizoko ziwa Tanganyika,Ziwa Nyasa na Ziwa VICTORIA? Hujui kuwa wameshaunda meli mpya hapahapa nchini kwa ajili ya huko maziwani? Au wewe unavyojua na ujuaji wako TRC haina meli?
Hakuna kitu kibaya duniani kama kusoma kwa kukariri kama wewe ulivyokariri nyie ndio mnatufanya watanzania wote tuliosoma tuonekane hopeless
😂😂😂😂China mbona inawekeza
Wavuke mipaka hapa ndani wameshamudu?Tumechelewa kampuni zote zinazojenga mabarabara Tanzania na Africa nzima ni kampuni za serikali ya CHINA .China inamiliki hisa asilimia 100.Ikitokea tenda popote duniani wana bid.Ndio wamejenga hadi Reli ya SGR ya kenya...
Mfano Tanesco bado kidogo tu wanakamilisha kufunga umeme kila kijiji nchi nzima vimebaki vichache tu waweza anza kusaka tenda nje kazi iliyobaki sio kubwaWavuke mipaka hapa ndani wameshamudu?
Tanzania na China zinafanana?China mbona inawekeza
Tatizo Wachina wanao fanya kazi na serekali yao wana uzalendo wa kweli sisi bado ni walaji wa 10%!Tumechelewa kampuni zote zinazojenga mabarabara Tanzania na Africa nzima ni kampuni za serikali ya CHINA .China inamiliki hisa asilimia 100.Ikitokea tenda popote duniani wana bid.Ndio wamejenga hadi Reli ya SGR ya kenya...
Tatizo lipo wao wana vitendea kazi kushindana nao wakati wewe vitendea kazi unaenda nunua kwao wata kushinda tu!Mfano Tanesco bado kidogo tu wanakamilisha kufunga umeme kila kijiji nchi nzima vimebaki vichache tu waweza anza kusaka tenda nje kazi iliyobaki sio kubwa...