Mara nyingi wanasiasa ndio wamekuwa chachu ya ukabila Afrika. Watanzania tunapaswa kuwa makini na wanasiasa hawa ambao hawaangalii maslahi mapana ya nchi bali huangalia nafasi zao madarakani.
Kuna hisia kubwa kuwa kuna kundi la wanasiasa wanatumia mbinu mbalimbali ikiwepo kutaka upendeleo wa kisiasa kutoka kanda flani flani ili washinde uchaguzi ujao.
Hawa wanasiasa wanajua ni wapi watakimbilia endapo nchi itakuwa katika machafuko, tafadhali watanzania tuwakatae watu hawa mapema kabla mambo hayajawa mabaya.
Kuna hisia kubwa kuwa kuna kundi la wanasiasa wanatumia mbinu mbalimbali ikiwepo kutaka upendeleo wa kisiasa kutoka kanda flani flani ili washinde uchaguzi ujao.
Hawa wanasiasa wanajua ni wapi watakimbilia endapo nchi itakuwa katika machafuko, tafadhali watanzania tuwakatae watu hawa mapema kabla mambo hayajawa mabaya.