Watanzania tumuombee sana Lissu

Watanzania tumuombee sana Lissu

Lissu boya tu kama maboya wengine.
Alafu alikuwa anajifanya ooh ntawajngiza watu barabarani, utafikiri hao watu anawafuga nyumbani kwake.
Lissu wewe ni boya tu
Kwa akili yako, basi upinzani wote duniani haufai, sivyo?
Sababu ya Magufuli kutengeneza reli, kununua ndege, kutengeneza barabara, kugundua wafanyakazi hewa, kupambana na ufisadi, n.k. ni kutokana na shinikizo la upinzani. Kama upinzani husingekuwepo wa wakina Lissu, Mbowe na Zitto ccm hisinge wajibika. Kwahiyo, wacha upimbavu wako!
 
Mimi nawaombea marehemu babu zangu na bibi zangu pamoja na wagonj'wa bila kuwaacha wazazi wangu

Kama ni kosa kutomwombea huyo mnyaturu mmoja nipelekeni kwa Amsterdam [emoji53][emoji53][emoji53]
 
Simuungi mkono LISSU na motives zake lakini kwa mtu FALA tu kama wewe kumuita lissu boya ni sehemu ya maajabu ya dunia.
Huyu jamaa ndo amejidhalilisha kupita maelezo hadi na.watu kariba unayomzodoa wakamng'ong'a
 
Zile kura zilizoletwa na vyombo vya dola na kuzuia mawakala wa upinzani wasiiingie? Wenzenu walikuwa wanaiba kura, lakini nyie mnaleta na magari ya vyombo vya dola kimachomacho? Ndio maana watanzania 2/3 wamepuuza huo ushenzi. Huu haukuwa uchaguzi bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Watu wanawasanifu tu mnavyojichekeshachekesha. Ni kweli Lisu angeweza kushindwa na magu, lakini sio kwa zile mbinu za juzi za kitoto. Fungulieni watu social media maana upuuzi wenu uko wazi peupe na hakuna mtu ana muda na washamba.
Kwa iyo na ww unahisi lisu alimshinda magufuli, ndio ikabidi wamuibie, mbona hizo kura za wizi walizichoma sasa, dah, mnachekeshaga, hivi mlidhani lisu atamshinda magufuli kabisa, matumaini mengine ni kujitoa ufahamu
 
Sasa unaogopa nini kuzisema hapa? Mana tanpol wamesema alikiwa anaenda ubalozi wa ujerumani kitafuta hifadhi ya kisiasa.
Duh masikini wee yaani tumefikia hapo
hili lishatokea enzi za kina Kambona
 
Kwanza kabisa tunamuomba Lissu ajitokeze na aseme alipelekwa Polisi kwa tuhuma zipi kwani inaonekana tuhuma hizo sio za kawaida unless zimeisha leo leo.

Binafsi nimesoma tweet ya mwandishi mmoja(Halima Gikandi) ambae kafanya mahojiano na Lissu, mahojiano ambayo yamegusia sababu za Lissu kupelekwa Polisi kwa mahojiano.

Tunamuomba Lissu aseme/athibitishe angali mapema kwani hizi tuhuma n nzito mno hata nikandika hapa mods wanaweza kufuta na ninahakika zitaibua majala mzito sana hapa JF na kwenye mitandao zikiwekwa wazi.

Kama ni kweli Lissu kahojiwa kwa tuhuma hizi, basi tumuombee ingawa bado naamini hizo tuhuma zinaweza kufutwa na ndio maana amewaza hata kuachiwa.
Mkuu tuna utawala wa kigaidi
 
Lissu boya tu kama maboya wengine.
Alafu alikuwa anajifanya ooh ntawajngiza watu barabarani, utafikiri hao watu anawafuga nyumbani kwake.
Lissu wewe ni boya tu
Ulaniwe kwa Kila hatua ukanyagapo kuanzia kwenye ukoo wako na imekua
 
Kwa iyo na ww unahisi lisu alimshinda magufuli, ndio ikabidi wamuibie, mbona hizo kura za wizi walizichoma sasa, dah, mnachekeshaga, hivi mlidhani lisu atamshinda magufuli kabisa, matumaini mengine ni kujitoa ufahamu

Sina tatizo na Lisu kushindwa maana kushindana kuna kushinda na kushindwa, ameshindwaje hapo ndio penye hoja. Hizo kura wasingezichoma vyombo vya dola wangezirudisha kujazia kwenye hizo kura za wizi.
 
Lissu ameachiwa, kwahiyo anaweza kutweet.


Ukiona hajatweet ujue ameamua mambo yake binafsi kutokuyaweka hadharani. Kwahiyo ni muhimu kuheshimu privacy yake.
Watakuwa wamemwanikia kila kitu hadharani alichodhani ni siri nzito ya yeye na Amsterdam Tu chezea serikali wewe

Hapo atakuwa baada ya kutoka hata kula hakuweza kula
 
Back
Top Bottom