Watanzania tumuombee sana Lissu

Watanzania tumuombee sana Lissu

Whatever the case Lissu kachapika kisawasawa kwenye sanduku la kura , ndo mana hakuna awareness ya wananchi kwenye hayo maandamano anayotaka cse hata wananchi wanajua walivyo msaliti kwenye sanduku , matokeo yenye ukakasi Sana ni ya ubunge Kwa baadhi ya majimbo nayo hayafiki majimbo 40 , lakn kuhusu kura za uraisi hata kama zimechakachuliwa bado Lissu kapigwa kisawasawa .....
Nyamaza upate dawa
 

Attachments

Sina tatizo na Lisu kushindwa maana kushindana kuna kushinda na kushindwa, ameshindwaje hapo ndio penye hoja. Hizo kura wasingezichoma vyombo vya dola wangezirudisha kujazia kwenye hizo kura za wizi.
Hamna, kuzichoma was a wrong move, alafu lisu hawezi mshinda magufuli.
 
Hamna, kuzichoma was a wrong move, alafu lisu hawezi mshinda magufuli.

Magufuli hana sifa ya kushinda kwa box la kura, na wala hatakaa awe na uwezo huo. Na hilo ni toka akiwa mbunge hakuwa anashinda kwa box la kura, zaidi ya figisu.
 
Wanafanya mapinduzi na jeshi lipi? Tuache masihara. CCM imeshikilia vyombo vyote vya dola na vya umma. Sasa mapinduzi yanafanyika kwa namna gani? Itabidi tufundishwe CIVICS saana. Sijawahi kuwa Mpinzani au Mchadema ila kwa hakika busara itumike katika kumaliza hizi changamoto za upigaji kura na matokeo n.k. Tanzania ni zaidi ya Uchaguzi. Tuendeleze amani yetu maana naona inapotea na tunaishi kwa hofu mno. Sikutegemea.
Mtu anavyokuambia wanaanzisha maandamano yasiyo na kikomo maana yake?
 
Back
Top Bottom