Watanzania tumuombee sana Lissu

Watanzania tumuombee sana Lissu

Lissu boya tu kama maboya wengine.
Alafu alikuwa anajifanya ooh ntawajngiza watu barabarani, utafikiri hao watu anawafuga nyumbani kwake.
Lissu wewe ni boya tu
Mmewatisha na Mabunduki lazima waogope. Hakuna anayependa kuuwawa kinyama na majeshi ya kihuni ya wanasiasa. Maana wakishavutishwa mabangi yao humo magetoni ni mwendo wa kufyatua tu risasi.

Surely, unahitaji kuwa mwendawazimu kupambana na jeshi la wahuni namna hiyo. Hawajali na hawasiti kabisa kushambulia wananchi kwa risasi.

Vinginevyo mngeona maelfu na mamilioni ya watu wakiandamana kumpinga huyo mtetezi wa wanyonge. Na mnafahamu hilo vizuri ndio maana mmetumia nguvu nyingi sana kuficha aibu ya mfalme juha anayependwa na mamilioni ya watanzania.
 
Lissu has nothing to lose, afanye tu hayo mapinduzi ya kujeshi,lol manake mlizidi maigizo, mnaiba kura waziwazi na mnazima mitandao, halafu yale majinga yaliyoletwa kuangalia mwenendo wa uchaguzi yana sema uchaguzi ulifuata taratibu! Really?!? ... LISSU LIPINDUE HILO LI NCHI, WAKAE SAWA HAO MAANA HAWAJITAMBUI
 
Hizi ndio hasara za kuwaita viongozi wako wahuni. Lazma wakunyooshe.
 
Lissu has nothing to lose, afanye tu hayo mapinduzi ya kujeshi,lol manake mlizidi maigizo, mnaiba kura waziwazi na mnazima mitandao, halafu yale majinga yaliyoletwa kuangalia mwenendo wa uchaguzi yana sema uchaguzi ulifuata taratibu! Really?!? ... LISSU LIPINDUE HILO LI NCHI, WAKAE SAWA HAO MAANA HAWAJITAMBUI
Hahahhaha! Eti mapinduzi ya kijeshi. Lisu hana adabu na atapoteza kila eneo na kila kitu.
 
Kwanza kabisa tunamuomba Lissu ajitokeze na aseme alipelekwa Polisi kwa tuhuma zipi kwani inaonekana tuhuma hizo sio za kawaida unless zimeisha leo leo.

Binafsi nimesoma tweet ya mwandishi mmoja(Halima Gikandi) ambae kafanya mahojiano na Lissu, mahojiano ambayo yamegusia sababu za Lissu kupelekwa Polisi kwa mahojiano.

Tunamuomba Lissu aseme/athibitishe angali mapema kwani hizi tuhuma n nzito mno hata nikandika hapa mods wanaweza kufuta na ninahakika zitaibua majala mzito sana hapa JF na kwenye mitandao zikiwekwa wazi.

Kama ni kweli Lissu kahojiwa kwa tuhuma hizi, basi tumuombee ingawa bado naamini hizo tuhuma zinaweza kufutwa na ndio maana amewaza hata kuachiwa.
Mroa post huna lolote wewe kichwa chako empty kawa hao waliomkamata kabla hata ya kujua wanamkamata kwa kosa lipi.
Tanzania kukamatwa halafu ndio utafutiwe sababu imekuwa jambo la kawaida hasa katika hii awamu ya tano na mtoa posti aaungana na waliomkamata Lissu kabla ya kujua kosa lake na sasa ndio wanalitafuta.
 
Nadhani hawa watakuwa mfano, huu ujinga ulitaka kuota mizizi kama kweli Lissu, Mbowe na CDM walikuwa wanapanga kufanya mapinduzi serikali isiwachekee, wachukuliwe hatua vinginevyo 2025 kuna watu badala ya kujipanga na uchaguzi watakuwa wanajipanga na mapinduzi baada ya uchaguzi.

Hizo propaganda za kizee zilikuwa zinatumika zamani sana huko ulaya mashariki, kwa wazungu wanaotumia nguvu nyingi kuliko akili. Leo hii vyombo vyetu ndio vinaona ni mbinu mpya. Huo upuuzi nimesikia hata polisi wa Zanzibar wanasema wamekamata vijana wa ACT wenye mabomu. Kwa hali hiyo wanasiasa wachovu wa ccm wataacha kuwaagiza vyombo vya dola vyenye vichwa vya kufugia nywele. Kwa vyombo vya dola vinavyojitambua, vingewaambia wanasiasa wachovu wa ccm waache kuwageuza vituko mbele ya wananchi. Sio bure hivyo vyombo vya dola vimeishia kuagizwa kubeba mabox ya kura za kubumba ili kuwasadia ccm. 2/3 ya watanzania wameshausoma huo utoto wa ccm kwa kushirikiana na vyombo vya dola, ndio maana hakuna mtu kujitokeza kupiga kura.
 
...Tunamuomba Lissu aseme/athibitishe angali mapema kwani hizi tuhuma n nzito mno hata nikandika hapa mods wanaweza kufuta na ninahakika zitaibua majala mzito sana hapa JF na kwenye mitandao zikiwekwa wazi.

Kama ni kweli Lissu kahojiwa kwa tuhuma hizi, basi tumuombee ingawa bado naamini hizo tuhuma zinaweza kufutwa na ndio maana amewaza hata kuachiwa.

Wewe mzima kichwani kweli!?
Yaani tuhuma za ugaidi ndio unaziona nzito kiasi cha kuogopa kuziandika kwenye mada yako?
 
Back
Top Bottom