Watanzania tumuombee sana Lissu

Watanzania tumuombee sana Lissu

Kabla ya kututaka Sisi 'tumuombee' je, na Yeye huwa 'anajiombea' na 'kutuombea' pia na Sisi Watanzania ili 'tupendwe' na 'Mabeberu' pamoja na 'Maadui' wa Tanzania kama ilivyo Kwake?
Yaani tatizo mnajazwa ujinga na nyie bila kuchuja mnajazika.Hivi hao mnaowaita mabeberu do you know nyie ndo nchi ya tatu Africa kupewa misaada yao,kama hujui bora kunyamaza kuliko kuandika ujinga
 
Kwanza kabisa tunamuomba Lissu ajitokeze na aseme alipelekwa Polisi kwa tuhuma zipi kwani inaonekana tuhuma hizo sio za kawaida unless zimeisha leo leo.

Binafsi nimesoma tweet ya mwandishi mmoja (Halima Gikandi) ambae kafanya mahojiano na Lissu, mahojiano ambayo yamegusia sababu za Lissu kupelekwa Polisi kwa mahojiano.

Tunamuomba Lissu aseme/ athibitishe angali mapema kwani hizi tuhuma n nzito mno hata nikandika hapa mods wanaweza kufuta na ninahakika zitaibua majala mzito sana hapa JF na kwenye mitandao zikiwekwa wazi.

Kama ni kweli Lissu kahojiwa kwa tuhuma hizi, basi tumuombee ingawa bado naamini hizo tuhuma zinaweza kufutwa na ndio maana amewaza hata kuachiwa.
Zipi hizo tuhuma si uziseme
 
Shetani wewe laaniwa na kizazi chako

Ufee ukiwa huna mbele wala nyuma

Hayawani mkubwa ,sijui ulikuja dunian kufanya nini
Matusi yanatoka wapi tene jenga hoja.hoja hupanguliwa kwa hoja matusi ni kukosa hoja.
 
Kwanza kwanini wanamlealea,wangemuamisha meno yote ya mbele alafu ndo kesi zingefuatia.
 
Aliyeleta taarifa ni mdaku kama wadaku wengine
 
Kwanza kabisa tunamuomba Lissu ajitokeze na aseme alipelekwa Polisi kwa tuhuma zipi kwani inaonekana tuhuma hizo sio za kawaida unless zimeisha leo leo.

Binafsi nimesoma tweet ya mwandishi mmoja (Halima Gikandi) ambae kafanya mahojiano na Lissu, mahojiano ambayo yamegusia sababu za Lissu kupelekwa Polisi kwa mahojiano.

Tunamuomba Lissu aseme/ athibitishe angali mapema kwani hizi tuhuma n nzito mno hata nikandika hapa mods wanaweza kufuta na ninahakika zitaibua majala mzito sana hapa JF na kwenye mitandao zikiwekwa wazi.

Kama ni kweli Lissu kahojiwa kwa tuhuma hizi, basi tumuombee ingawa bado naamini hizo tuhuma zinaweza kufutwa na ndio maana amewaza hata kuachiwa.
Acha uoga ndg yangu, Lissu yupo vizuri nz ataendelea kuwepo. Lissu mpango wa Mungu.
 
Shetani wewe laaniwa na kizazi chako

Ufee ukiwa huna mbele wala nyuma

Hayawani mkubwa ,sijui ulikuja dunian kufanya nini
Shetani ni huyu hapa ailiyetaka kuwatanguliza watoto wetu kwa vijana wa Mambosasa huku yeye akikimbilia Ubalozini kuomba kinga ya kidiplomasia....Lisu hafai hata kidogo!
twitan 1.jpg
 
Kwanza kabisa tunamuomba Lissu ajitokeze na aseme alipelekwa Polisi kwa tuhuma zipi kwani inaonekana tuhuma hizo sio za kawaida unless zimeisha leo leo.

Binafsi nimesoma tweet ya mwandishi mmoja (Halima Gikandi) ambae kafanya mahojiano na Lissu, mahojiano ambayo yamegusia sababu za Lissu kupelekwa Polisi kwa mahojiano.

Tunamuomba Lissu aseme/ athibitishe angali mapema kwani hizi tuhuma n nzito mno hata nikandika hapa mods wanaweza kufuta na ninahakika zitaibua majala mzito sana hapa JF na kwenye mitandao zikiwekwa wazi.

Kama ni kweli Lissu kahojiwa kwa tuhuma hizi, basi tumuombee ingawa bado naamini hizo tuhuma zinaweza kufutwa na ndio maana amewaza hata kuachiwa.
Tutamuombea tena sana kwa maombi ya moto aache siasa za uchochezi.
 
Mhain adhabu Yake kifo
Lissu has nothing to lose, afanye tu hayo mapinduzi ya kujeshi,lol manake mlizidi maigizo, mnaiba kura waziwazi na mnazima mitandao, halafu yale majinga yaliyoletwa kuangalia mwenendo wa uchaguzi yana sema uchaguzi ulifuata taratibu! Really?!? ... LISSU LIPINDUE HILO LI NCHI, WAKAE SAWA HAO MAANA HAWAJITAMBUI
 
Back
Top Bottom