Watanzania tumuombee sana Lissu

Watanzania tumuombee sana Lissu

Kwanza kabisa tunamuomba Lissu ajitokeze na aseme alipelekwa Polisi kwa tuhuma zipi kwani inaonekana tuhuma hizo sio za kawaida unless zimeisha leo leo.

Binafsi nimesoma tweet ya mwandishi mmoja(Halima Gikandi) ambae kafanya mahojiano na Lissu, mahojiano ambayo yamegusia sababu za Lissu kupelekwa Polisi kwa mahojiano.

Tunamuomba Lissu aseme/athibitishe angali mapema kwani hizi tuhuma n nzito mno hata nikandika hapa mods wanaweza kufuta na ninahakika zitaibua majala mzito sana hapa JF na kwenye mitandao zikiwekwa wazi.

Kama ni kweli Lissu kahojiwa kwa tuhuma hizi, basi tumuombee ingawa bado naamini hizo tuhuma zinaweza kufutwa na ndio maana amewaza hata kuachiwa.
Kabla ya kututaka Sisi 'tumuombee' je, na Yeye huwa 'anajiombea' na 'kutuombea' pia na Sisi Watanzania ili 'tupendwe' na 'Mabeberu' pamoja na 'Maadui' wa Tanzania kama ilivyo Kwake?
 
Lissu boya tu kama maboya wengine.
Alafu alikuwa anajifanya ooh ntawajngiza watu barabarani, utafikiri hao watu anawafuga nyumbani kwake.
Lissu wewe ni boya tu
Lisu ni kubw jinga fulani hivi hata ukiliona lilivyo na linavyoongea.
 
Ila Lissu anazingua Sana , Nina was was na wanaomsuport huenda ni mamluki hata sio watz , hv mtu kama Lissu anaweza jidai kashinda uchaguz may be Lowasa ,2015 some how inaweza kumake sense ....

Watu ambao wangeandamana kudai ushindi wao may be wabunge kama Lema , Mbowe, Lissu , n.k but Lissu kachapika kisawasawa kwenye sanduku la kura
 
Ila Lissu anazingua Sana , Nina was was na wanaomsuport huenda ni mamluki hata sio watz , hv mtu kama Lissu anaweza jidai kashinda uchaguz may be Lowasa ,2015 some how inaweza kumake sense ....

Watu ambao wangeandamana kudai ushindi wao may be wabunge kama Lema , Mbowe, Lissu , n.k but Lissu kachapika kisawasawa kwenye sanduku la kura
Mbona kashinda mkampora?
 
Ila Lissu anazingua Sana , Nina was was na wanaomsuport huenda ni mamluki hata sio watz , hv mtu kama Lissu anaweza jidai kashinda uchaguz may be Lowasa ,2015 some how inaweza kumake sense ....

Watu ambao wangeandamana kudai ushindi wao may be wabunge kama Lema , Mbowe, Lissu , n.k but Lissu kachapika kisawasawa kwenye sanduku la kura

Zile kura zilizoletwa na vyombo vya dola na kuzuia mawakala wa upinzani wasiiingie? Wenzenu walikuwa wanaiba kura, lakini nyie mnaleta na magari ya vyombo vya dola kimachomacho? Ndio maana watanzania 2/3 wamepuuza huo ushenzi. Huu haukuwa uchaguzi bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Watu wanawasanifu tu mnavyojichekeshachekesha. Ni kweli Lisu angeweza kushindwa na magu, lakini sio kwa zile mbinu za juzi za kitoto. Fungulieni watu social media maana upuuzi wenu uko wazi peupe na hakuna mtu ana muda na washamba.
 
Lissu boya tu kama maboya wengine.
Alafu alikuwa anajifanya ooh ntawajngiza watu barabarani, utafikiri hao watu anawafuga nyumbani kwake.
Lissu wewe ni boya tu
lisu ni boya tu,ila katukamata madude yetu ya uzazi anavuta mpuuzi kabisa tukimchekea atayangoa
 
Kwanza kabisa tunamuomba Lissu ajitokeze na aseme alipelekwa Polisi kwa tuhuma zipi kwani inaonekana tuhuma hizo sio za kawaida unless zimeisha leo leo.

Binafsi nimesoma tweet ya mwandishi mmoja(Halima Gikandi) ambae kafanya mahojiano na Lissu, mahojiano ambayo yamegusia sababu za Lissu kupelekwa Polisi kwa mahojiano.

Tunamuomba Lissu aseme/athibitishe angali mapema kwani hizi tuhuma n nzito mno hata nikandika hapa mods wanaweza kufuta na ninahakika zitaibua majala mzito sana hapa JF na kwenye mitandao zikiwekwa wazi.

Kama ni kweli Lissu kahojiwa kwa tuhuma hizi, basi tumuombee ingawa bado naamini hizo tuhuma zinaweza kufutwa na ndio maana amewaza hata kuachiwa.
VIJANA wa Tanzania mnapenda maisha mazuri lakini hamtaki kuyapigania. Huko kwa wenzetu walivikuta vyaelea au walivipigania na kuvisimamia? Usipojenga misingi imara ya haki na demokrasia utapata vipi uhuru wa kufurahia maisha mazuri? MUDA ni sasa au mjute kuanzia January 2021
 

Attachments

  • F236197F-F8E2-4941-9B16-B4EE7CDFC25D.jpeg
    F236197F-F8E2-4941-9B16-B4EE7CDFC25D.jpeg
    43.1 KB · Views: 13
Lisu ni kubw jinga fulani hivi hata ukiliona lilivyo na linavyoongea.
VIJANA wa Tanzania mnapenda maisha mazuri lakini hamtaki kuyapigania. Huko kwa wenzetu walivikuta vyaelea au walivipigania na kuvisimamia? Usipojenga misingi imara ya haki na demokrasia utapata vipi uhuru wa kufurahia maisha mazuri? MUDA ni sasa au mjute kuanzia January 2021
 

Vipi? Mbona watu wawili tofauti the same tweet? Foul play?
 
Nadhani hawa watakuwa mfano, huu ujinga ulitaka kuota mizizi kama kweli Lissu, Mbowe na CDM walikuwa wanapanga kufanya mapinduzi serikali isiwachekee, wachukuliwe hatua vinginevyo 2025 kuna watu badala ya kujipanga na uchaguzi watakuwa wanajipanga na mapinduzi baada ya uchaguzi.
 
Back
Top Bottom