Ndebile
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 8,246
- 12,789
Polepole aliwahi kusema ana siri zao nyingi na CCM wakiamua kuzianika kapatakalika....sasa naona wamezianika kwenye vyombo vya usalama...!Watakuwa wamemwanikia kila kitu hadharani alichodhani ni siri nzito ya yeye na Amsterdam Tu chezea serikali wewe
Hapo atakuwa baada ya kutoka hata kula hakuweza kula