Watanzania tumuombee sana Lissu

Watanzania tumuombee sana Lissu

Zile kura zilizoletwa na vyombo vya dola na kuzuia mawakala wa upinzani wasiiingie? Wenzenu walikuwa wanaiba kura, lakini nyie mnaleta na magari ya vyombo vya dola kimachomacho? Ndio maana watanzania 2/3 wamepuuza huo ushenzi. Huu haukuwa uchaguzi bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Watu wanawasanifu tu mnavyojichekeshachekesha. Ni kweli Lisu angeweza kushindwa na magu, lakini sio kwa zile mbinu za juzi za kitoto. Fungulieni watu social media maana upuuzi wenu uko wazi peupe na hakuna mtu ana muda na washamba.
Una uhakika ww ulichoandika
 
Kabla ya kututaka Sisi 'tumuombee' je, na Yeye huwa 'anajiombea' na 'kutuombea' pia na Sisi Watanzania ili 'tupendwe' na 'Mabeberu' pamoja na 'Maadui' wa Tanzania kama ilivyo Kwake?
Alafu Kigogo kampliua tena Baba mwenye nyumba huko twitter mpaka hatari.
wee mzima kichwani kweli!?.
yaani tuhuma za ugaidi ndio unaziona nzito kiasi cha kuogopa kuziandika kwenye mada yako?.
Si bora ingekuwa ugaidi!
 


🤔🤔🤔🤔🤔🤔😢😢😢😢😢😒😒😒😒😒😡😡😡😡😡
 
Hilo bazazi wameliachia la nini lilitakiwa linyee debe walau kwa siku tatu hivi.
 
Ila Lissu anazingua Sana ,
Watu ambao wangeandamana kudai ushindi wao may be wabunge kama Lema , Mbowe, Lissu , n.k but Lissu kachapika kisawasawa kwenye sanduku la kura
Hivi ulishiba maharagwe ya wapi hapa!
 
Kama ni kweli Lissu kahojiwa kwa tuhuma hizi, basi tumuombee ingawa bado naamini hizo tuhuma zinaweza kufutwa na ndio maana amewaza hata kuachiwa.
unajitekenya halafu unacheka mwenyewe
tumuombee kwa lipi?hutaki kuweka wazi unasema mods watafuta
maandamano yenu ya twitter unayaleta hapa
 
Hivi kwenye JF web ukitaka kwenda page ya katikati unafanyaje
 
Back
Top Bottom