Watanzania tumuombee sana Lissu

Watanzania tumuombee sana Lissu

Sasa unaogopa nini kuzisema hapa? Mana tanpol wamesema alikiwa anaenda ubalozi wa ujerumani kitafuta hifadhi ya kisiasa.
Kaona Watanzania hawamuungi mkono maandamano yake na vurugu zake anatafuta pa kutimkia!!!! Watanzania namba ingine.Kosa kubwa alilofanya kushirikisha wazungu na kujifanya katumwa na wazungu kuja kugombea.Tulimkimbiza mzungu tujitawale yeye anakuja kutuletea mambo ya wazungu kututawala kupitia yeye tena?
 
Kwanza kabisa tunamuomba Lissu ajitokeze na aseme alipelekwa Polisi kwa tuhuma zipi kwani inaonekana tuhuma hizo sio za kawaida unless zimeisha leo leo.

Binafsi nimesoma tweet ya mwandishi mmoja (Halima Gikandi) ambae kafanya mahojiano na Lissu, mahojiano ambayo yamegusia sababu za Lissu kupelekwa Polisi kwa mahojiano.

Tunamuomba Lissu aseme/ athibitishe angali mapema kwani hizi tuhuma n nzito mno hata nikandika hapa mods wanaweza kufuta na ninahakika zitaibua majala mzito sana hapa JF na kwenye mitandao zikiwekwa wazi.

Kama ni kweli Lissu kahojiwa kwa tuhuma hizi, basi tumuombee ingawa bado naamini hizo tuhuma zinaweza kufutwa na ndio maana amewaza hata kuachiwa.
Ye ni nani mpaka aombewe?
 
Lissu has nothing to lose, afanye tu hayo mapinduzi ya kujeshi,lol manake mlizidi maigizo, mnaiba kura waziwazi na mnazima mitandao, halafu yale majinga yaliyoletwa kuangalia mwenendo wa uchaguzi yana sema uchaguzi ulifuata taratibu! Really?!? ... LISSU LIPINDUE HILO LI NCHI, WAKAE SAWA HAO MAANA HAWAJITAMBUI
Sasa ndo anataka kutamatisha vibaya kuliko mwanzo na tamati ya Hilo ni Baya mno kwake kama ndio kweli kwa kuwa halitampa faida hata Ile ndoooogo Kabisa ispokuwa ni hasara kuuuubwa itayogharimu Hadi ukoo wake, Chama chake na marafiki zake

Kama ni kweli, hiyo Ngoma sio saizi yake Haki ya mama!

Anaingia kwenye mchezo wa sindano jirani na tundu lake chooo
 
Hawajali na hawasiti kabisa kushambulia wananchi kwa risasi.

Vinginevyo mngeona maelfu na mamilioni ya watu wakiandamana kumpinga huyo mtetezi wa wanyonge. Na mnafahamu hilo vizuri ndio maana mmetumia nguvu nyingi sana kuficha aibu ya mfalme juha anayependwa na mamilioni ya watanzania.
Wananchi wengi wanaumia sana kwa uonevu unaofanywa kwa sasa
 
Hatuna chuki, tunachukia ukibaraka mkuu. Lisu anapaswa kukanyagwa gololi zake 2
Kuliko huyo kibaraka wenu shoga magufuli anayeitia hasara nchi


IMG-20201102-WA0015.jpg
ok
 
Watakuwa wamemwanikia kila kitu hadharani alichodhani ni siri nzito ya yeye na Amsterdam Tu chezea serikali wewe

Hapo atakuwa baada ya kutoka hata kula hakuweza kula
Sasa ndo anataka kutamatisha vibaya kuliko mwanzo na tamati ya Hilo ni Baya mno kwake kama ndio kweli kwa kuwa halitampa faida hata Ile ndoooogo Kabisa ispokuwa ni hasara kuuuubwa itayogharimu Hadi ukoo wake, Chama chake na marafiki zake

Kama ni kweli, hiyo Ngoma sio saizi yake Haki ya mama!

Anaingia kwenye mchezo wa sindano jirani na tundu lake chooo
🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔
 
Sina tatizo na Lisu kushindwa maana kushindana kuna kushinda na kushindwa, ameshindwaje hapo ndio penye hoja. Hizo kura wasingezichoma vyombo vya dola wangezirudisha kujazia kwenye hizo kura za wizi.
Hahaha mnapoteza muda kujadili ushindi na kushindwa, hawawezi kukupa majibu.
Waliishaamua kushinda wao na sio kwa kura.

Hata nchi nzima msingepiga kura waliishaamua wao ndio washindi, sasa kwanini muumizane vichwa kujadili?!

Wamesema CCM inakubalika kwa asilimia 99, sasa nani amewahi kushinda kwa asilimia 1?!

Wewe unataka kujua kashindwaje, wao wanasema lisu hakubaliki, sasa kwanini wanajua wao.

Wameshinda kwa kishindo.

Let it go.
 
Waliishaamua kushinda wao na sio kwa kura.
Waweke wazi kuwa wamepora ushindi.. sio kujidai wameshinda kwa kura wakati sio kweli.

Na hawa watetezi wa CCM humu ndo wezi wenyewe waliofanikisha huo mchezo haramu
 
Waweke wazi kuwa wamepora ushindi.. sio kujidai wameshinda kwa kura wakati sio kweli.

Na hawa watetezi wa ccm humu ndo wezi wenyewe waliofanikisha huo mchezo haramu
Hahaha wazi vipi tena na wameshajitangaza, au ulitaka wafanye nini, kura feki uliziona sasa wakiweka wazi itabadirisha nini?!

Wapongeze au wachunie, endelea na maisha yako.

Waliishasema, hata msipoipigia kura CCM bado itashinda, kuipigia kura CHADEMA ni sawa na kumwaga sukari Ziwa Victoria.

Mimi nilimwaga sukari ziwa Victoria.
 
Lissu ajiombee mwenyewe tuna mambo mengi ya kuombea Nchi na Raisi anayetarajia kuapishwa. Uliyetoa uzi usitupe kazi
 
Lissu ameachiwa, kwahiyo anaweza kutweet.


Ukiona hajatweet ujue ameamua mambo yake binafsi kutokuyaweka hadharani. Kwahiyo ni muhimu kuheshimu privacy yake.
Tuhuma kwamba wazungu wamemfumua Malinda yake, kamwe hawezi kuyaweka bayana😀
 
Lissu boya tu kama maboya wengine.

Alafu alikuwa anajifanya ooh ntawajngiza watu barabarani, utafikiri hao watu anawafuga nyumbani kwake.
Lissu wewe ni boya tu.
Boya huwa anawaita wasio maboya kuwa ni maboya.Pole sana boya mkuu naona unateseka,na bado,mzimu wa uchaguzi huu utawatesa kila mmoja kwa nafasi yake hadi kaburini
 
Huyu balozi anaweza uawa, diplomasia haimruhusu kufanya alichofanya. Huyu kipusa aka punga lisu anapaswa kubinywa gololi zake pimbi kabisa
Wewe Ziro kweli, usitudanganye hapa na elimu yako ya darasa la sita bii. Eti anaweza kuuawa, shenzi type
 
Back
Top Bottom