isajorsergio
Platinum Member
- Apr 22, 2018
- 4,143
- 6,562
Sawa dada! Wasalim watoto, uncle anawapenda.Nimeshaamua kubaki Buza.
Sawa dada! Wasalim watoto, uncle anawapenda.Nimeshaamua kubaki Buza.
Jifunze kijerumani kwanza. Siwezi kupa guarantee sababu hawaamini sana ukanda wetuMkuu mimi na kidiploma changu cha pharmacy nikija uko naweza kupokelewa kweli?
Sent from iPhone 6s Plus
Ha haaa sikupanga kucheka ila nimejikuta tuMimi nipo kwa mromboo siku hizi, nimehama Ngaramtoni kutokana na majungu.
Poa mkuu ngoja corona iishe niingie tuition, ila mm ata kazi za kulea wazee wasojiweza safi tuu sioni kinyaa kuwasafisha wala nini as long as hela inaingi😁 au kuzibua mitaro ya vyoo I don’t care so nikija sitakuangushaJifunze kijerumani kwanza. Siwezi kupa guarantee sababu hawaamini sana ukanda wetu
Sent using Jamii Forums mobile app
unapatikana wapi, naishi geneva mbele ya balexert...Habari wadau, wazima kwa ambao mpo uswiss tujuane tutengeneze community tusaidie njia ambao hawana michongo. Tupeane ushauri nini cha kufanya.
Najua wapo walio hapa muda mrefu na wanaotarajia kufika hapa inna future just in case ni vizuri ukijua mambo muhimu kabla ya kufika hapa.
Switzerland has got four official languages Germany,French,Italian,Romanch hizi lugha zinazungumzwa based on Canton(mkoa) au eneo husika so ukifika hapa jua Canton utakayoingia uwe mwepesi na lugha husika.
Uswiss ni Tamu sana sema ni ngumu sana. So wadau na wanazuoni mliopo nchini hapa tujuane
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna kazi bila shule mpaka fundi baiskeli ni shule miaka mi3Poa mkuu ngoja corona iishe niingie tuition, ila mm ata kazi za kulea wazee wasojiweza safi tuu sioni kinyaa kuwasafisha wala nini as long as hela inaingiau kuzibua mitaro ya vyoo I don’t care so nikija sitakuangusha
Natamani kujua hizo dirty job ni zipi mkuuZipo nyingi sana minimum salary kwa mtu wa chini ni 2500CHF by law chini ya hapo unamshtaki muajili wako
Ukiwa jobless kuna social fund 900CHF a month nyumba unapewa health insurance na serikali kwa masharti ya kawaida tu.
Kazi zipo nyingi sana but muhimu saaaana ni elimu ukiwa na elimu hapa utapapenda japo zipo dirty job zisizohitaji shule but risk sana
Sent using Jamii Forums mobile app
DuuhUzuri wa ulaya unaweza kupiga kazi yoyote bila kuona aibu kwasababu hakuna ndugu au marafiki wanaokuona ndo maana napazimia. Bi mkubwa akikuuliza unafanya kazi gani huko unamwambia ni mfamasia mkuu wa BERN case closed.
Dah mbona tunakatishana tamaa
Kuhudumia wazee wasiojiweza kama kuwaosha, kuwabadilisha nepi pia kuwalisha. Sasa usifikiri hao wazee ni wa pole. Wanaku amrisha utadhani wewe ni mjukuu wao. Hiki kimejinyea huku ,mwingine anataka akaote jua nje, mwingine anataka dawa zake halafu hawakuheshimu hata chembe. Wengine wanajinyea makusudi.
I miss you amuNipo hapa nimetoka kupokea mchana parcel yangu kutoka Mars supermarket.
Upo jimbo gani mkuu.
Kuhudumia wazee kunataka shule dirty job ni zile huna chetiKuhudumia wazee wasiojiweza kama kuwaosha, kuwabadilisha nepi pia kuwalisha. Sasa usifikiri hao wazee ni wa pole. Wanaku amrisha utadhani wewe ni mjukuu wao. Hiki kimejinyea huku ,mwingine anataka akaote jua nje, mwingine anataka dawa zake halafu hawakuheshimu hata chembe. Wengine wanajinyea makusudi.
Hapa mnazungumzia nchi gani mkuu?
Ni nchi ya omba omba au, mbona sielewi?Nipo hapa nimetoka kupokea mchana parcel yangu kutoka Mars supermarket.
Upo jimbo gani mkuu.