Kwa kuwa malipo ya dhulma ni hapa hapa duniani, basi namuomba Mungu wangu wa mbinguni afanye kila linalowezekana huyu Nape apate malipo yake.
Nape tulimpa huruma na upendo wetu wakati akitwezwa na kudhalilishwa enzi za giza lkn leo Nape anatulipa jeuri na kiburi? Nape ndiye wakuziba midomo waandishi na vyombo vya habari?
Nape ndiye wa kuanza kuwafanyia figisu wapinzani ili wasipinge uuzwaji wa bandari mwenye vyombo habari?
Siku hazigandi. Nina hakika Nape atalia na kusaga meno hapa hapa duniani.
Nape tulimpa huruma na upendo wetu wakati akitwezwa na kudhalilishwa enzi za giza lkn leo Nape anatulipa jeuri na kiburi? Nape ndiye wakuziba midomo waandishi na vyombo vya habari?
Nape ndiye wa kuanza kuwafanyia figisu wapinzani ili wasipinge uuzwaji wa bandari mwenye vyombo habari?
Siku hazigandi. Nina hakika Nape atalia na kusaga meno hapa hapa duniani.