Albert Msando
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 1,019
- 171
Sisi ni watu wa ajabu sana. Kwa sisi namaanisha watanzania. Najiuliza;
Dowans! Tumesahau!
Radar! Tumesahau!
Epa! Tumesahau!
Migodi! Haituhusu!
Iptl! Tumesahau!
Mafuta! Tumesahau!
Wizi wa wanyama! Tutasahau!
Jairo! Tunasukuma gari lake! Tunamwimbia na kumsifu!
Pinda! Amedhalilishwa! Tunamuhurumia!
Halafu kila siku ukisalimia 'habari ya asubuhi' unajibu 'salama kabisa Mungu anasaidia' wakati umekaa kwenye foleni three hours, hujapasi shati au gauni hakuna umeme, ada ya mtoto ya shule hujalipa, kodi unadaiwa nk! Bado tunaona ni sawa tu na ni mipango ya Mungu!
Wimbo wetu wa taifa 'eti nikienda safarini sitasahau...' Nchi ya neema! Asali na maziwa!
Nyumbu wana akili sana!
Dowans! Tumesahau!
Radar! Tumesahau!
Epa! Tumesahau!
Migodi! Haituhusu!
Iptl! Tumesahau!
Mafuta! Tumesahau!
Wizi wa wanyama! Tutasahau!
Jairo! Tunasukuma gari lake! Tunamwimbia na kumsifu!
Pinda! Amedhalilishwa! Tunamuhurumia!
Halafu kila siku ukisalimia 'habari ya asubuhi' unajibu 'salama kabisa Mungu anasaidia' wakati umekaa kwenye foleni three hours, hujapasi shati au gauni hakuna umeme, ada ya mtoto ya shule hujalipa, kodi unadaiwa nk! Bado tunaona ni sawa tu na ni mipango ya Mungu!
Wimbo wetu wa taifa 'eti nikienda safarini sitasahau...' Nchi ya neema! Asali na maziwa!
Nyumbu wana akili sana!