FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,917
- 109,314
- Thread starter
- #81
Kwamba mifano ya haja ni namna alivyochaguliwa Mh Kikwete na Mh Shibuda.
Ninaendelea kuamini kuwa kitengo cha Propaganda cha CCM kimeishiwa ubunifu wa kisiasa kushawishi wapiga kura.
Enyi wana CCM, endeleeni kutapa tapa bila kujua nini mseme ili kuchokoza mijadala ya sifa za viongozi tunaowataka kwenye jamii yetu ya karne hii ya 21.
UKAWA utaendelea kuwa mwiba unaoichoma CCM ndani ya ngozi yake.
Haya maigizo ya chagueni viongozi, msichague vyama ni kiashiria kingine kinachodhihiri namna CCM inavyomfia JK mikononi.
Rest in Hell CCM>
Hiyo ni mifano miwili tu niliyokuwekea ili kudhihirisha hoja yangu lakini ukweli unabaki kuwa ukweli, Tanzania hakichaguliwi chama anachaguliwa kiongozi. Hata huko UKAWA mtachaguwa chama? au kiongozi? UKAWA si chama. Fikiri.