Nisome tena:
By FaizaFoxy![]()
![]()
Sijui kuhusu Julius Kambarage maana na yeyey ni JK pia. Lakini kama unamaanisha Jakaya Kikwete, hapana dini yake ni Uislam na Uislam unaujuwa japo kwa kuusikia tu, sina haja ya kuelezea hilo.
Naam, Jakaya Kikwete katika mambo makuu aliyosimamia ni ufisadi na wizi na hilo ni ukweli kabisa na nafurahi kuwa umeliona. Leo tunaona ufosadi wa toka enzi za Mkapa akiuibuwa, laeo y=tanoana mawaziri na mabalozi wakifikishwa mahakamani kwa wizi na ufisadi.
Leo tunaona TAKUKURU ipo kila wilaya kusimamia wizi, rushwa na ufisadi na inazidi kuongezewa nguvu mara kwa mara, Hiyo ni kwa jitihada za Kikwete kusimamia hayo.
Mkuu,unamtamani kivipi?Hebu funguka.Yaani Faiza leo kaamuka vizuri, mpaka namtamani....
Hujuwi kuwa JK ni Julius Kambarage pia? au unajitia umajununi usiokuwa nao?
..........siongei na mbwa(FF) naongea na mwenye mbwa(aliyekutuma)!
hapo kwenye RED unaweza simamia wizi na ufisadi?????ha ha haha haaaaaaaNisome tena:
By FaizaFoxy![]()
![]()
Sijui kuhusu Julius Kambarage maana na yeyey ni JK pia. Lakini kama unamaanisha Jakaya Kikwete, hapana dini yake ni Uislam na Uislam unaujuwa japo kwa kuusikia tu, sina haja ya kuelezea hilo.
Naam, Jakaya Kikwete katika mambo makuu aliyosimamia ni ufisadi na wizi na hilo ni ukweli kabisa na nafurahi kuwa umeliona. Leo tunaona ufosadi wa toka enzi za Mkapa akiuibuwa, laeo y=tanoana mawaziri na mabalozi wakifikishwa mahakamani kwa wizi na ufisadi.
Leo tunaona TAKUKURU ipo kila wilaya kusimamia wizi, rushwa na ufisadi na inazidi kuongezewa nguvu mara kwa mara, Hiyo ni kwa jitihada za Kikwete kusimamia hayo.
Hiyo ni mifano miwili tu niliyokuwekea ili kudhihirisha hoja yangu lakini ukweli unabaki kuwa ukweli, Tanzania hakichaguliwi chama anachaguliwa kiongozi. Hata huko UKAWA mtachaguwa chama? au kiongozi? UKAWA si chama. Fikiri.
Jee, wewe utachaguwa kiongozi au chama?
nitamchagua mla KITIMOTO wewe je?????Jee, wewe utachaguwa kiongozi au chama?
FF sasa umeanza kujitambua, ya kwamba zama za kuchagua chama zimekwisha! Hapo ni sawa, ila kuna swala la kujiuliza ambalo kabla ya kuchagua, je huyo mgombea anatoka kwenye mfumo wa namna gani?! Mada yako inaonyesha kwamba kwenye chama fulan kuna shida, so tunatakiwa tumchague mtu personally and not the party!!!
Iko hivi, kwa Tanzania, kuna haja ya kuangalia yote mawili, i.e chama na mtu mwenyewe! Kwa mfano mgombea anaweza kuwa ni msafi na mwadilifu sana ila kutokana na chama alichopo, uadilifu wake hauonekani wala hawezi kusema lolote! Haya tumeyashuhudia hapa TZ, CCM kuna waadilifu ila wahalifu ni wengi kuliko waadilifu! Kama wahalifu ni wengi kuliko waadilifu unategemea nini?!
Kwenye scandal ya ESCROW, waadilifu ndani ya CCM tuliona walivyojipambanua, lakin kutokana na uchache wao haikusaidia lolote na wameonekana wasaliti! Maswala ya chama na mgombea hayana issue kama unavyowaza wewe! Mimi nashauri tutafute viongozi wazalendo, sio hao Mbwa mwitu walioko huko CCM.....! Hata kama anatoka chama cha kanisa/msikiti, kama sio mzalendo akafie mbali. Nashangaa kuna watu wamepandishwa mahakamani jana eti walipokea rushwa, mbona huyo mtoa rushwa hakupanda mahakamani!
FF nakushauri muwe mnamshauri JK manake anachofanya hata watoto wanamshangaa tena mno!!!! Tibaijuka kaadhibiwa kwa ukosefu wa maadili, wakati huo huo pesa alopokea ambayo ndo iliyomtoa kazin tunaambiwa sio ya umma, sasa ina maana ukipewa hela na mtu ukapokea ndo huna maadili...!? This is nonsense Faiza!!!!
Mwambie JK na genge lake hapo Ikulu, kiama chake hata kaburin kitamfuata.... They can't make us fool as such...!
Na wewe ipo siku hii ID yako itapotea humu. Huezi kutetea uovu namna hii ukategemea kuwa salam! One thing for sure, hata dola ya Rumi ilianguka. Tutafanya kila kitu kwa imani hoping that ipo siku tutaiangusha CCM. Na usidhan kwamba tunaichukia CCM, wengi wetu tunaipenda maana ni chama kilichotutoa mbali, tatizo letu ni hao Mbwa mwitu mliofuga. Kuanzia JK na cabinet yake nzima! Mbwa mwitu hawa wameamua hata kuua wale kondoo waliopo ndani ya zizi kama akina dr. Mvungi na wengine wengi tu wamepotea kisa Mbwa mwitu mnaowafuga hapo ikulu!!! Hivi kweli JK anampa mtu madaraka and then anashindwa kumwajibisha!? Huyu ni raisi goigoi kabisa tena hajui lolote.
Samahan kama utakwazika na lugha yangu..! It's that I'm fed up of you guys...!
Hapana mkuu!Safari hii tutazamie tufani ndani ya ccm, hizi kwenye JF ni rasharasha tu. Hapo ni kwamba bado UKAWA hawajaanza kuwavuruga.
kwani wenye chama si ni wanachama ama? Sijakuelewa hapo mkuu.Mfano hai ni mwaka 1995 wakati Kikwete alipowania kuwa Rais kwa mara ya kwanza, hakuna asiyejuwa kuwa alishinda ndani ya chama lakini wenye chama hawakutaka, matokeo unayajuwa.
Dada FaizaFoxy, wazo hilo ungelifikisja kwanza ndani ya chama chetu kabla ya kuliweka kwenye public
nitamchagua mla KITIMOTO wewe je?????
kwani wenye chama si ni wanachama ama? Sijakuelewa hapo mkuu.