GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,646
- 109,032
1. Kwa Kodi ya Shilingi Milioni Moja za Uganda ( Tanzania Shilingi Laki Tano ) nitapata Nyumba ya Hadhi gani ya Kupanga?
2. Je, mfumo wa Ulipaji Kodi huko ni kama wa huku Tanzania wa Miezi Mitatu, Sita na Mwaka au unaweza ukalipia hata Kodi ya Mwezi Mwezi?
3. Gharama za Maisha kwa sasa nchini Uganda zikoje? Mfano nikiwa Sijipikii Kwangu huku nikiwa Mwenyewe tu nikitenga Shilingi Milioni Moja na Laki Tano za Uganda ( Tanzania Shilingi Laki Saba na Elfu Hamsini ) haitonitosha kwa Breakfast, Lunch and Supper?
4. Kwa Wastani kwa sasa nchini Uganda huko Gharama za Tozo za Maji ni Kiasi gani na Bili ya Umeme ( zote kwa Mwezi ) ni Shilingi ngapi?
5. Je, naweza kupata Nyumba ya Kupangisha kwa Kiasi hicho tajwa hapo juu cha UGX 1,000,000/ ( Tsh 500,000/ ) kwa maeneo ya karibu na Ofisi za Bunge au Ikulu ya Nakasero au maeneo ya Kololo, Ntinda na Muyenga?
6. Mishahara ya Mfanyakazi wa Ndani na wa Bustani kwa Mwezi huko nchini Uganda kwa Wastani huwa ni Kiasi gani?
7. Bei ya Vitanda, Magodoro, Music Systems, Flat Screens, Ving'amuzi, Vocha za Simu, Kukodi Ubber na Huduma za Intaneti kwa Wastani huwa ni Kiasi gani?
Kwa Watanzania mlioko Jijini Kampala nchini Uganda nitashukuru mno kama mtanijibu GENTAMYCINE kwa haya Maswali yangu Saba ( 7 ) tajwa hapa kwani kwa BARAKA ZAKE KUBWA MWENYEZI MUNGU ndani ya Siku 10 au 15 kuanzia leo nitakuwa nanyi huko kwa muda wa Miaka Miwili na kama DUA za Watanzania ZITANIBARIKI basi naweza Kuongezewa tena Miaka mingine Miwili.
Nimetoka huko nchini Uganda kwa mara ya mwisho mwaka 2002 hivyo kwa sasa narejea kama Mgeni japo Vijiwe vyangu vya Totooz bado navikumbuka na Lugha ya Luganda kwa baadhi ya Maneno kama NIKUAGALA NYO NYABO TUGENDE KUKOLANA ( NAKUPENDA SANA DADA TWENDE KUBANDUANA ) bado nayakumbuka hadi leo hii.
Simba SC nawaomba leo msiniangushe Kimatokeo ili nikisafiri kwenda Uganda niwe na Furaha ya SI tu Mwarabu Kufa ( Kufungwa ) bali Kutolewa kabisa Mashindanoni CAFCL.
Kila la Kheri Mamelodi Sundowns Kesho.
2. Je, mfumo wa Ulipaji Kodi huko ni kama wa huku Tanzania wa Miezi Mitatu, Sita na Mwaka au unaweza ukalipia hata Kodi ya Mwezi Mwezi?
3. Gharama za Maisha kwa sasa nchini Uganda zikoje? Mfano nikiwa Sijipikii Kwangu huku nikiwa Mwenyewe tu nikitenga Shilingi Milioni Moja na Laki Tano za Uganda ( Tanzania Shilingi Laki Saba na Elfu Hamsini ) haitonitosha kwa Breakfast, Lunch and Supper?
4. Kwa Wastani kwa sasa nchini Uganda huko Gharama za Tozo za Maji ni Kiasi gani na Bili ya Umeme ( zote kwa Mwezi ) ni Shilingi ngapi?
5. Je, naweza kupata Nyumba ya Kupangisha kwa Kiasi hicho tajwa hapo juu cha UGX 1,000,000/ ( Tsh 500,000/ ) kwa maeneo ya karibu na Ofisi za Bunge au Ikulu ya Nakasero au maeneo ya Kololo, Ntinda na Muyenga?
6. Mishahara ya Mfanyakazi wa Ndani na wa Bustani kwa Mwezi huko nchini Uganda kwa Wastani huwa ni Kiasi gani?
7. Bei ya Vitanda, Magodoro, Music Systems, Flat Screens, Ving'amuzi, Vocha za Simu, Kukodi Ubber na Huduma za Intaneti kwa Wastani huwa ni Kiasi gani?
Kwa Watanzania mlioko Jijini Kampala nchini Uganda nitashukuru mno kama mtanijibu GENTAMYCINE kwa haya Maswali yangu Saba ( 7 ) tajwa hapa kwani kwa BARAKA ZAKE KUBWA MWENYEZI MUNGU ndani ya Siku 10 au 15 kuanzia leo nitakuwa nanyi huko kwa muda wa Miaka Miwili na kama DUA za Watanzania ZITANIBARIKI basi naweza Kuongezewa tena Miaka mingine Miwili.
Nimetoka huko nchini Uganda kwa mara ya mwisho mwaka 2002 hivyo kwa sasa narejea kama Mgeni japo Vijiwe vyangu vya Totooz bado navikumbuka na Lugha ya Luganda kwa baadhi ya Maneno kama NIKUAGALA NYO NYABO TUGENDE KUKOLANA ( NAKUPENDA SANA DADA TWENDE KUBANDUANA ) bado nayakumbuka hadi leo hii.
Simba SC nawaomba leo msiniangushe Kimatokeo ili nikisafiri kwenda Uganda niwe na Furaha ya SI tu Mwarabu Kufa ( Kufungwa ) bali Kutolewa kabisa Mashindanoni CAFCL.
Kila la Kheri Mamelodi Sundowns Kesho.