GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,574
- 108,930
Nasikia hiyo Hela ni sawa na Shilingi Milioni Tano na Laki fulani hivi kwa hapa Tanzania na sawa na Dola za Kimarekani 2,400 ambao ni Mshahara wa Mawaziri Waandamizi wote wa Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan.
Nimetoka Uganda mara ya mwisho mwaka 2002 baada ya kuwa huko kwa Miaka Sita ya Kimasomo hivyo sijajua tena Maisha ya huko yakoje na leo nimeota Ndoto ( nasisitiza tena kuwa Nimeota Ndoto ) kuwa Mwenyezi Mungu anaweza kuweka Baraka zake Ndugu yangu Mmoja akawa huko kwa kupata Fursa Kubwa na Maalum ( katika Serikali ya Nchi hiyo ) ya Malipo hayo hivyo nataka kujua tu kwa Kiasi hicho atatamba na kufaidi sana ili nikayaazime Majini makali ya Yanga SC ( ambayo kwa Mwezi huu Mtukufu yamepumzika ) ili Nimroge kwa Kumtupia yamtese au ni Hela ya Kawaida mno tu hivyo hata nisipoteze muda Wangu kumtupia Majini ya Klabu ya Yanga?
Nasubiria tu Mirejesho yenu Wadau.
Nimetoka Uganda mara ya mwisho mwaka 2002 baada ya kuwa huko kwa Miaka Sita ya Kimasomo hivyo sijajua tena Maisha ya huko yakoje na leo nimeota Ndoto ( nasisitiza tena kuwa Nimeota Ndoto ) kuwa Mwenyezi Mungu anaweza kuweka Baraka zake Ndugu yangu Mmoja akawa huko kwa kupata Fursa Kubwa na Maalum ( katika Serikali ya Nchi hiyo ) ya Malipo hayo hivyo nataka kujua tu kwa Kiasi hicho atatamba na kufaidi sana ili nikayaazime Majini makali ya Yanga SC ( ambayo kwa Mwezi huu Mtukufu yamepumzika ) ili Nimroge kwa Kumtupia yamtese au ni Hela ya Kawaida mno tu hivyo hata nisipoteze muda Wangu kumtupia Majini ya Klabu ya Yanga?
Nasubiria tu Mirejesho yenu Wadau.