Watanzania hatuna shukrani Mungu atusamehe kwa huu ujinga tunaofanya

Nakubaliana kabisa na wewe..inashangaza sana mtu kama Nape anabwabwaja tu....wakati wa awamu ya tano si alikuwa mbunge tena chama tawala na JPM akiwa mwenyekiti ...haya maswali angeuliza kipindi hicho ....Pamoja na JPM kukopa lakini kuna vitu tunaona na hilo lipo wazi....Yeye Nape so far amafanya nini kwa wapiga kura wake achilia mbali nchi...korosho tu haiwezi...
Apunguze mdomo....hana jipya
Sio kweli..hukuwa ukifatilia bunge, Nape aliwahi ongelea suala la mikopo wakati Magufuli yupo, ilipofika trillion 56 akasema serikali iwe makini kwenye kukopa maana muda si mrefu tutakuwa hatukopesheki! Kuwa makini dogo. Chuki isikufanye uwe kipofu, give the man his due..
 
Baada ya Hayati Rais JPM (R.I.P) watanzania waliopoteza mkate kipndi chake wameanza kutema nyongo, wengine wamefikia mahali na kusema kilichofanyika likuwa ni wizi. hivi kweli ndugu zangu watanzania kuna wakati nchi ilipigwa mchana km kipindi cha awamu ya 4? kuna kashfa ngapi ziliingiza nchi mpaka waziri mkuu Lowassa kuwajibika? tunakumbuka ufisadi wa RICHMOND, KAGODA, MEREMETA, MIKATABA YA MADINI, escrow account, tegeta escrow na nk.

Kuna watu wanahoji mikopo ya pesa nyingi kwa muda mfupi; hivi kuna ubaya gani ukikopa kufanya mambo makubwa kwa muda mfupi? au ni bora kukopa kidogo kwa muda mrefu? sijui watanzania tumerogwa na nani? siku moja nilikutuna na Prof mmoja bingwa wa mifupa akatuambia kuwa watanzania hatujui sekta ya afya ilivyokuwa taabani, lkn sasa vifaa tiba na wataalamu wamejaa, lkn aliongeza kuwa watanzania ni wapole sana. ni hiii kitu ndiyo inatufanya tuendelee kuwa maskini.

Tumesahau mambo makubwa aliyoifanyia nchi yetu tena kwa kipindi kifupi., mfano ni hii hapo chini.

HUDUMA ZA JAMII
  • Kutoka asilimia 47% iliyokuwepo mwaka 2016 hadi kufikia asilimia 69% katika kipindi cha mwaka 2019-2021.
  • Kumboreka kwa huduma ya maji kutoka asilimia 47% mwaka 2016 hadi kufikia asilimia 70.1%.
NISHATI na MADINI.
  • Kupungua kwa gharama za kuvuta umeme kutoka 470,000/= mpaka 20,000/=
  • Kufuta kabisa mgao wa umeme
  • Kuanzaishwa kwa masoko ya ndani ya madini, ikumbukwe kuwa ukikamatwa na madini yanataifishwa na kifungo juu wakati hapakuwa na soko la madini hayo.
  • Kupitiwa kwa mikataba ya ulaghai kwenye madini na gas na kupanda kwa mrahaba kutoka 3% mpaka 16%
ELIMU
  • Elimu ya bure kuanzia shule ya msingi hadi sekondari na kufuta michango
  • Kungozeka kwa wanaopata mikopo elimu ya juu
  • Ukarabati shule zote kongwe za sekondari nchini.
AFYA
  • Zahanati 1, 198
  • Vituo vya Afya 497
  • Hospitali za Wilaya ni 71
  • Vifaa tib ana mitambo mikubwa ikumbukwe hapo nyuma machine kubwa km MRI na CT SCAN zilikuwa muhimbili na Aka Khan.
  • Madakatari bingwa wote walihamia hospitali za watu binafsi.
MIUNDO MBINU
  • Fly overs
  • Bara bara kila kona ya nchi kama kule Ludewa, makete, Manyara, Kigoma, Tabora
  • Upanuzi wa bandari ya Dar es salaam.
MAAMZI MAGUMU:
  • kusimamia maamuzi ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ya kuhamia Dodoma
  • Ujenzi wa bwawa la umeme la Nyerere
  • Ujenzi wa mradi mkubwa wa reli SGR
  • Daraka kubwa la Busisi ziwa Victoria
  • Kufufua shIrike la ndege sasa lina ndege kubwa km Dreamliner, airbus
  • Mapambano ya wazi dhidi ya vitendo vya rushwa na ufisadi
  • Mapambano dhidi ya matumizi ya dawa za kulevya
Sasa kwanini alikuwa anajikopea akiwa chumbani kwake..!??

Kwani nchi ilikuwa yake peke yake!??

Acheni kutetea ujinga.
Si angekuwa wazi tuhh!!??
 
Baada ya Hayati Rais JPM (R.I.P) watanzania waliopoteza mkate kipndi chake wameanza kutema nyongo, wengine wamefikia mahali na kusema kilichofanyika likuwa ni wizi. hivi kweli ndugu zangu watanzania kuna wakati nchi ilipigwa mchana km kipindi cha awamu ya 4? kuna kashfa ngapi ziliingiza nchi mpaka waziri mkuu Lowassa kuwajibika? tunakumbuka ufisadi wa RICHMOND, KAGODA, MEREMETA, MIKATABA YA MADINI, escrow account, tegeta escrow na nk.

Kuna watu wanahoji mikopo ya pesa nyingi kwa muda mfupi; hivi kuna ubaya gani ukikopa kufanya mambo makubwa kwa muda mfupi? au ni bora kukopa kidogo kwa muda mrefu? sijui watanzania tumerogwa na nani? siku moja nilikutuna na Prof mmoja bingwa wa mifupa akatuambia kuwa watanzania hatujui sekta ya afya ilivyokuwa taabani, lkn sasa vifaa tiba na wataalamu wamejaa, lkn aliongeza kuwa watanzania ni wapole sana. ni hiii kitu ndiyo inatufanya tuendelee kuwa maskini.

Tumesahau mambo makubwa aliyoifanyia nchi yetu tena kwa kipindi kifupi., mfano ni hii hapo chini.

HUDUMA ZA JAMII
  • Kutoka asilimia 47% iliyokuwepo mwaka 2016 hadi kufikia asilimia 69% katika kipindi cha mwaka 2019-2021.
  • Kumboreka kwa huduma ya maji kutoka asilimia 47% mwaka 2016 hadi kufikia asilimia 70.1%.
NISHATI na MADINI.
  • Kupungua kwa gharama za kuvuta umeme kutoka 470,000/= mpaka 20,000/=
  • Kufuta kabisa mgao wa umeme
  • Kuanzaishwa kwa masoko ya ndani ya madini, ikumbukwe kuwa ukikamatwa na madini yanataifishwa na kifungo juu wakati hapakuwa na soko la madini hayo.
  • Kupitiwa kwa mikataba ya ulaghai kwenye madini na gas na kupanda kwa mrahaba kutoka 3% mpaka 16%
ELIMU
  • Elimu ya bure kuanzia shule ya msingi hadi sekondari na kufuta michango
  • Kungozeka kwa wanaopata mikopo elimu ya juu
  • Ukarabati shule zote kongwe za sekondari nchini.
AFYA
  • Zahanati 1, 198
  • Vituo vya Afya 497
  • Hospitali za Wilaya ni 71
  • Vifaa tib ana mitambo mikubwa ikumbukwe hapo nyuma machine kubwa km MRI na CT SCAN zilikuwa muhimbili na Aka Khan.
  • Madakatari bingwa wote walihamia hospitali za watu binafsi.
MIUNDO MBINU
  • Fly overs
  • Bara bara kila kona ya nchi kama kule Ludewa, makete, Manyara, Kigoma, Tabora
  • Upanuzi wa bandari ya Dar es salaam.
MAAMZI MAGUMU:
  • kusimamia maamuzi ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ya kuhamia Dodoma
  • Ujenzi wa bwawa la umeme la Nyerere
  • Ujenzi wa mradi mkubwa wa reli SGR
  • Daraka kubwa la Busisi ziwa Victoria
  • Kufufua shIrike la ndege sasa lina ndege kubwa km Dreamliner, airbus
  • Mapambano ya wazi dhidi ya vitendo vya rushwa na ufisadi
  • Mapambano dhidi ya matumizi ya dawa za kulevya
Ficha upumbavu wako, au ulishiriki kuzipiga?. Usitetee uovu kwa kulinganisha na hayo yaliyofanyika. Ililazimu afanye ndiyo kazi ya uongozi. Kwani tulimchagua kwenda ikulu kucheza Sindimba au dogoli?.
 
Usilolijua ni kuwa awamu ya 5 wizi ulikuwepo tena mkubwa ila tofauti yake ulikuwa ni wa watu wachache..

Sababu kubwa ni kulikuwa na muzzling of civic space pia hakukua na checks and balances yani dikteta alizitia judiciary na legislature mfukoni .

Wapi Trillion 1.5 alizohoji Prof Assad??

Kwanini tenda kubwa walikua wanapewa Mayanga Constructions?
 
Baada ya Hayati Rais JPM (R.I.P) watanzania waliopoteza mkate kipndi chake wameanza kutema nyongo, wengine wamefikia mahali na kusema kilichofanyika likuwa ni wizi. hivi kweli ndugu zangu watanzania kuna wakati nchi ilipigwa mchana km kipindi cha awamu ya 4? kuna kashfa ngapi ziliingiza nchi mpaka waziri mkuu Lowassa kuwajibika? tunakumbuka ufisadi wa RICHMOND, KAGODA, MEREMETA, MIKATABA YA MADINI, escrow account, tegeta escrow na nk.

Kuna watu wanahoji mikopo ya pesa nyingi kwa muda mfupi; hivi kuna ubaya gani ukikopa kufanya mambo makubwa kwa muda mfupi? au ni bora kukopa kidogo kwa muda mrefu? sijui watanzania tumerogwa na nani? siku moja nilikutuna na Prof mmoja bingwa wa mifupa akatuambia kuwa watanzania hatujui sekta ya afya ilivyokuwa taabani, lkn sasa vifaa tiba na wataalamu wamejaa, lkn aliongeza kuwa watanzania ni wapole sana. ni hiii kitu ndiyo inatufanya tuendelee kuwa maskini.

Tumesahau mambo makubwa aliyoifanyia nchi yetu tena kwa kipindi kifupi., mfano ni hii hapo chini.

HUDUMA ZA JAMII
  • Kutoka asilimia 47% iliyokuwepo mwaka 2016 hadi kufikia asilimia 69% katika kipindi cha mwaka 2019-2021.
  • Kumboreka kwa huduma ya maji kutoka asilimia 47% mwaka 2016 hadi kufikia asilimia 70.1%.
NISHATI na MADINI.
  • Kupungua kwa gharama za kuvuta umeme kutoka 470,000/= mpaka 20,000/=
  • Kufuta kabisa mgao wa umeme
  • Kuanzaishwa kwa masoko ya ndani ya madini, ikumbukwe kuwa ukikamatwa na madini yanataifishwa na kifungo juu wakati hapakuwa na soko la madini hayo.
  • Kupitiwa kwa mikataba ya ulaghai kwenye madini na gas na kupanda kwa mrahaba kutoka 3% mpaka 16%
ELIMU
  • Elimu ya bure kuanzia shule ya msingi hadi sekondari na kufuta michango
  • Kungozeka kwa wanaopata mikopo elimu ya juu
  • Ukarabati shule zote kongwe za sekondari nchini.
AFYA
  • Zahanati 1, 198
  • Vituo vya Afya 497
  • Hospitali za Wilaya ni 71
  • Vifaa tib ana mitambo mikubwa ikumbukwe hapo nyuma machine kubwa km MRI na CT SCAN zilikuwa muhimbili na Aka Khan.
  • Madakatari bingwa wote walihamia hospitali za watu binafsi.
MIUNDO MBINU
  • Fly overs
  • Bara bara kila kona ya nchi kama kule Ludewa, makete, Manyara, Kigoma, Tabora
  • Upanuzi wa bandari ya Dar es salaam.
MAAMZI MAGUMU:
  • kusimamia maamuzi ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ya kuhamia Dodoma
  • Ujenzi wa bwawa la umeme la Nyerere
  • Ujenzi wa mradi mkubwa wa reli SGR
  • Daraka kubwa la Busisi ziwa Victoria
  • Kufufua shIrike la ndege sasa lina ndege kubwa km Dreamliner, airbus
  • Mapambano ya wazi dhidi ya vitendo vya rushwa na ufisadi
  • Mapambano dhidi ya matumizi ya dawa za kulevya
Yote haya umeyaandika kwa kutumia wakati uliopita. Tujadili wakati huu uliopo sasa. Changamoto huenda sambamba na maisha halisi pamoja na utatuzi.
 
Baada ya Hayati Rais JPM (R.I.P) watanzania waliopoteza mkate kipndi chake wameanza kutema nyongo, wengine wamefikia mahali na kusema kilichofanyika likuwa ni wizi. hivi kweli ndugu zangu watanzania kuna wakati nchi ilipigwa mchana km kipindi cha awamu ya 4? kuna kashfa ngapi ziliingiza nchi mpaka waziri mkuu Lowassa kuwajibika? tunakumbuka ufisadi wa RICHMOND, KAGODA, MEREMETA, MIKATABA YA MADINI, escrow account, tegeta escrow na nk.

Kuna watu wanahoji mikopo ya pesa nyingi kwa muda mfupi; hivi kuna ubaya gani ukikopa kufanya mambo makubwa kwa muda mfupi? au ni bora kukopa kidogo kwa muda mrefu? sijui watanzania tumerogwa na nani? siku moja nilikutuna na Prof mmoja bingwa wa mifupa akatuambia kuwa watanzania hatujui sekta ya afya ilivyokuwa taabani, lkn sasa vifaa tiba na wataalamu wamejaa, lkn aliongeza kuwa watanzania ni wapole sana. ni hiii kitu ndiyo inatufanya tuendelee kuwa maskini.

Tumesahau mambo makubwa aliyoifanyia nchi yetu tena kwa kipindi kifupi., mfano ni hii hapo chini.

HUDUMA ZA JAMII
  • Kutoka asilimia 47% iliyokuwepo mwaka 2016 hadi kufikia asilimia 69% katika kipindi cha mwaka 2019-2021.
  • Kumboreka kwa huduma ya maji kutoka asilimia 47% mwaka 2016 hadi kufikia asilimia 70.1%.
NISHATI na MADINI.
  • Kupungua kwa gharama za kuvuta umeme kutoka 470,000/= mpaka 20,000/=
  • Kufuta kabisa mgao wa umeme
  • Kuanzaishwa kwa masoko ya ndani ya madini, ikumbukwe kuwa ukikamatwa na madini yanataifishwa na kifungo juu wakati hapakuwa na soko la madini hayo.
  • Kupitiwa kwa mikataba ya ulaghai kwenye madini na gas na kupanda kwa mrahaba kutoka 3% mpaka 16%
ELIMU
  • Elimu ya bure kuanzia shule ya msingi hadi sekondari na kufuta michango
  • Kungozeka kwa wanaopata mikopo elimu ya juu
  • Ukarabati shule zote kongwe za sekondari nchini.
AFYA
  • Zahanati 1, 198
  • Vituo vya Afya 497
  • Hospitali za Wilaya ni 71
  • Vifaa tib ana mitambo mikubwa ikumbukwe hapo nyuma machine kubwa km MRI na CT SCAN zilikuwa muhimbili na Aka Khan.
  • Madakatari bingwa wote walihamia hospitali za watu binafsi.
MIUNDO MBINU
  • Fly overs
  • Bara bara kila kona ya nchi kama kule Ludewa, makete, Manyara, Kigoma, Tabora
  • Upanuzi wa bandari ya Dar es salaam.
MAAMZI MAGUMU:
  • kusimamia maamuzi ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ya kuhamia Dodoma
  • Ujenzi wa bwawa la umeme la Nyerere
  • Ujenzi wa mradi mkubwa wa reli SGR
  • Daraka kubwa la Busisi ziwa Victoria
  • Kufufua shIrike la ndege sasa lina ndege kubwa km Dreamliner, airbus
  • Mapambano ya wazi dhidi ya vitendo vya rushwa na ufisadi
  • Mapambano dhidi ya matumizi ya dawa za kulevya
Kashfa nyingi ziliibuka wakati wa JK kwa sababu aliruhusu uhuru wa kuongea,Magu hakuruhusu huu uhuru ndio maana unaona wanaanza kuongea sasa hivi.

Believe me,hakuna kipindi wizi umefanyika kama awamu ya Magu,awamu hii inapita awamu zote kwa wizi na ufujaji pesa.

Be a critical thinker you'll understand.
 
Kinachotakiwa ni accountability. Kama wamepigia ijulikane tu hata kama wangetujengea mbingu hapa duniani. Maneno peke yake hayatoshi kama haysko supported na data.

Magufuli alikuwa na nafasi ya kuwawajibisha watu kama akina Nape kama kweli walipiga kama Kikwete alivyofanya kwa akina Mramba na Yona.

Pamoja na kujipa Bana kuwa ni mchukia ufisadi, yeye aliamua kuwawinda wafanyabiashara wakati alijua wao pekee hawawezi kula bila watu serikalini.
Kwa hiyo unamanisha Nape analenga wakuchunguzwa ni Mama na Mpango? Marehemu hahojiki.

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom