Watanzania hatuna shukrani Mungu atusamehe kwa huu ujinga tunaofanya

Baada ya Hayati Rais JPM (R.I.P) watanzania waliopoteza mkate kipndi chake wameanza kutema nyongo, wengine wamefikia mahali na kusema kilichofanyika likuwa ni wizi. hivi kweli ndugu zangu watanzania kuna wakati nchi ilipigwa mchana km kipindi cha awamu ya 4? kuna kashfa ngapi ziliingiza nchi mpaka waziri mkuu Lowassa kuwajibika? tunakumbuka ufisadi wa RICHMOND, KAGODA, MEREMETA, MIKATABA YA MADINI, escrow account, tegeta escrow na nk.

Kuna watu wanahoji mikopo ya pesa nyingi kwa muda mfupi; hivi kuna ubaya gani ukikopa kufanya mambo makubwa kwa muda mfupi? au ni bora kukopa kidogo kwa muda mrefu? sijui watanzania tumerogwa na nani? siku moja nilikutuna na Prof mmoja bingwa wa mifupa akatuambia kuwa watanzania hatujui sekta ya afya ilivyokuwa taabani, lkn sasa vifaa tiba na wataalamu wamejaa, lkn aliongeza kuwa watanzania ni wapole sana. ni hiii kitu ndiyo inatufanya tuendelee kuwa maskini.

Tumesahau mambo makubwa aliyoifanyia nchi yetu tena kwa kipindi kifupi., mfano ni hii hapo chini.

HUDUMA ZA JAMII
  • Kutoka asilimia 47% iliyokuwepo mwaka 2016 hadi kufikia asilimia 69% katika kipindi cha mwaka 2019-2021.
  • Kumboreka kwa huduma ya maji kutoka asilimia 47% mwaka 2016 hadi kufikia asilimia 70.1%.
NISHATI na MADINI.
  • Kupungua kwa gharama za kuvuta umeme kutoka 470,000/= mpaka 20,000/=
  • Kufuta kabisa mgao wa umeme
  • Kuanzaishwa kwa masoko ya ndani ya madini, ikumbukwe kuwa ukikamatwa na madini yanataifishwa na kifungo juu wakati hapakuwa na soko la madini hayo.
  • Kupitiwa kwa mikataba ya ulaghai kwenye madini na gas na kupanda kwa mrahaba kutoka 3% mpaka 16%
ELIMU
  • Elimu ya bure kuanzia shule ya msingi hadi sekondari na kufuta michango
  • Kungozeka kwa wanaopata mikopo elimu ya juu
  • Ukarabati shule zote kongwe za sekondari nchini.
AFYA
  • Zahanati 1, 198
  • Vituo vya Afya 497
  • Hospitali za Wilaya ni 71
  • Vifaa tib ana mitambo mikubwa ikumbukwe hapo nyuma machine kubwa km MRI na CT SCAN zilikuwa muhimbili na Aka Khan.
  • Madakatari bingwa wote walihamia hospitali za watu binafsi.
MIUNDO MBINU
  • Fly overs
  • Bara bara kila kona ya nchi kama kule Ludewa, makete, Manyara, Kigoma, Tabora
  • Upanuzi wa bandari ya Dar es salaam.
MAAMZI MAGUMU:
  • kusimamia maamuzi ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ya kuhamia Dodoma
  • Ujenzi wa bwawa la umeme la Nyerere
  • Ujenzi wa mradi mkubwa wa reli SGR
  • Daraka kubwa la Busisi ziwa Victoria
  • Kufufua shIrike la ndege sasa lina ndege kubwa km Dreamliner, airbus
  • Mapambano ya wazi dhidi ya vitendo vya rushwa na ufisadi
  • Mapambano dhidi ya matumizi ya dawa za kulevya
wasikuchanganye

1.wengi wanaopiga kelele kama Nape, Membe n.k ni wale ambao mrija ulikatwa


2. wako ambao wanakubali chuki kwa bluetooth tu


nje ya mitandao,JPM anaishi
 
Mimi ninachowashangaa nyie ni kwamba sasa kama pesa haijaibiwa si ndiyo vizuri ukaguzi ufanyike kama alivyosema Nape ili tujue mbivu na mbichi? Mbona mmepaniki? Kama amejenga hayo yote tuachie sasa tume huru ifanye ukaguzi kujua je ni kweli SGR imetumia this much? Ni kweli kwamba barabara zimetumia this much?
 
Nakubaliana kabisa na wewe..inashangaza sana mtu kama Nape anabwabwaja tu....wakati wa awamu ya tano si alikuwa mbunge tena chama tawala na JPM akiwa mwenyekiti ...haya maswali angeuliza kipindi hicho ....Pamoja na JPM kukopa lakini kuna vitu tunaona na hilo lipo wazi....Yeye Nape so far amafanya nini kwa wapiga kura wake achilia mbali nchi...korosho tu haiwezi...
Apunguze mdomo....hana jipya
kulikua na mtu mwenye uwezo wa kuhoji kipind kile? au unaongea tu mkuu pasipo uhalisia...unajua ht kashfa za awamu ya nne zilijulikana sana kwasababu watu waliziongea bungeni na kwenye media bila hofu ndio maana wengi tukafahamu
 
home kwako.
Hebu tulia, tena kwenye hii special audit tumeamua kumuita mstaafu Prof Assad na yule mtangulizi wake Ludovick Utto ndiyo waongoze timu ya uchunguzi. Na zoezi zima litakuwa linarushwa mubashara TBC ana Azam TV ambapo miradi yoooteee itakaguliwa kujua value for money, tutakagua mpaka zile zilizokuwa zinagawanywa barabarani wakati wa ziara...
 
10 Nyerere + 10 Mwinyi + 10 Mkapa + 10 Kikwete + Samia = 5 Magufuli

This man was a Legend! Uthubutu mkubwa umefanyika katika awamu ya tano.Huyu mwamba ameweka standard ya uongozi/Urais unapaswa uweje.
Nyerere ni 26 jombaa...
 
Mwizi mzuri sana! Yaani mwizi anayeiba na kujenga miundombinu na kuleta maendeleo watamzania ndiyo tuloyemhitaji! Muuaji anayeua wanaotaka wajawazito wafie njiani wakielekea hospital kwa ubovu wa miundombinu kwa kuendekeza siasa uchwara wacha wauliwe tu! Sisi tulikubaliana na hilo! Au wanaoteseka na umasikini sio watu? Asiyependa kuona watu wakiishi vizuri aliwajengea miundombinu ya kisasa,akawapa elimu bure,maji,huduma bora za afya bila kusahau aliwapenda machinga! Kama asiyetenda haki alikuwa hivyo,Basi siai tulimpenda hivyo hivyo!
Tukifanya uchunguzi ndiyo tutajua hizo Trilioni zilienda wapi na wapi.
 
Baada ya Hayati Rais JPM (R.I.P) watanzania waliopoteza mkate kipndi chake wameanza kutema nyongo, wengine wamefikia mahali na kusema kilichofanyika likuwa ni wizi. hivi kweli ndugu zangu watanzania kuna wakati nchi ilipigwa mchana km kipindi cha awamu ya 4? kuna kashfa ngapi ziliingiza nchi mpaka waziri mkuu Lowassa kuwajibika? tunakumbuka ufisadi wa RICHMOND, KAGODA, MEREMETA, MIKATABA YA MADINI, escrow account, tegeta escrow na nk.

Kuna watu wanahoji mikopo ya pesa nyingi kwa muda mfupi; hivi kuna ubaya gani ukikopa kufanya mambo makubwa kwa muda mfupi? au ni bora kukopa kidogo kwa muda mrefu? sijui watanzania tumerogwa na nani? siku moja nilikutuna na Prof mmoja bingwa wa mifupa akatuambia kuwa watanzania hatujui sekta ya afya ilivyokuwa taabani, lkn sasa vifaa tiba na wataalamu wamejaa, lkn aliongeza kuwa watanzania ni wapole sana. ni hiii kitu ndiyo inatufanya tuendelee kuwa maskini.

Tumesahau mambo makubwa aliyoifanyia nchi yetu tena kwa kipindi kifupi., mfano ni hii hapo chini.

HUDUMA ZA JAMII
  • Kutoka asilimia 47% iliyokuwepo mwaka 2016 hadi kufikia asilimia 69% katika kipindi cha mwaka 2019-2021.
  • Kumboreka kwa huduma ya maji kutoka asilimia 47% mwaka 2016 hadi kufikia asilimia 70.1%.
NISHATI na MADINI.
  • Kupungua kwa gharama za kuvuta umeme kutoka 470,000/= mpaka 20,000/=
  • Kufuta kabisa mgao wa umeme
  • Kuanzaishwa kwa masoko ya ndani ya madini, ikumbukwe kuwa ukikamatwa na madini yanataifishwa na kifungo juu wakati hapakuwa na soko la madini hayo.
  • Kupitiwa kwa mikataba ya ulaghai kwenye madini na gas na kupanda kwa mrahaba kutoka 3% mpaka 16%
ELIMU
  • Elimu ya bure kuanzia shule ya msingi hadi sekondari na kufuta michango
  • Kungozeka kwa wanaopata mikopo elimu ya juu
  • Ukarabati shule zote kongwe za sekondari nchini.
AFYA
  • Zahanati 1, 198
  • Vituo vya Afya 497
  • Hospitali za Wilaya ni 71
  • Vifaa tib ana mitambo mikubwa ikumbukwe hapo nyuma machine kubwa km MRI na CT SCAN zilikuwa muhimbili na Aka Khan.
  • Madakatari bingwa wote walihamia hospitali za watu binafsi.
MIUNDO MBINU
  • Fly overs
  • Bara bara kila kona ya nchi kama kule Ludewa, makete, Manyara, Kigoma, Tabora
  • Upanuzi wa bandari ya Dar es salaam.
MAAMZI MAGUMU:
  • kusimamia maamuzi ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ya kuhamia Dodoma
  • Ujenzi wa bwawa la umeme la Nyerere
  • Ujenzi wa mradi mkubwa wa reli SGR
  • Daraka kubwa la Busisi ziwa Victoria
  • Kufufua shIrike la ndege sasa lina ndege kubwa km Dreamliner, airbus
  • Mapambano ya wazi dhidi ya vitendo vya rushwa na ufisadi
  • Mapambano dhidi ya matumizi ya dawa za kulevya
Meli mpya kujengewa maziwa yote makubwa na kukarabati Meli nzee.
Kufufua reli zilizo kufa miaka 30 iliyopita etc
 
Mimi ninachowashangaa nyie ni kwamba sasa kama pesa haijaibiwa si ndiyo vizuri ukaguzi ufanyike kama alivyosema Nape ili tujue mbivu na mbichi? Mbona mmepaniki? Kama amejenga hayo yote tuachie sasa tume huru ifanye ukaguzi kujua je ni kweli SGR imetumia this much? Ni kweli kwamba barabara zimetumia this much?
hio ndio shida ya wabongo sie, mtu katoa hoja badala waipinge hoja yake wanampinga yeye, wanaoleta hizo hoja za matumiz awamu iliopita wapingwe kwa hoja, km kila kitu kilikua shwari wanaogopa nn kupitiwa upya hizo hesabu?, waunde tume tu wampe assad achunguze loh
 
Unafki hautaisha bongo,huyu ni yule aliyepiga magoti kwa JPM(RIP) Na akasamehewa na kurudishwa kambini jana anatoka mate kumlaumu marehemu.
Naona support ndogo sana alipewa.
 
Baada ya Hayati Rais JPM (R.I.P) watanzania waliopoteza mkate kipndi chake wameanza kutema nyongo, wengine wamefikia mahali na kusema kilichofanyika likuwa ni wizi. hivi kweli ndugu zangu watanzania kuna wakati nchi ilipigwa mchana km kipindi cha awamu ya 4? kuna kashfa ngapi ziliingiza nchi mpaka waziri mkuu Lowassa kuwajibika? tunakumbuka ufisadi wa RICHMOND, KAGODA, MEREMETA, MIKATABA YA MADINI, escrow account, tegeta escrow na nk.

Kuna watu wanahoji mikopo ya pesa nyingi kwa muda mfupi; hivi kuna ubaya gani ukikopa kufanya mambo makubwa kwa muda mfupi? au ni bora kukopa kidogo kwa muda mrefu? sijui watanzania tumerogwa na nani? siku moja nilikutuna na Prof mmoja bingwa wa mifupa akatuambia kuwa watanzania hatujui sekta ya afya ilivyokuwa taabani, lkn sasa vifaa tiba na wataalamu wamejaa, lkn aliongeza kuwa watanzania ni wapole sana. ni hiii kitu ndiyo inatufanya tuendelee kuwa maskini.

Tumesahau mambo makubwa aliyoifanyia nchi yetu tena kwa kipindi kifupi., mfano ni hii hapo chini.

HUDUMA ZA JAMII
  • Kutoka asilimia 47% iliyokuwepo mwaka 2016 hadi kufikia asilimia 69% katika kipindi cha mwaka 2019-2021.
  • Kumboreka kwa huduma ya maji kutoka asilimia 47% mwaka 2016 hadi kufikia asilimia 70.1%.
NISHATI na MADINI.
  • Kupungua kwa gharama za kuvuta umeme kutoka 470,000/= mpaka 20,000/=
  • Kufuta kabisa mgao wa umeme
  • Kuanzaishwa kwa masoko ya ndani ya madini, ikumbukwe kuwa ukikamatwa na madini yanataifishwa na kifungo juu wakati hapakuwa na soko la madini hayo.
  • Kupitiwa kwa mikataba ya ulaghai kwenye madini na gas na kupanda kwa mrahaba kutoka 3% mpaka 16%
ELIMU
  • Elimu ya bure kuanzia shule ya msingi hadi sekondari na kufuta michango
  • Kungozeka kwa wanaopata mikopo elimu ya juu
  • Ukarabati shule zote kongwe za sekondari nchini.
AFYA
  • Zahanati 1, 198
  • Vituo vya Afya 497
  • Hospitali za Wilaya ni 71
  • Vifaa tib ana mitambo mikubwa ikumbukwe hapo nyuma machine kubwa km MRI na CT SCAN zilikuwa muhimbili na Aka Khan.
  • Madakatari bingwa wote walihamia hospitali za watu binafsi.
MIUNDO MBINU
  • Fly overs
  • Bara bara kila kona ya nchi kama kule Ludewa, makete, Manyara, Kigoma, Tabora
  • Upanuzi wa bandari ya Dar es salaam.
MAAMZI MAGUMU:
  • kusimamia maamuzi ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ya kuhamia Dodoma
  • Ujenzi wa bwawa la umeme la Nyerere
  • Ujenzi wa mradi mkubwa wa reli SGR
  • Daraka kubwa la Busisi ziwa Victoria
  • Kufufua shIrike la ndege sasa lina ndege kubwa km Dreamliner, airbus
  • Mapambano ya wazi dhidi ya vitendo vya rushwa na ufisadi
  • Mapambano dhidi ya matumizi ya dawa za kulevya

Ni miradi gani ya 20t imefanyika hapo nchini. Kipindi cha Magufuli data zilikuwa zinapikwa, na hakukuwa na uhuru wa vyombo vya habari, lakini sio kwamba hakukuwa na wizi. 1.5t ndio zilimtoa CAG baada ya serikali ya Magufuli kutaka kuficha wizi. Usidhani hatuna ufahamu wa mambo.
 
Yaani siku ya kufunguka akili ikifika sijui nani atakuwa mtoa nasaha, maana kila jambo huwa na kipindi chake as Bible says na Dolly Patton akaimba "TO EVERY THING .... THERE IS A SEASON ...

 
Baada ya Hayati Rais JPM (R.I.P) watanzania waliopoteza mkate kipndi chake wameanza kutema nyongo, wengine wamefikia mahali na kusema kilichofanyika likuwa ni wizi. hivi kweli ndugu zangu watanzania kuna wakati nchi ilipigwa mchana km kipindi cha awamu ya 4? kuna kashfa ngapi ziliingiza nchi mpaka waziri mkuu Lowassa kuwajibika? tunakumbuka ufisadi wa RICHMOND, KAGODA, MEREMETA, MIKATABA YA MADINI, escrow account, tegeta escrow na nk.

Kuna watu wanahoji mikopo ya pesa nyingi kwa muda mfupi; hivi kuna ubaya gani ukikopa kufanya mambo makubwa kwa muda mfupi? au ni bora kukopa kidogo kwa muda mrefu? sijui watanzania tumerogwa na nani? siku moja nilikutuna na Prof mmoja bingwa wa mifupa akatuambia kuwa watanzania hatujui sekta ya afya ilivyokuwa taabani, lkn sasa vifaa tiba na wataalamu wamejaa, lkn aliongeza kuwa watanzania ni wapole sana. ni hiii kitu ndiyo inatufanya tuendelee kuwa maskini.

Tumesahau mambo makubwa aliyoifanyia nchi yetu tena kwa kipindi kifupi., mfano ni hii hapo chini.

HUDUMA ZA JAMII
  • Kutoka asilimia 47% iliyokuwepo mwaka 2016 hadi kufikia asilimia 69% katika kipindi cha mwaka 2019-2021.
  • Kumboreka kwa huduma ya maji kutoka asilimia 47% mwaka 2016 hadi kufikia asilimia 70.1%.
NISHATI na MADINI.
  • Kupungua kwa gharama za kuvuta umeme kutoka 470,000/= mpaka 20,000/=
  • Kufuta kabisa mgao wa umeme
  • Kuanzaishwa kwa masoko ya ndani ya madini, ikumbukwe kuwa ukikamatwa na madini yanataifishwa na kifungo juu wakati hapakuwa na soko la madini hayo.
  • Kupitiwa kwa mikataba ya ulaghai kwenye madini na gas na kupanda kwa mrahaba kutoka 3% mpaka 16%
ELIMU
  • Elimu ya bure kuanzia shule ya msingi hadi sekondari na kufuta michango
  • Kungozeka kwa wanaopata mikopo elimu ya juu
  • Ukarabati shule zote kongwe za sekondari nchini.
AFYA
  • Zahanati 1, 198
  • Vituo vya Afya 497
  • Hospitali za Wilaya ni 71
  • Vifaa tib ana mitambo mikubwa ikumbukwe hapo nyuma machine kubwa km MRI na CT SCAN zilikuwa muhimbili na Aka Khan.
  • Madakatari bingwa wote walihamia hospitali za watu binafsi.
MIUNDO MBINU
  • Fly overs
  • Bara bara kila kona ya nchi kama kule Ludewa, makete, Manyara, Kigoma, Tabora
  • Upanuzi wa bandari ya Dar es salaam.
MAAMZI MAGUMU:
  • kusimamia maamuzi ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ya kuhamia Dodoma
  • Ujenzi wa bwawa la umeme la Nyerere
  • Ujenzi wa mradi mkubwa wa reli SGR
  • Daraka kubwa la Busisi ziwa Victoria
  • Kufufua shIrike la ndege sasa lina ndege kubwa km Dreamliner, airbus
  • Mapambano ya wazi dhidi ya vitendo vya rushwa na ufisadi
  • Mapambano dhidi ya matumizi ya dawa za kulevya
Hizo data zote unazoleta sasa ni feki.. maana marehemu Jiwe alikuwa bingwa wa kutunga data za uongo. Alitunga data za idadi ya samaki eti wapo Bilioni 6 baharini, kwenye maziwa na mito yote, alisema uchumi unakua kwa 7%, wakati ni uongo upo 4.8, alisema ATCL inatoa gawio la faida wakati ni uongo, alisema nchi Ina viwanda 68,000... yaani ni uongo uongo mtupu!! Hivyo hizo data zako zote ni takataka 🚮🚮🚮
 
Back
Top Bottom