Watangazaji wa Kili FM rudini shule mkasome

Watangazaji wa Kili FM rudini shule mkasome

Daa hawa watu ndo wanziilishi walifanya kil fm ibambesana
Hk alikua anatangaza red pages na the storm
Dj chance.....aliku the storm
Dj okk......
Double hh.... hawa hasani..
Da wengine ni mewasahau ila waliifanya hii redio kua juu sana.... mimi na thani yule manjuuu aliyestaaafuu huko DW enzi hizoo...nakujakujiunga pale kill fm kam MD wapale alivyoo achia ngazi na redio ikapoteza muelekeo. Kabsaaa.....

Sa hivi kuna kanjanja anaitwa Nicholaus Cyprian huyo kwenye utangazaji wa kipindi cha michezo ndo utacheka hadi ufe, yaani inaonekana hafuatilii mambo maana matamshi nayo huitaji ufundishwe
 
Jamani. Mbona ni redio zote za FM zenye vituko? Safina radio Arusha ni vunja mbavu, Sunrise Radio Arusha watangazaji wake wote waliishia shule za vidudu Nadhani.
 
Dah, kill fm long time ago nikiwa o level nilikua naisikiliza sana.Hivi Halima Kassim (HK) bado yupo? Yule alikua anajitahidi sana.

HK alishaondoka long tym,na mwingine alikua abaitwa patrick derik (part)wote hawa walikua wanajitahidi.
 
Sisi enzi zetu tulisoma novel za chase,vitabu vya Chinua Achebe,Africa now na Shoot magazine.
Wao enzi hizi wanasoma twitter,facebook na instagram,huo ndiyo mwanzo wa ukanjanja.

Mgagakikikoko.
 
Ili kuwa nzuri enzu za Hawa kasimu (HK) ,Patrick Derick, Hawa Hassan, Ole Saidimu, na Dj chance nadhani wote hawa kwa sasa hawapo ndio maana imekuwa hovyo.
 
Daa hawa watu ndo wanziilishi walifanya kil fm ibambesana
Hk alikua anatangaza red pages na the storm
Dj chance.....aliku the storm
Dj okk......
Double hh.... hawa hasani..
Da wengine ni mewasahau ila waliifanya hii redio kua juu sana.... mimi na thani yule manjuuu aliyestaaafuu huko DW enzi hizoo...nakujakujiunga pale kill fm kam MD wapale alivyoo achia ngazi na redio ikapoteza muelekeo. Kabsaaa.....

Kill fm ilikuwa 2007 hadi 2011 ukimtoa hapo HK wengine wote uliowataja hapo ni hewa! watangazaji wote wakali walishaondoka! hii radio sijui ulianza kuiskiliza lini
 
Kill fm ilikuwa 2007 hadi 2011 ukimtoa hapo HK wengine wote uliowataja hapo ni hewa! watangazaji wote wakali walishaondoka! hii radio sijui ulianza kuiskiliza lini

moshifm ndio baba lao ss hv ila kibofm nayo ni homa ya moshi
 
Kili FM radio, mpasua msonabari, was my favourite radio at that time of my studies at lyamungo sec school, Halima Kassim was my favourite host, kiukweli hii radio ilileta mapinduzi ya kiburudani mkoani Kilimanjaro, but if the tittle of the thread is real, then the management has to take an immediate measures!
So they have their own unique listeners!:lol:

What did you mean here though?
 
Shule gani inafundisha kutamka majina ya tim za ligi za ulaya vile??, hebu nikumbusheni wadau
 
Shule gani inafundisha kutamka majina ya tim za ligi za ulaya vile??, hebu nikumbusheni wadau

shule gani iliyokufundisha wewe kwamba ujiunge na jf? ebu tukumbushe
 
Point yangu ilikua kwamba matamshi ya jina au swaga za kuchangamsha studio ni kipaji na havifundishwi shule.... Tofauti na kusema hao wandugu warudi shule (kama wamepitia basi) bora angeshauri watu wasipeane kazi kwa ushkaji maana inaharibu radio yao. Kwa maelezo ya jamaa ni kama vile hao watangazaji hawakupita hata interview au interviewers wenyewe ndio hao hao wa kutakiwa kurudi 'skuli'. Asante bushlawyer
 
Last edited by a moderator:
HK alishaondoka long tym,na mwingine alikua abaitwa patrick derik (part)wote hawa walikua wanajitahidi.

Yeah namkumbuka alikua anajiita the man himself!
Wameenda wapi mkuu kama una taarifa za uhakika naomba uniambie maana kuna mtu kaniambia HK yuko BBC!
 
Point yangu ilikua kwamba matamshi ya jina au swaga za kuchangamsha studio ni kipaji na havifundishwi shule.... Tofauti na kusema hao wandugu warudi shule (kama wamepitia basi) bora angeshauri watu wasipeane kazi kwa ushkaji maana inaharibu radio yao. Kwa maelezo ya jamaa ni kama vile hao watangazaji hawakupita hata interview au interviewers wenyewe ndio hao hao wa kutakiwa kurudi 'skuli'. Asante bushlawyer

Hao jamaa mbali na matamshi wanakoseakosea sana pindi wanapotangaza, pia kuna kipindi walikuwa wanatangaza taarifa ya habari ya kiingereza ndo aibu kabisa, kwa maana hiyo ukijumlisha kila tukio walifanyalo wawapo studio inadhihirisha wazi kwamba elimu yao ni ndogo sana kwenye sekta ya habari
 
Back
Top Bottom