pierre tall
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 4,295
- 3,887
siku nyingine nilimsikia mmoja akisema "hii kill fm ikiwa inakutangazia kutoka jijin dar es salaam"
Hahahahhahahah.....nimecheka sana
siku nyingine nilimsikia mmoja akisema "hii kill fm ikiwa inakutangazia kutoka jijin dar es salaam"
......hiyo tisa mkuu bushlawyer, Kumi nilisikia wakisoma taarifa ya habari ya Kiingereza, Nilicheka mpaka
nikawa hoi. Hii lugha siyo yetu lakini wao wamezidisha kuchapia.
hiyo nadhani kama wameacha maana pia walikuwa na kipindi wanatangaza saa 11 jion kwa kiingereza yani ni kituko, hawa jamaa ni kiboko
Dah, kill fm long time ago nikiwa o level nilikua naisikiliza sana.Hivi Halima Kassim (HK) bado yupo? Yule alikua anajitahidi sana.
Hahahahahaha nifah umenikumbusha huyu mtangazaji HK mtot Wa Majengo kwa Mtei jaman...Nimekumbuka home sana
Hujakumbuka kama mimi Annah Mosha!
Enzi zile acha tu.
Siku ya fainali kombe la FA nimemsikia mtangazaji zaidi ya mara tatu akiutaja uwanja wa Wembley zilipofanyika fainali hizo kama uwanja wa Wimbledon, ni aibu!
siku nyingine nilimsikia mmoja akisema "hii kill fm ikiwa inakutangazia kutoka jijin dar es salaam"
Hhahahah yaani akitamka tottenham hotspurs ndio utacheka zaidi, anasema tottenam ozibag!