Nokla
JF-Expert Member
- Aug 12, 2012
- 3,190
- 1,780
Wakuu kuna redio ya Kili-FM ya Mkoa wa Kilimanjaro wanazingua, utangazaji wao dhaifu sana
mfano asubuhi wanakipindi cha mishemishe za kwetu, yaani hawana mpangilio wa maongezi na hadi kufikia muda mwingine wasieleweke wanaongelea nini.
Pia katika kipindi cha michezo ndio utacheka mtangazaji hata majina ya timu hajui kutamka, mifano Premier League yeye anasema premium league, Southampton yeye anasema South potom, yaan ni kanjanja wa hali ya juu.
Ili kuboresha radio yenu inayokuwa kwa kasi rudini shule mkasome.
mfano asubuhi wanakipindi cha mishemishe za kwetu, yaani hawana mpangilio wa maongezi na hadi kufikia muda mwingine wasieleweke wanaongelea nini.
Pia katika kipindi cha michezo ndio utacheka mtangazaji hata majina ya timu hajui kutamka, mifano Premier League yeye anasema premium league, Southampton yeye anasema South potom, yaan ni kanjanja wa hali ya juu.
Ili kuboresha radio yenu inayokuwa kwa kasi rudini shule mkasome.