Watangazaji wa 360 Clouds tv kama hamtojali nitaomba mnijibu maswali yangu haya yafuatayo...

Mbona kuna Wadau wana PhD ila lugha gongana mi naamini tatizo kubwa kutokujiamini na huwa tunajifunza kingereza kama somo na sio kama la lugha. Mbona hata babie kiswahili hayuko comfotable kuongea? Nishaona lecturers wengi tena wanamasters za nje ila wanafundisha kwa kiswahili somo la kingereza.

Angelia wanaosoma international wanaofanya kingereza lugha sio somo wako competent kwenye lugha
 
ungekuwa straight hassan ngoma hajui english vzr. anatakiwa kurudi kwa ras simba...

babie yuko vizuri mnoo hata cnn akitangaza hutaona tofauti. nilikuwa namchukulia poa hadi siku nilipomuona anamuhoji kigogo mmoja wa world bank

Huyo Dada Babie Kabae si wa levels za Tanzania, Kenya au Uganda bali huyo hivi sasa alipashwa awepo CNN, DW, BBC, FOX NEWS, SKY NEWS na AL JAZEERA. Kwanza IQ yake tu si ya Kiswahili swahili na nashangaa kwanini bado mpaka leo tunae hapa ' uswahilini ' Tanzania.
 
Mtoa Mada kumbe na Wewe bado una Ukoloni kichwani mwako namna hii?! Kwamba Mtu akiongea Kiingereza kwako ndo wa Maana.
Duuh! Hufananii

"Even Heaven Cry"
 
purely talented and charismatic Fella


hahahaha

Habari ndiyo hiyo Mkuu. Nisalimie Wanaume wenzio wa huko Dar es Salaam Mkuu. Karibu sana huku Kwetu nchini Puerto Rico japo wiki ijayo nitakuwa kwetu Mkoani Gisenyi nchini Rwanda kwa mapumziko.
 
Mbona kuna Wadau wana PhD ila lugha gongana mi naamini tatizo kubwa kutokujiamini na huwa tunajifunza kingereza kama somo na sio kama la lugha. Mbona hata babie kiswahili hayuko comfotable kuongea? Nishaona lecturers wengi tena wanamasters za nje ila wanafundisha kwa kiswahili somo la kingereza.

Angelia wanaosoma international wanaofanya kingereza lugha sio somo wako competent kwenye lugha

Na Wewe hili neno lako uliloliandika la ' comfotable ' ndiyo linavyotakiwa kuandikwa au ndiyo ' muendelezo ' ule ule uliotukuka wa tatizo kubwa la Watanzania katika kukijua vizuri Kiingereza kiwe cha kuandikwa au cha kuzungumza?
 
Mtoa Mada kumbe na Wewe bado una Ukoloni kichwani mwako namna hii?! Kwamba Mtu akiongea Kiingereza kwako ndo wa Maana.
Duuh! Hufananii

"Even Heaven Cry"

Sitaki ' nikudharau ' tafadhali Mkuu ila nakuomba rejea kusoma vizuri sana hayo maswali yangu saba ( 7 ) kisha nionyeshe ni wapi nimekitukuza Kiingereza na kukidharau Kiswahili?
 
Mi huyu Ngoma huwa simuelewi kwa kweli nakumbuka mwaka jana nilisafiri umbali wa km 200 kwenda Mtwara kumsikia Mtanzania aliyeacha kazi uingereza na kuja Tanzania kufanya biashara na kufungua chuo na kusema kuajiriwa ni utumwa ila nilisikitika zaidi baada ya kumuona yupo ameajiriwa na mtu ambaye wanalingana umri.
Hilo suala la lugha sijafuatilia ila najua jamaa amekaa na kusoma huko majuu ambako "hiyo lugha" inayompiga chenga ndio lugha kuu huko.
Anyway hii lugha ilikuja kwa meli kwa hiyo kuilewa ni taratibu sana
 
Duuh mkuu umeua aisee...Ile lugha ya malkia ni tatizo aisee miongoni mwetu

Sent from my Apple iPhone 5s using JamiiForums Auto-reply Mobile app
 
Sio aibu kuwa Hassan Ngoma hayuko comfortable anapizungunza Kiingereza maana siyo lugha anayoifahamu vema.

Itoshe tu kusema sio ajabu. Nilimsikia aliyekuwa Katibu Mkuu wa UN, Ban-Ki Moo siku moja kupitia,BBC akizungunzia mgogoro wa DR Congo kwa Kiingereza kilichonyooka (fluently), lkn nilishangaa alipisema 'Congolian government' badala ya Congolese government .


Vv
 
Mtoa uzi hupenda kuonekana mjuaji sana ndio maana unaona bora kwenye vyombo vya habari vya nje. Haina tofauti na kipindi kile mwalimu akifanya vizuri kwenye shule ya kijijini anaamishiwa mjini.
 
Alisema lini na wapi? Je kwakuwa Wewe umeonyesha ' ushirikiano ' wako wa kuwa na ' Kiherehere ' kumjibia unaweza ukatuwekea hapa Jamvini hiyo Kauli yake ili nasi ambao hatukumsikia tuweze kuisikia na kuamini?
Kuna siku miezi iliopita aliambiwa atafsiri mithali ya kingereza akasema "aaah mimi sijui english"
sasa kama hutaki kujibiwa kwanini umeweka uzi...
ndio tumekujibu kuwa hajui kingereza...
tatizo liko wapi?
kama unakereketwa kamwambie ruge amfukuze kazi....waja mna vijiba
 
Mtoa mada Mimi nakujibu hivi,ngoma sio mwana habari na katika kuhoji maswali ni tofauti sana na kutangaza, ndomana kutangaza tu hata gigy anatangaza ila huwezi kumuweka hapo afanye mahojiano lazima utaona kituko, vyuo vya habari vipo kwsajili ya kujifunza vitu kama hivyo kuna mbinu za kuhoji th'y unaona tofauti ya ngoma na baby.
 
Back
Top Bottom