Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nasisitiza hapa,yani zinakera sana. Unakuta ana hoja nzuri ili ukifikiria hizo alama unaona hata uvivu kusomaMkuu hizo alama za funga na fungua semi zina haribu maandiko yako sana, maana unaziweka kwenye maneno mengi sana kwenye sentensi moja.
Jaribu kuzipunguza ili maandiko yaonekane vizuri na yenye kuvutia.
Afadhali kaka Hassan Ngoma ulivyomjibuAcha umbeya mtoto wa kiume
Brother hii misumari yako ni ya moto sana.Nitashukuru sana kama nikijibiwa hayo ' maswali ' yangu ' Kuntu ' kabisa na naamini na nina uhakika wa 100% kuwa ' Watajwa ' au ' Watangazaji ' wote hao wa Kipindi cha 360 wapo humu JF na ni ' Members ' wa ' Kutukuka ' kabisa hivyo watanipa ' ushirikiano ' wao katika kunijibu.
- Je ni kwanini kila mnapomualika ' Mgeni ' anayezungumza lugha ya Kiingereza ni Babie Kabae tu ndiyo anauliza maswali mengi ila mwenzake Hassan Ngoma anauliza machache?
- Je ni kwanini kila Mtangazaji Hassan Ngoma anapouliza ' swali ' la Kiingereza mara nyingi sana huwa anatetemeka?
- Je ni kwanini kila Mtangazaji Babie Kabae anapouliza swali la Kiingereza anakuwa ' comfortable ' kabisa na anauliza maswali ya maana?
- Je ni kwanini kila Mtangazaji Hassan Ngoma anapouliza ' swali ' la Kiingereza huwa ' anatupatupa ' mno mikono na hatulii ' Kitini ' kama ' Swala ' aliyekamatwa na Simba?
- Je ni kwanini kila Mtangazaji Babie Kabae akimwona Mtangazaji mwenzie Hassan Ngoma anauliza ' swali ' la Kiingereza huwa anaonekana ' anacheka ' kichinichini?
- Je ni kwanini kila Mtangazaji Hassan Ngoma anapokuwa ' anatafsiri ' kwa Kiswahili kile ambacho amekisia kwa Kiingereza huwa anachukuwa muda mwingi kukieleza huku akichanganya tena maneno ya Kiingereza tofauti na mwenzake Babie Kabae ambaye ' akitafsiri ' tu kwa Kiswahili huwa yuko ' brief ' na anaeleweka vizuri na kwa haraka?
- Je ni kwanini kila Mtangazaji Hassan Ngoma akimaliza tu kuuliza ' swali ' lake kwa lugha ya ' Kiingereza ' hupumua kwa nguvu na ni kama vile anaona ' ameutua ' mzigo fulani ' mzito ' sana uliokuwa umemuelemea?
Nawasilisha.
Mwambie kaka hassani ajibu kwa kingereza
Basi si ni bora asiwe anakiongea?Wacha umbea.
Mbona hassan alishasemaga hawezi kingereza??? au hukuwepo sikuhiyo?
kingereza ni Lugha sio lazima kila mtua ajue, mwingine inashindikana kabisa kujua
Ha ha ha ha ha ha shikamoo jamii forumMwambie kaka hassani ajibu kwa kingereza
Tusaidie kujua pia matarajio ya huu uzi. What do you want to happen?Wangeeleweka vizuri au kusingekuwa na ' tatizo ' lolote la ' Kimsingi ', ' Kimtizamo ' na ' Kitaaluma ' wala nisingehoji. Sijakurupuka kuyauliza hayo ' maswali ' yangu ' Kuntu ' saba ( 7 ).
Inawezekana anaiwania hiyo nafasi au kuna jamaa yake anamchongea ajira. It is outright jealous.mbona sijaona kama ana dalili za wivu mkuu?
Kama ambavyo mleta mada hapa kiswahili kimemgonga kweli. Inabidi uitengeneze mwenyewe habari ili kuelewa anacho maanisha. We all lack when it comes to languages.Maswali yote ni yakijinga tu! Na jibu ni jepesi kwamba jamaa hakijui kingereza vizuri ma labda nikuweke sawa kutoka kwenye ulimbukeni wa watanzania wengi kwamba kujua kingereza sio ujanja na kutokukijua sio ujinga pia lugha mama kwetu ni kiswahili sio kosa unaposhindwa kuongea lugha nyingine kwa ufasaha mbona wengine kiswahili kinawasumbua na tunaona sawa tu. Nachukia sana watu wanaotukuza kingereza, ni vizuri kukijua lakini kama nitaweza kuongea na wewe na tukaelewana inatosha ujinga ni pale tu unapoanza kumcheka mtu kwa sababu hiyo
Hahahaaa, iwe script kabisa wanaongea ili tuthibitishe.weka picha zao
Tafadhali nisaidie kujua, hivi wewe ni ke au me?Na hao Wanaume wenyewe unaowasema ni wa wapi Je ni Nyie ( Wewe ) wa Dar es Salaam au mnaojulikana kwa ' matatizo ' yenu ya ' Kutukuka ' na ya kutia ' aibu ' au Sisi wa Mikoani na Afrika ya Mashariki? Mkuu kumbe na Wewe pamoja na ' Ujanja ' wote huo ni Mwanaume wa Dar es Salaam?
Kazi ipo hakyanani!
Katika lugha kuna kuongea na kuandika unaweza ukawa unajua kimoja zaidi kingineKama ambavyo mleta mada hapa kiswahili kimemgonga kweli. Inabidi uitengeneze mwenyewe habari ili kuelewa anacho maanisha. We all lack when it comes to languages.
Sent using Jamii Forums mobile app
Primary school tulifundishwa kusoma na kuandika. Yote yanawakilisha uelewa wa lugha. Asione kibanzi kwenye jicho la mwenzie wakati yeye ana boritiKatika lugha kuna kuongea na kuandika unaweza ukawa unajua kimoja zaidi kingine
lakini tunatumia keypad kuandika wakati mwingine hatupitii tulichoandika kwa hiyo makosa kama hayo msomaji unasahihisha mwenyewe tu